Jurrasic
Member
- Oct 19, 2018
- 67
- 67
Ndege haina buti!! Dingii ila inasehemu inaitwa kargo kwaajili ya mizigoHebu siku moja nenda na mbuzi wako pale airport uone kama watampiga lebo ili awekwe kwenye buti na wewe uingie ndani.
Ndege haina buti!! Dingii ila inasehemu inaitwa kargo kwaajili ya mizigoHebu siku moja nenda na mbuzi wako pale airport uone kama watampiga lebo ili awekwe kwenye buti na wewe uingie ndani.
Iwe ni kwenye buti au kwenye cargo, wewe fanya hivyo nilivyokuambia uone kama ni rahisi hivyo.Ndege haina buti!! Dingii ila inasehemu inaitwa kargo kwaajili ya mizigo
Wale wote wanao ilaumu Serikali kupitia shirika lake la ndege (Air Tanzania) Iangalieni hii video kwa makini sio mnafata upepo tu
MBOVU WW SIO NDEGEUnaonyesha jinsi wazungu wanavyosukuma ndege kwa mikono yao kama watanzania walivyofanya kwa ndege yao mbovu sio?
HAYO NI MAWAZO KWAKUA WEWE SIO MTANZANIA HALISITanzania Tuna Ndege?Tangu Lini?