Sababu ya Marekani kupiga yowe kuwa nchi za Afrika zinaficha takwimu za Corona ni kuficha aibu kuwa wao taifa kubwa limeshindwa kupambana na Corona!

YEHODAYA

JF-Expert Member
Aug 9, 2015
36,911
51,889
Marekani huwa ni taifa linalojiona ni dume linaweza kila kitu kuliko taifa lolote duniani

Sasa imekuja Corona nchi za Africa tumeiwezea kuliko marekani
Sasa baada ya marekani kuona ohhh vinanipita hata vi nchi vidogo kuishinda corona akaona atafute sababu za kujikosha kuwa ohhh mimi bado niko vizuri mno kwenye hii vita kuliko nchi zote za Africa

Sababu ya marekani kupiga yowe kuwa nchi za Africa zinaficha takwimu za corona ni kuficha aibu kuwa wao taifa kubwa limeshindwa kupambana na corona!!! Na Trump anaogopa kubwagwa chini uchaguzi ujao

Ndio maana anarusha propaganda aonekane yuko fit tu wasiangalie Africa yuko kwenye right track kumbe muongo waafrika kwenye Corona tumemzidi

Akubali tu marekani kuwa yeye sio mjua yote ,mjua yote ni Mungu tu .Kuhitaji msaada africa wa majani ya kujifukizia na dawa za corona asiogope kuomba.Africa tuna huruma sana hasa kwa wagonjwa tunaweza ku donate bure na kama maombi ya wamarekani yamekwama hewani mungu hasikii maombi yao aje aombe waafrika tuiombee marekani sababu kwetu tumeomba katusikia sababu tulimwambia sisiwaafrika unatujua hatuna wataalamu wala maabara nzuri wala miundo mbinu mizuri ya tiba turehemu viumbe wako wanyonge kuanzia uchumi hadi uwezo wa kupambana na corona.Tukafunga na kuomba Mungu akatusikia.Tunadunda maisha yanaendelea
 
For the record tu ninmataifa ya afrika asilimia 90 kama si 85.. yatoa takwim zao.
Ni.mataifa machache sana. Hata kumi hayafiki ambauo hayatoi takwimu.
Kisa tanzania na burundi hawatoi... haimaanish nchi zingine afrika nazo hazitoi.
 
For the record tu ninmataifa ya afrika asilimia 90 kama si 85.. yatoa takwim zao.
Ni.mataifa machache sana. Hata kumi hayafiki ambauo hayatoi takwimu.
Kisa tanzania na burundi hawatoi... haimaanish nchi zingine afrika nazo hazitoi.
WHO marekani wamejitoa sasa wanataka takwimu za nini.Wao wenyewe zao hawapeleki WHO baada ya kujitoa
 
Unatia huruma kweli! Hivi suala la kutokutoa taarifa limelalamikiwa Afrika nzima au sisi tuu?

Na unajua kuwa masuala ya Pandemic utoaji taarifa sio sharti la hiari bali lazima kwa dunia nzima ili kulinda na kuchukua hatua kwa wengine?

Madhara tuwezayo kupata kwa hili la kutotoa taarifa za kweli ni kutengwa na huo muziki unakuja kwa kuendekeza akili za kijinga.

Magonjwa yanadhibitiwa kwa kufuata kanuni sio maombi ya siku tatu msimchoshe Mungu kwa uzembe wenu.
Kuna kauli za sijui wivu, yaani US anayekupa ARV na vyandalua bure akuonee wivu masikini kama wewe?

Mbona mnakuwa masikini jeuri hivi?
Jifunzeni kuwa na adabu. Na fuateni masharti ya tiba acheni kudanganywa na Vibwetere wa kizazi hiki.
 
Vibaraka wao humu wanaona aibu
For the record tu ninmataifa ya afrika asilimia 90 kama si 85.. yatoa takwim zao.
Ni.mataifa machache sana. Hata kumi hayafiki ambauo hayatoi takwimu.
Kisa tanzania na burundi hawatoi... haimaanish nchi zingine afrika nazo hazitoi.
 
Maisha yanaendelea, utoe takwini au usitoe. Mbona kuna wanaokufa kwa magonjwa mengine na takwimu hazitoki?

Hii corona ilikuwa inakingiwa kifua sana ili kuleta taharuki tu na kuna watu walijipanga kudhulumu nchi masikini kwa mtindo ule ule wa watumwa.

Dawa za asili zinawaponya wengi sio lazima kutegemea dawa kutoka kwa wazungu.
 
Unatia huruma kweli! Hivi suala la kutokutoa taarifa limelalamikiwa Afrika nzima au sisi tuu?
Na unajua kuwa masuala ya Pandemic utoaji taarifa sio sharti la hiari bali lazima kwa dunia nzima ili kulinda na kuchukua hatua kwa wengine?
Marekani imejitoa WHO haipeleki takwimu kule imekaa nazo yenyewe kama ni lazima wao mbona hawapeleki na wamejitoa WHO shirika la afya linalosimamia afya duniani
 
Unatia huruma kweli! Hivi suala la kutokutoa taarifa limelalamikiwa Afrika nzima au sisi tuu?
Na unajua kuwa masuala ya Pandemic utoaji taarifa sio sharti la hiari bali lazima kwa dunia nzima ili kulinda na kuchukua hatua kwa wengine?
Madhara tuwezayo kupata kwa hili la kutotoa taarifa za kweli ni kutengwa na huo muziki unakuja kwa kuendekeza akili za kijinga.
Magonjwa yanadhibitiwa kwa kufuata kanuni sio maombi ya siku tatu msimchoshe Mungu kwa uzembe wenu.
Kuna kauli za sijui wivu, yaani US anayekupa ARV na vyandalua bure akuonee wivu masikini kama wewe? Mbona mnakuwa masikini jeuri hivi?
Jifunzeni kuwa na adabu. Na fuateni masharti ya tiba acheni kudanganywa na Vibwetere wa kizazi hiki.
Umenena vyema mkuu
 
Marekani imejitoa WHO haipeleki takwimu kule imekaa nazo yenyewe kama ni lazima wao mbona hawapeleki na wamejitoa WHO shirika la afya linalosimamia afya duniani
Kumbe unaandika tuu kishabiki au kutimiza takwa la ajira yako.
Taarifa umuhimu ni kujulikana sio kupelekwa WHO.
Marekani wanatoa taarifa zao kila siku. Maambukizi, vifo na kupona. Hata hao WHO kama hawapelekewi nao wanazijua takwimu za US kama taasisi zingine wanavyozijua.
 
Kama Tanzania hauna corona ni kwanini Kenya wamekatazwa kutangaza madereva wanaopatikanaena corona kama wanatoka Tanzania?

Si mtu mmoja, waliopimwa Rwanda, Namibia, Uganda na Kenya walikutwa na corona baada ya safari ya Tanzania?
 
Watatue yakwao kwanza hawa jamaa wana kasumba mbaya sana
Serikali ya Marekani ya Raisi Donald Trump inatumia corona politics kusingizia nchi zingine kuwa hazifanyi vizuri kuliko yenyewe kulinda image iliyoporomoka ya Serikali ya Trump kuhusu kupambana na Corona!!! kawekeza propaganda za bla bla kwa WHO na nchi zingine kuwa hazifanyi vizuri kama serikali yake kumbe muongo mkubwa!! Anatafuta tu political milage and Americans confidence!!!

Kwa mara ya kwanza katika historia ya Marekani serikali inatumia case za mataifa ya nje za corona kujitetea kuwa iko vizuri kwenye vita ya Corona!!!! Kwa mara ya kwanza inajilinganisha na nchi kamaa Burundi !!!! kuwa ohhh we doing more than burundi!!!! kujenga political confidence ya ndani ya marekani!!!ha ha ha ha Ohhh we are doing more than Tanzania in the war againist corona !!!!!! ha ha ha ha

Trump anatumia balozi zake kama wapiga filimbi wa hamelini na mashahidi hewa wa kuwa rubuni wamarekani waamini Trump na serikali yake wako vizuri!!! wakiuliza Trump uko vizuri kivipi mbona malaki ya wamarekani corona inawasumbua na wengi wanakufa anasemna ask American ambassadors in Burundi or Tanzania or go to their websites in case their phones are not working because phone facilities their are also worse ,Corona Situation there is worse we are doing more than them!!!!! we are on right track.No country do better than us!!!!
 
Maisha yanaendelea, utoe takwini au usitoe. Mbona kuna wanaokufa kwa magonjwa mengine na takwimu hazitoki?

Hii corona ilikuwa inakingiwa kifua sana ili kuleta taharuki tu na kuna watu walijipanga kudhulumu nchi masikini kwa mtindo ule ule wa watumwa.

Dawa za asili zinawaponya wengi sio lazima kutegemea dawa kutoka kwa wazungu.
Tuliwashtukia wahuni hao
 
17 Reactions
Reply
Back
Top Bottom