Titicomb
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 11,319
- 17,810
Muulize akiyetengeneza post kura zilizo haribika za ubunge na uraisi ni ngapi?
Mbona haandiki pia?
Za kuambiwa changanya na zako.
Muulize akiyetengeneza post kura zilizo haribika za ubunge na uraisi ni ngapi?
Na hayo mabegi ya kura feki yalikuwa ya kazi gani kama Lissu ameubomoa upinzani?Ni haya moja tu, hiyo hapo juu, ya bandiko lako imehitimisha kosa alilolifanya Lissu na hatimaye kufanikiwa kuuzika kabisa upinzani Tanzania. Hata mizunguko yake ya kutafuta wadhamini, huku akifanya kampeni kinyume na sheria, kanuni na taratibu za uchaguzi, hakuitumia ipasavyo. Aliendelea kuibeza serikali kwa kushughulikia kero za wananchi za maendeleo...
NI figisu za ndugu zetu wa NECKi ukweli, kama wewe kwa akili zako zooote, umekaa na kuwaza, ukafanya utafiti na jibu ulilopata ni kuwa Lissu angechukua nchi uchaguzi huu, walahi wewe ni KILAZA...
kWANI KULIKUWA NA WAGOMBEA UBUNGE WAWILI TU? Wa vyama vingine walipata kura ngapi?
Wapinzani hawataki kuelewa.
Ishu ya ushoga nilikuwa naiona ni ndogo. Ila baada ya kuzungumza na watu hasa upinzani ni hawaikubali. Naamini hio pia imechangia kumporomosha.
Sent using Jamii Forums mobile app by My phone
[/url] Eti nabakia Africa. [/url]
Lakini hausemwi hadharani kama asemavyo Lissu. Kwa nguvu kubwaHebu acha uongo kama ni ushoga mbona Serikali inaunga mkono? Kwanini mnaukimbia ukweli kuhusu wizi mkubwa wa kura, kura fake, kuhujumu kupitia mawakala kulikofanyika Nchi nzima!?
Waziri Kangi Lugola: Mashoga wako salama Tanzania
Kangi Lugola amewahakikishia usalama mashoga Tanzania Waziri wa Mambo ya Ndani nchini Tanzania Kangi Lugola amesema kuwa wapenzi wa jinsia moja hawapo hatarini nchini humo. Lugola amesema japo ushoga ni kosa la jinai nchini Tanzania, wanaojihusha na vitendo hivyo hawatishiwi maisha na wala...www.jamiiforums.com
@NazjazkWANI KULIKUWA NA WAGOMBEA UBUNGE WAWILI TU? Wa vyama vingine walipata kura ngapi?
Lakini hausemwi hadharani kama asemavyo Lissu. Kwa nguvu kubwa
Sent using Jamii Forums mobile app by My phone
[/url] Eti nabakia Africa. [/url]
Kama hukumsikia basi.Lissu alisema lini na wapi kwamba anaunga mkono ushoga!? Hebu acha uongo wewe!
Kama hukumsikia basi.
Kwani mnaposema Magufuli muuaji, ni wapi alimshikia mtu mtutu na kumuua?
Sent using Jamii Forums mobile app by My phone
[/url] Eti nabakia Africa. [/url]
Wewe ni wa kuhurumiwa tu maana hujui au unafanya makusudi, magu asingetoka Kama uchaguzi ungekuwa wa Haki, wiziii wooteee huo unakuja hapa unaleta porojo,Ki ukweli, kama wewe kwa akili zako zooote, umekaa na kuwaza, ukafanya utafiti na jibu ulilopata ni kuwa Lissu angechukua nchi uchaguzi huu, walahi wewe ni KILAZA...
Nimeuliza alipomshikia mtu mtutu akaua nionyeshe?“Mpotezaji watu” haachi asili!
Nimeuliza alipomshikia mtu mtutu akaua nionyeshe?
Sent using Jamii Forums mobile app by My phone
[/url] Eti nabakia Africa. [/url]
Wapi Tundu Lissu katetea ushoga?Wapinzani hawataki kuelewa.
Ishu ya ushoga nilikuwa naiona ni ndogo. Ila baada ya kuzungumza na watu hasa upinzani ni hawaikubali. Naamini hio pia imechangia kumporomosha.
Sent using Jamii Forums mobile app by My phone
[/url] Eti nabakia Africa. [/url]
Sasa wewe upoleta propaganda.Hahahahaha kauli ya kupoteza watu huielewi? Anawapotezea wapi?
Hutaki! ukweli ndio huo.Wapi Tundu Lissu katetea ushoga?
CCM ndio chama officially kiliandika barua duniani kwa mabosi kuwa kinaunha mkono ushoga.
Ninaweka hapa link, na wewe uweke link ya Tundu Lissu akiunga mkono ushoga
Ona jinsi CCM walivyounga mkono ushoga. Hii ni barua rasmi kutoka wizara ya Mambo ya nje na inapatikana katika mtandao rasmi wa wizara.Sasa wewe upoleta propaganda.
Nakuambia Lissu anasapoti ushogaa unakataa unamaanisha nini?
Au ulitaka aseme 'Mimi Tundu Antipasi Lissu nikiwa na akili timamu ninasapoti ushoga" ndio ujue kuwa anasapoti ushoga.
Sent using Jamii Forums mobile app by My phone
[/url] Eti nabakia Africa. [/url]
Sasa hao sio kama Lissu ambae ameifanya kama hoja.Ona jinsi CCM walivyounga mkono ushoga. Hii ni barua rasmi kutoka wizara ya Mambo ya nje na inapatikana katika mtandao rasmi wa wizara.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI | Ministry of Foreign Affairs and East African Cooperation
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kwa niaba ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, inapenda kuwajulisha wananchi na jumuiya ya kimataifa kupitia vyombo vya habari vya ndani na nje ya nchi kuhusu masuala ya ushoga yaliyoongelewa na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Dar es...www.foreign.go.tz
Ibishie na hiii barua, wewe pia weka uthibitisho wa tuhuma zako.Hutaki! ukweli ndio huo.
Sent using Jamii Forums mobile app by My phone
[/url] Eti nabakia Africa. [/url]