Ukisema na mtu aliyekuwa kiraeni na shauritanga wakati ule atakuambia mengi. Na hata ukisema na baadhi ya ndugu wa Marehemu Makweta, waliokuwepo wakati ule nao wanayao ya kusema. Ni mengi sana yasemekanayo. Mwenye details zaidi za haya atupe mwanga.
angalia sana maana watu wanafanya utafiti wa kubadilisha baadhi ya methali. Hii methali yako haina totauti na ile inayosema "aliye juu mngoje chini"yaliyopita si ndwele tugange yajayo