Sababu ya kifo cha Steven Kibona na Gilman Rutihinda

Status
Not open for further replies.
Wote kutoka Chama Cha Magamba hawafai, wote Mafia, Mafisadi, na Matapeli, Changes 2015 CDM tu ndio Mkombozi, Slaa juu!
 
Kibona alikuwa ni Waziri wa fedha, naye Rutihinda alikuwa ni Gavana wa Benki Kuu.
Hawa jamaa wazalendo, walikataa kuprint fedha na kuziingiza kwenye system kwani walijua wakifanya hivyo mfumuko wa bei na ugumu wa maisha ungeongezeka.
Bwana mkubwa kwa hasira za kukataliwa ombi lake akawapeleka India, waliporudi kutoka huko wote wakaanza kuumwa, na bwana mkubwa akatueleza kuwa wamelishwa vyakula vya Kihindi hivyo basi, walikumbwa na tumbo la kuharisha kwa sababu ya ugeni wa chakula cha Kihindi.
Hawakukaa muda mrefu, wakafa. Je ni kweli walidungwa sumu iuayo taratibu? Au ndio kifo chao kilikuwa chakawaida tu?

mkuu kwa kuwaheshimu marehemu kama dini yetu ya kislirsto inayvosema naomba uwaheshiimu kwa kuondoa mada else tutafunga macho na kumwaga kilichowaua yawezekana ukawa kwenye system yao na wewe polesana kwa kuwakumbuka walikuwa mashujaa sema kuleeeeeeeeeeeeeeeeeeee
ALAMSIKI
 
Jamani hata mie naomba kuuliza Dr. Salmin Amour naye macho yake yamepatwa na nini?? maana niliona kwenye muungano anatembea kwa kushikiliwa? Kulikoni??
 
Siamini kama wawili hawa waliuawa. Kama kulikuwa na tatizo la ku-print noti au tatizo jingine lolote si angewabadillisha vyeo tu!
 
Sina uhakika na GR alikufa na nini. Lakini Kibona alikufa na Ngoma na mwanamke alimuua ndiye alikuja kumuua na Charles Kabeho. Kibona alikuwa Waziri wa Elimu na baadaye akarithiwa na Charles Kabeho.

Familia ya Rutihinda ilipatwa na janga la kufiwa na watoto watatu ndani ya mwezi mmoja. Alianza Gilman wakati msiba haujaisha akafuatia Finehas, mdogo wao Alex aliyekuwa akiishi Marekani alikuja msibani alipofika na yeye baada ya siku mbili akavuta. Makaburi yao yapo pale Buguruni kwa Mnyamani unaweza kwenda kuangalia tofauti ya siku walizopishana.

Jamani siyo hivyo. Niliwahi kuongea na daktari mmoja wa Muhimbili alinidokeza kuwa wale watu walikuwa na NGOMAwakaenda nje kubadilisha damu, lakini kwa kuwa kipindi kile utaalam huo ulikuwa haujashamiri, mambo yakawaendea kombo. Kumbuka kuwa walikuwa wanafia nje na kuletwa maiti kama sijakosea.:msela:
 
There must be something behind, huwezi niambia gavana wa benk kuu na waziri wa fedha wafe wote kwa mpigo...non no no no...mzee rukhsa alikuwa na agenda yake simuamini sana ngoja ni rejee kwenye kumbukumbu za nyakati hizo na nikiwa na uhakika na hili ntawajuza na nyie...kwa hiyo na mwinyi ni Gamba..?? time will tell
 
kumbuka mrema ni GURU wa ushushu
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni...Ni kitu gani kilichomzuia Mwinyi kuwaondoa na kuwaweka wanaoweza kutimiza matakwa yake....Mbona Mrema akupelekwa huko India?
 
Sina uhakika na GR alikufa na nini. Lakini Kibona alikufa na Ngoma na mwanamke alimuua ndiye alikuja kumuua na Charles Kabeho. Kibona alikuwa Waziri wa Elimu na baadaye akarithiwa na Charles Kabeho.

Familia ya Rutihinda ilipatwa na janga la kufiwa na watoto watatu ndani ya mwezi mmoja. Alianza Gilman wakati msiba haujaisha akafuatia Finehas, mdogo wao Alex aliyekuwa akiishi Marekani alikuja msibani alipofika na yeye baada ya siku mbili akavuta. Makaburi yao yapo pale Buguruni kwa Mnyamani unaweza kwenda kuangalia tofauti ya siku walizopishana.

Mkuu,makaburi yao hayapo buguruni kwa mnyaman yapo bugurun malapa.
 
Una uhakika gani kama huyo daktari wako alikuwa sahihi (mkweli)

Kwa vile hoja yako imepingwa unashuku usahihi wa daktari, lakini yule aliyesema walilishwa sumu yuko sahihi. Hivi lini mtaacha kuamini redio mbao kwa issue serious kama hizi? Huko ni kuhatarisha usalama wa nchi kwa kupandikiza mbegu za chuki.
 
Jamani hata mie naomba kuuliza Dr. Salmin Amour naye macho yake yamepatwa na nini?? maana niliona kwenye muungano anatembea kwa kushikiliwa? Kulikoni??

Macho yameingiliwa na magamba. Ukiwa komandoo wa chama cha magamba ujue lazima yatakuvaa mwili mzima
 
Hii kali maana kama mambo kama haya kwa wenzetu wenye data wamwage inachanganya sometime hasa kwa akina kigoma malima
 
Kibona hakufa kwa Ukimwi- kifo chake kilikuwa cha mambo ya ukoo na familia. Kilitoka kwenye familia yao hilo kwa watu wa Ileje wanalielewa sana. Siwezi kulielezea vizuri watu wa Mby wanaweza kusema vizuri. Ni kama vile kulikuwa na kuteketeza familia yao maana wengi walikufa mpaka pale walipoenda kufunga huo mnyororo. Kama kulikuwa na umafia lakini haukuwa chanzo cha kifo.

Tuwaache marehemu wapumzike, si vizuri kuwasema marehemu vibaya hasa ukizingatia walilitumikia taifa kwa moyo na uadilifu. Pia wana familia zao ambapo wanaposoma haya wanapatwa na uchungu- just imagine angekuwa ni baba yako anasemwa hiyo...............tuwe na heshima kwa marehemu waliotutumikia kwa uaminifu
 
Ni muhimu umma ujue ukatili wa serikali dhidi ya wananchi wake na kuhakikisha mambo kama hayo hayatokei tena!!

Uzushi forum?

Kuna ule mchezo wa 'fact, rumour or opinion', sasa hapa inaanza opinion, baadae ikasambazwa (rumour) na mwisho ikageuzwa fact.
 
walikufa na Ukimwi na bado mpaka leo gonjwa hilo linateketeza wafanyakazi kibao pale BOT Na hazina hata Balal kaondoka nao .Lyumba na Dr IR Ni waathirika isitoshe kuhusu Gilman nawajuwa mpaka ndugu zake wa Balewa st. Mwanza wenyewe wanakiri aliumia na HIV Ndio maana hata mke wake pia alifuatia muda mfupi baada ya kifo chake huko Ngara. Ukweli pale BOT na hazina Panatisha ugonjwa bado ungali unawatesa
 
Jamani siyo hivyo. Niliwahi kuongea na daktari mmoja wa Muhimbili alinidokeza kuwa wale watu walikuwa na NGOMAwakaenda nje kubadilisha damu, lakini kwa kuwa kipindi kile utaalam huo ulikuwa haujashamiri, mambo yakawaendea kombo. Kumbuka kuwa walikuwa wanafia nje na kuletwa maiti kama sijakosea.:msela:

acha uongo usiokua na maana huo.Kama walikua na ngoma iweje wafe pamoja na baadae kidogo wachape hela kama wazimbabwe?kama hujui ukweli kuchangia si razima.R.I.P wazalendo wa ukweli
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom