Sababu ya 1000,800,562 ya kumchagua madame B awe miss chit chat 2012

Chimbuvu

JF-Expert Member
Jul 17, 2012
4,401
2,333
Kwenda kwa:wana jf
kutoka: Madame B

ndugu wana jf napenda kutoa shukrani zangu za dhati kwenu nyote kwa ushirikiano mliouonyesha toka nilipotangazwa kuwa mgombea wa jf miss chitchat 2012 mpaka dakika hii.namshukuru ndugu Ruhazwe JR kwa kuona nafaa katika hichi kinyang'anyiro cha kumsaka miss chitchat 2012.nashukuru kwa hilo.
Pili napenda kuwapongeza wote waliojitokeza toka mchakato uanze kwa kweli mmeonyesha nia yenu ya kuniona naibuka kidedea mwaka 2012,nashukuru sana na kwa wote wanaonisupport.
Tatu naamini hapa tupo katika uchaguzi na wasimamizi wapo,napenda kuwakumbusha kufuata sheria zote zinazotakiwa katika huu uchaguzi.kwa wale
ambao hawajapiga kura pigeni kura zenu hapa CHAGUA MADAME B HAPA

chagua Madame B kuwa jf miss chitchat 2012.
Asanteni.
 
Last edited by a moderator:
Kumbe ndo id yako nyingine hii, patamu kwelikweli, kwa hiyo umejipiga kura ngapi!??

Hahahahahah! Nimecheka kidogo nizimie. Pombe mbaya sana. Sasa Madame B yale mabiya ya jana ndo umejisahau namna hii? Hebu rudi kalog off ID ya AmKATRINA uje kama Madame B bana!

Unapoamua kuwa muongo yakupasa uwe na kumbukumbu sana asee.
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahah! Nimecheka kidogo nizimie. Pombe mbaya sana. Sasa Madame B yale mabiya ya jana ndo umejisahau namna hii? Hebu rudi kalog off ID ya AmKATRINA uje kama Madame B bana!

Unapoamua kuwa muongo yakupasa uwe na kumbukumbu sana asee.

Mkuu Asprin yani nimecheka hadi nimehisi machozi yanatiririka miguuni aisee, mtoto kaamka nazo kaingia kumbe amesahau kuwa kabla hajalala alikuwa ame log in kwa id ya AmKATRINA , dah teh teh teh kwikwi kwiii!!!!!!, alivyostukia amekimbia kudelete posts haraka...!!!!! dah, hii imekaa njema kufungia mwaka aisee
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Asprin yani nimecheka hadi nimehisi machozi yanatiririka miguuni aisee, mtoto kaamka nazo kaingia kumbe amesahau kuwa kabla hajalala alikuwa ame log in kwa id ya AmKATRINA , dah teh teh teh kwikwi kwiii!!!!!!, alivyostukia amekimbia kudelete posts haraka...!!!!! dah, hii imekaa njema kufungia mwaka aisee

Mkuu hata mie nimecheka mbaya. Siku zote nlijua AmKATRINA ni gfsonwin kumbe lahaulaaaaaaa

Ndege mjanja kanaswa..!
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahahahhaaaaaa!

Huyu mzee Mtambuzi si mtu mzuri asee. BTW Paloma alifika salama. Ukimwona mwambie nshammisi tayari eti.

Afu Asprin unajua kama jana pale niliondoka huku nimeishikilia roho yangu ndani ya tight???
Almanusura nigeuke Ruttashobolwa maana kwangu nilipaona mbali huku nikidhani mbele yangu kuna milima na mabonde.
Bia nyingine nimeziacha kaunta kama 9 hivi manake hali ilikuwa mbaya.
Afu wewe na Paloma si mliishia "kule kule kwa jana" manake ule uondokaji mi sikuuelewa, Mtambuzi naye alichemka akajidai anamuwahi mama Ngina, Mke Bongoooooooooo........

Afu me nahisi yule Baba V aliyedondoka pale alikuja kuroga Pub yetu,
Ashindwe na Alegeeee....!!!!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Hehehehe! Madame B Umenikumbusha ile n'tu asee. Yule jamaa alidondoka kwa ungo au? Manake alifikia kichwa lakini biya haikumwagika
Si tulienda kwa Mbon Safo Kleme na baada ya hapo netweki ilikatika. Paloma n'chawi asee.... Kwa hiyo Mtambuzi aliondoka na akili zake siyo, Damn Malta Ginesi!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom