Mtambuzi
Platinum Member
- Oct 29, 2008
- 8,810
- 15,398
Afu Asprin unajua kama jana pale niliondoka huku nimeishikilia roho yangu ndani ya tight???
Almanusura nigeuke Ruttashobolwa maana kwangu nilipaona mbali huku nikidhani mbele yangu kuna milima na mabonde.
Bia nyingine nimeziacha kaunta kama 9 hivi manake hali ilikuwa mbaya.
Afu wewe na Paloma si mliishia "kule kule kwa jana" manake ule uondokaji mi sikuuelewa, Mtambuzi naye alichemka akajidai anamuwahi mama Ngina, Mke Bongoooooooooo........
Afu me nahisi yule Baba V aliyedondoka pale alikuja kuroga Pub yetu,
Ashindwe na Alegeeee....!!!!!!!!!!
Umeona lakini hizo tuhuma za ODM Asprin dhidi yangu...?
Bora umeweka mambo hadharani kwmaba nilikimblia kwa Mama Ngina maana najua Asprin anagekinukisha humu...
Last edited by a moderator: