YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,904
KISWAHILI KILISHAINDINISHWA SIKU NYINGI KUWA LUGHA RASMI YA MIKUTANO YOTE YA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI,SADC NA AFRICAN UNIONMkutano wa wakuu wa nchi huwa una changamoto nyingi,mojawapo ni lugha barrier!
NCHI ZA sadc ziko BURUNDI NA CONGO wanaongea kifaransa,Mozambique na Angola wanatumia Kireno nk
mikutano ya African UNION kuna nchi zinatumia kiarabu,kiingereza,nk hueleweki hoja yako
Lugha ipi ambayo ni barrier? wakati lugha kuu za mikutano ni Kiswahili,kiingereza,kiarabu,kireno na kifaransa.Waweza tumia lugha yeyote katika hizo