Sababu tano zilizofanya ccm idondoke ARU MERU !

EL MAGNIFICAL

JF-Expert Member
Jan 11, 2011
938
125
kwanza nitumie fursa hii kuupongeza uongozi na team nzima ya cdm bila kumsahau kijana machachari bwana nasari kwa kupewa dhamana ya kuliongoza jimbo la arumeru mashariki.
Pia nitumie nafasi hii hii kuwaeleza ndg zetu hawa wa ccm sababu zilizofanya wadondokee pua ktk uchaguzi huu, mbali na watu kuchoshwa na uongozi kandamizi wa ccm pia sababu zifuatazo pia zimechangia kuwadondosha:-
1.ktk ccm ni kitu cha kawaida sana unapokutana na mb. Kijana lazima kunakuwa na mawili kama sio tajili basi lazima jina lake la ukoo ni lazima liwe ni la kigogo flani ktk nyazifa flani ndani ya ccm.
Mfano mzuri ni ndg sumari hata kama mlikuwa na lengo la kumfuta machozi mngefanya hivyo hata 2015, lakini mlimsimamisha mapema sana, mda wa kujiandaa aliupata wapi ! kwa matatizo yaliyokuwa yanamsibu mzee wake.
Pia sitashtuka sana hata w.j. Malecela kusikia amepitishwa kuwa mb. Wa east africa hi ni moja kati ya dhambi zitazowatafuna kuwabagua watoto wa maskn ktk madaraka.
2. Kumbeba mtu ambaye habebeki, sio chuki binafsi bali ni wazi kwa mtu yoyote anayefuatilia siasa atajua jinsi bwana sioi alivyokosa mvuto wa siasa hana uwezo mzuri wa kujenga hoja, hana ushawishi kwa umma ukimfananisha na mpinzani wake.
3.muendelezo wa siasa chafu mfano mzee wasira kumrushia tuhuma dr. Slaa zisizo na ushahdi.
Mzee Ben kulumbana vincent nyerere
pia na matusi yaliyomwaga na mh lusinde pia vimechangia.
4. Ukosefu wa majibu ya matatizo ya wana arumeru kama tatizo la ardhi, maji nk ni wazi ccm hapa mlifail kuleta suluhu ya matatizo haya kwa wananchi kwani hata wabunge waliotangulia walitumia ilani zenu kujinadi na sioi naye anatumia hiyo hiyo na matatizo bado ni yale yale.
5. Uwepo wa vurugu na mazingira rafiki ya rusha mfano mh mwigulu kupewa nafasi ya kuongea machache kanisani wkt ni siku ya kupga kura, wenye uelewa hili pia liliwakera.
Haya ndio yaliyowazalishia kufail.

Ndg wanabodi unaweza kuongeza sababu zingne pia.....!
Nawasilisha.
 
Sababu ya 6: Wao CCM waliweka Pesa mbele mnooo! Lakini Chadema wao walisema Kama wao Wanapesa sisi tuna Mungu?
 
hapo vp?hapo sawaa!hapo vp?hapo sawaa?chagueni Sioi mkwe wangu mnipe raha nitoe MASHUZI!yuko wapi mzee mapambano?teh!teh
 
Safi kamanda kwa uchambuzi wako. CCM sio chama cha wakulima na wafanyakazi bali ni chama cha mafisadi na familia zao ndio maana wanarithishana vyeo na ubunge. Sisi walala hoi nguvu yetu ni umoja. Tuwachape hawa CCM hadi waanze kuchukia chaguzi ndogo. Si mmesoma mtazamo wa mjukuu wao Mtatiro asivyo taka chaguzi ndogo? katumwa na baba yake ccm awasilishe ombi hilo ili pafanyike marekebisho. Tusubiri hili jambo kule mjengoni.
 
Wakajifanya kua eti wanawapelekea chakula wasimamizi wao wakiwa wamesheheni makaratasi ya kupigia kura kwenye Thermos na kwenye Hotport lakini vijana wakawa imara na kuwazuia! Hiyo pia ni sababu tosha yakushindwa kama walivyozoea kuchakachua matokeo.
 
Tuangalie na upande wa pili pia:

a) Watu wameelimika na wameanza kutafuta uwiano kati ya ahadi na utekelezaji. Vipaumbele 700 havikubaliki tena!!
b) Watu wameanza kuona kuwa uongo na character assassination havitatui tatizo (Lema "kuliwa", Vicent si wa Nyerere)
c) Watu wameanza kutafiti uwezo wa kujieleza wa wagombea (wasanii, wali na tishirt, vilemba, fedha) havifanyi kazi tena!
d) Watu kuchoka na ufisadi. Mwanzoni wengi walidhani ufisadi ni dhana. EPA, Rada, Richmond, Dowan zimewaamsha!
e) Maisha bora kwa kila mtanzania, Kilimo Kwanza imegundulika ni misemo isiyo na maana yoyote - propaganda!!!
 
Sababu ya 6: Wao CCM waliweka Pesa mbele mnooo! Lakini Chadema wao walisema Kama wao Wanapesa sisi tuna Mungu?

halafu wanaponishangazaga ni padogo sana pesa inayotumika kufanyia kampeni wangewekeza ktk jimbo miaka miwili b4 haya yote yasingewapata !
 
Nadhani hiyo ya nne ndio ya msingi zaidi.

namba 2 ndio ilikuwa kero sana ya maudhi wkt mzazi wake anagombea ubunge huyu jamaa hakuwepo hata kwenye kura za maoni lakini leo washnd waliofata kwenye kura za maoni ndio kwanza wametupiwa huko. Upinzani ulianza ndani kwanza mkuu.
 
Sera za ccm ni danganya toto,Sasa watanzania wa leo ni wasomi na kamwe hawawezi kupoteza muda wao tena.(walio wengi wanajuta sana .Ila kwa mwenendo wa matukio ya Arumeru ni dharihi kuwa Ccm haijawahi kushinda kihalali Chaguzi zote Hapa nchini.
 
Sera za ccm ni danganya toto,Sasa watanzania wa leo ni wasomi na kamwe hawawezi kupoteza muda wao tena.(walio wengi wanajuta sana .Ila kwa mwenendo wa matukio ya Arumeru ni dharihi kuwa Ccm haijawahi kushinda kihalali Chaguzi zote Hapa nchini.
mkuu sasa unafikiri ni namna gani kura zitakuwa zinalindwa kpnd ambacho viongozi wote wanakuwa kwenye uchaguzi mkuu.
 
waalifungua na maji marefu, CDM walifungua na viongozi wa dini, wakendelea na Mungu na Kumalizia na Mungu.Walipania kufanya kila kitu unfairly,inethically, km watu wasiosoma wakitegemea kucheat kt paper.Paper ilipochange (wazee walipopotea ktk kura+ulinzi ukawa juu+technology ikarushusu watu wakiwa dar wawe na majibu kaba ya Tume), Ikabidi wachore Michoro km ya watoto wa Kidato cha 4 last necta.
 
kwanza nitumie fursa hii kuupongeza uongozi na team nzima ya cdm bila kumsahau kijana machachari bwana nasari kwa kupewa dhamana ya kuliongoza jimbo la arumeru mashariki.
Pia nitumie nafasi hii hii kuwaeleza ndg zetu hawa wa ccm sababu zilizofanya wadondokee pua ktk uchaguzi huu, mbali na watu kuchoshwa na uongozi kandamizi wa ccm pia sababu zifuatazo pia zimechangia kuwadondosha:-
1.ktk ccm ni kitu cha kawaida sana unapokutana na mb. Kijana lazima kunakuwa na mawili kama sio tajili basi lazima jina lake la ukoo ni lazima liwe ni la kigogo flani ktk nyazifa flani ndani ya ccm.
Mfano mzuri ni ndg sumari hata kama mlikuwa na lengo la kumfuta machozi mngefanya hivyo hata 2015, lakini mlimsimamisha mapema sana, mda wa kujiandaa aliupata wapi ! kwa matatizo yaliyokuwa yanamsibu mzee wake.
Pia sitashtuka sana hata w.j. Malecela kusikia amepitishwa kuwa mb. Wa east africa hi ni moja kati ya dhambi zitazowatafuna kuwabagua watoto wa maskn ktk madaraka.
2. Kumbeba mtu ambaye habebeki, sio chuki binafsi bali ni wazi kwa mtu yoyote anayefuatilia siasa atajua jinsi bwana sioi alivyokosa mvuto wa siasa hana uwezo mzuri wa kujenga hoja, hana ushawishi kwa umma ukimfananisha na mpinzani wake.
3.muendelezo wa siasa chafu mfano mzee wasira kumrushia tuhuma dr. Slaa zisizo na ushahdi.
Mzee Ben kulumbana vincent nyerere
pia na matusi yaliyomwaga na mh lusinde pia vimechangia.
4. Ukosefu wa majibu ya matatizo ya wana arumeru kama tatizo la ardhi, maji nk ni wazi ccm hapa mlifail kuleta suluhu ya matatizo haya kwa wananchi kwani hata wabunge waliotangulia walitumia ilani zenu kujinadi na sioi naye anatumia hiyo hiyo na matatizo bado ni yale yale.
5. Uwepo wa vurugu na mazingira rafiki ya rusha mfano mh mwigulu kupewa nafasi ya kuongea machache kanisani wkt ni siku ya kupga kura, wenye uelewa hili pia liliwakera.
Haya ndio yaliyowazalishia kufail.

Ndg wanabodi unaweza kuongeza sababu zingne pia.....!
Nawasilisha.

Yani bado mnashekea ushindi wa arumeru mpaka leo,kweli masikini akipata...
 
Matokeo ya kura za Ubunge jimbo la Arumeru Mashariki 2005


MANISPAA YA ARUMERU
ARUMERU MASHARIKI
Photo
Candidate
Party
Sex
Valid Votes
%
View Photo
SOLOMON SUMARI JEREMIA
CCM
M
58,357
79.6
No Photo
CPT ELIAHU NASARI BOB
CHADEMA
M
12,037
16.4
No Photo
ANTHONY KIMUTO YOHANE
TLP
M
830
1.1
No Photo
SULEIMAN MPUTTA ABDULLAZIZ
CUF
M
790
1.1
No Photo
BETHWELL JEREMIA SIKAWA
DP
M
667
0.9
No Photo
LAURENT KASAMBALE JOSEPHER
NLD
F
368
0.5
No Photo
ZEPHANIA MULWISHA MULWISHA
UDP
M
278
0.4




Valid Votes 73,327





Spoilt Votes 3,037





Registered Voters 102,587


Matokeo ya kura za Ubunge jimbo la Arumeru Mashariki 2010

WILAYA YA MERU
ARUMERU MASHARIKI
Candidates
Political Party
Number of Votes
Percentage Votes
SUMARI JEREMIAH SOLOMON
CCM
34,661
62.23
JOSHUA SAMWEL NASARI
CHADEMA
19,123
34.33
JOHN YESAYA PALLANGYO
CUF
265
0.48
LINDA PENIELI BANA
JAHAZI ASILIA
176
0.32
FANUEL GABRIEL PALLANGYO
TLP
88
0.16
CHARLES MOSES MSUYA
UPDP
88
0.16




SPOILT VOTES

1,297
2.33
TOTALS

55,698
100

Matokeo ya kura za Ubunge jimbo la Arumeru Mashariki 2012



WILAYA YA MERU
ARUMERU MASHARIKI
Candidates
Political Party
Number of Votes
Percentage Votes
SIOI SUMARI
CCM
26,757
44.08
JOSHUA SAMWEL NASSARI
CHADEMA
32,972
54.32
AFR
139
0.23
DP
77
0.13
NRA
35
0.06
SAU
22
0.04

UPDB
18
0.03
TLP
18
0.03
SPOILT VOTES

661
1.09
TOTALS

60,699
100.00

Hii trend ya kushuka kwa percentage za kura za CCM ni kitu cha ku note.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom