Uchaguzi 2020 Kumchagua Tundu Lissu kuwa Rais ni kuikabidhi Tanzania kwa Mabeberu. Tusifanye kosa twende na John Pombe Magufuli

mwananyaso

JF-Expert Member
Feb 19, 2017
2,843
3,128
Lissu hafai kuwa Rais wa nchi hii, Ubunge ndio ilikuwa level yake ya juu na ya mwisho.

Kumbukeni alikuwa kwenye matibabu huko ughaibuni mara alipopata nafuu, kazi yake ilikuwa kuzungumza mambo ya hovyo sana, kutaka nchi iwekewe vikwazo, kukubali kuruhusu ndoa za jinsia moja, pindi akiwa mtawala , na ifahamike ni kinyume na mila na desturi zetu nchini ,alifanya mambo ya fedheha sana.

Wazungu walimsikiliza wakaona huyu ni bogus kabisa, ndio maana pamoja na kelele zake na maombi yake hayakuwa na impact yoyote.

Mtaji aliobakia nao kwa sasa ni kupata kura za huruma kwa risasi zilizompata

Pia system haiwezi kukabidhi nchi kwa mtu anayetetea mapenzi ya jinsia moja na msaliti kwa taifa lake,si mnakumbuka vitisho vyake na MIGA?,yako wapi?,tumeunda kampuni ya Twiga minerals Tanzania kwa ubia ambao unalinufaisha taifa, kongole Rais Magufuli.

Namuonea huruma sana, kwa maana baada ya uchaguzi atapotea kwenye ulingo wa siasa, kiki hazitakuwepo , Bunge ndio lilikuwa linampa kiki, miaka mitano sio mchezo kukaa benchi
 
Hata yule hafai ni nguvu tu anazotumia lakini hata udiwani hatakikani apewe.
 
Lissu hafai kuwa rais wa nchi hii,ubunge ndio ilikuwa level yake ya juu na ya mwisho.
Kumbukeni alikuwa kwenye matibabu huko ughaibuni ,mara alipopata nafuu,kazi yake ilikuwa kuzungumza mambo ya hovyo sana ,kutaka nchi iwekewe vikwazo,kukubali kuruhusu ndoa za jinsia moja,alifanya mambo.ya fedheha sana ,wazungu walimsikiliza wakaona huyu.ni bogus kabisa,ndio maana pamoja na kelele zake na.maombi yake hakuwa na impact yoyote.

Mtaji aliobakia nao kwa sasa ni kupata kura za huruma kwa risasi zilizompta

Pia system haiwezi kukabidhi nchi kwa mtu anayetetea mapenzi ya jinsia moja
Namuonea huruma sana, kwa maana baada ya uchaguzi atapotea kwenye ulingo wa siasa ,kiki hazitakuwepo na bunge ndio lilikuwa linampa kiki,,miaka mitano sio mchezo
Umelalamika tu.

Kama Nyerere aliongoza nchi mwl kijana 39 yrs. Na alionyesha mafanikio, Mwinyi na diploma ya ualimu lakini alitupa ruksa, Mkapa toka uandishi mpaka Rais alieacha impact . Kikwete na democracy ya Kiswahili lakini alimaliza salama. Na sasa tunae Mwl mwingine tena wa sayansi lakini hajashindwa.

Ndiyo aje ashindwe advocate msomi anayetaka nchi iongozwe kwa sheria na katiba ?!

Lissu yuko vizuri kuliko team ilioko uwanjani saa hii. Hata wewe unajua. Labda figisu tu. Na ndiyo keshasema hatamuachia Mungu . Mnalo
 
Lissu hafai kuwa rais wa nchi hii,ubunge ndio ilikuwa level yake ya juu na ya mwisho.
Kumbukeni alikuwa kwenye matibabu huko ughaibuni ,mara alipopata nafuu,kazi yake ilikuwa kuzungumza mambo ya hovyo sana ,kutaka nchi iwekewe vikwazo,kukubali kuruhusu ndoa za jinsia moja,alifanya mambo.ya fedheha sana ,wazungu walimsikiliza wakaona huyu.ni bogus kabisa,ndio maana pamoja na kelele zake na.maombi yake hakuwa na impact yoyote.

Mtaji aliobakia nao kwa sasa ni kupata kura za huruma kwa risasi zilizompta

Pia system haiwezi kukabidhi nchi kwa mtu anayetetea mapenzi ya jinsia moja
Namuonea huruma sana, kwa maana baada ya uchaguzi atapotea kwenye ulingo wa siasa ,kiki hazitakuwepo na bunge ndio lilikuwa linampa kiki,,miaka mitano sio mchezo
Mtoa mada kuwa serious, hivi unaanzaje kufikiria kuwa Watanzania watamchagua yule!?

Achana na mambo mengine yote, gwaride atakaguaje!?

Hivyo hii mada yako ingepaswa kuwa, Watanzania tusifanye makosa ya kumchagua JPM kwa kura chini ya asilimia 80 na badala yake JPM ashinde kwa kura asilimia 90 na zaidi. Mada yako ilipaswa kuwa hivyo.
 
Lissu hafai kuwa rais wa nchi hii,ubunge ndio ilikuwa level yake ya juu na ya mwisho.
Kumbukeni alikuwa kwenye matibabu huko ughaibuni ,mara alipopata nafuu,kazi yake ilikuwa kuzungumza mambo ya hovyo sana ,kutaka nchi iwekewe vikwazo,kukubali kuruhusu ndoa za jinsia moja,alifanya mambo.ya fedheha sana ,wazungu walimsikiliza wakaona huyu.ni bogus kabisa,ndio maana pamoja na kelele zake na.maombi yake hakuwa na impact yoyote.

Mtaji aliobakia nao kwa sasa ni kupata kura za huruma kwa risasi zilizompta

Pia system haiwezi kukabidhi nchi kwa mtu anayetetea mapenzi ya jinsia moja na msaliti,

Namuonea huruma sana, kwa maana baada ya uchaguzi atapotea kwenye ulingo wa siasa ,kiki hazitakuwepo na bunge ndio lilikuwa linampa kiki,,miaka mitano sio mchezo
Wasukuma!!
 
Mmeanza kuweweseka na bado.

Msiyempenda kaja.

Nyimbo za mabeberu zimeshafubaaa.
Lissu hafai kuwa rais wa nchi hii,ubunge ndio ilikuwa level yake ya juu na ya mwisho.
Kumbukeni alikuwa kwenye matibabu huko ughaibuni ,mara alipopata nafuu,kazi yake ilikuwa kuzungumza mambo ya hovyo sana ,kutaka nchi iwekewe vikwazo,kukubali kuruhusu ndoa za jinsia moja,alifanya mambo.ya fedheha sana ,wazungu walimsikiliza wakaona huyu.ni bogus kabisa,ndio maana pamoja na kelele zake na.maombi yake hakuwa na impact yoyote.

Mtaji aliobakia nao kwa sasa ni kupata kura za huruma kwa risasi zilizompta

Pia system haiwezi kukabidhi nchi kwa mtu anayetetea mapenzi ya jinsia moja na msaliti,

Namuonea huruma sana, kwa maana baada ya uchaguzi atapotea kwenye ulingo wa siasa ,kiki hazitakuwepo na bunge ndio lilikuwa linampa kiki,,miaka mitano sio mchezo
o
 
Lissu hafai kuwa rais wa nchi hii,ubunge ndio ilikuwa level yake ya juu na ya mwisho.
Kumbukeni alikuwa kwenye matibabu huko ughaibuni ,mara alipopata nafuu,kazi yake ilikuwa kuzungumza mambo ya hovyo sana ,kutaka nchi iwekewe vikwazo,kukubali kuruhusu ndoa za jinsia moja,alifanya mambo.ya fedheha sana ,wazungu walimsikiliza wakaona huyu.ni bogus kabisa,ndio maana pamoja na kelele zake na.maombi yake hakuwa na impact yoyote.

Mtaji aliobakia nao kwa sasa ni kupata kura za huruma kwa risasi zilizompta

Pia system haiwezi kukabidhi nchi kwa mtu anayetetea mapenzi ya jinsia moja na msaliti,

Namuonea huruma sana, kwa maana baada ya uchaguzi atapotea kwenye ulingo wa siasa ,kiki hazitakuwepo na bunge ndio lilikuwa linampa kiki,,miaka mitano sio mchezo
CCM tulieni demokrasia ifanyike nchi tumekosa demokrasia kwa miaka mingi. Yule tishio la jiwe amerudi na watanzania wanamkubali kuliko hapo mwanzo, hii ni mipango ya Mungu, jiwe walilolikataa waashi limekuwa jiwe kuu la pembeni. Siasa anazofanya magu ni za kibabe na kidikteta kamwe hazikubaliki, tupo na Tundu Antipas Lissu mwaka huu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom