KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,542
- 8,535
Waku mimi ninajiuliza kwanini walioko kwenye ndoa wanataka kutoka na walioko nje wanataka kuingi wakti kilasiku wanasikia mikiki mikiki kilasiku kwenye vyombo vya habari hata kwenye mazingira tunayohishi wanaona! lakini wao wanakuwa kama Nyumbu??wanaenda tu!!:thinking: