Sababu nini haswa usababisha??

KakaKiiza

JF-Expert Member
Feb 16, 2010
11,542
8,535
Waku mimi ninajiuliza kwanini walioko kwenye ndoa wanataka kutoka na walioko nje wanataka kuingi wakti kilasiku wanasikia mikiki mikiki kilasiku kwenye vyombo vya habari hata kwenye mazingira tunayohishi wanaona! lakini wao wanakuwa kama Nyumbu??wanaenda tu!!:thinking:
 
Waku mimi ninajiuliza kwanini walioko kwenye ndoa wanataka kutoka na walioko nje wanataka kuingi wakti kilasiku wanasikia mikiki mikiki kilasiku kwenye vyombo vya habari hata kwenye mazingira tunayohishi wanaona! lakini wao wanakuwa kama Nyumbu??wanaenda tu!!:thinking:

Walioko nje wanataka kuingia kwa sababu Mwenyezi Mungu anapenda watu waishi kwa ndoa.

Na waliomo ndani wanataka kutoka kwa sababu shetani hapendezwi na muunganiko huo wa kumpendeza Mungu.Jiulize inakuwaje watu wanaweza ishi vizuri sana bila ndoa (man and concubine) hata kwa miaka kumi na ushee ila wakifunga ndoa tu yaweza ikachukua siku kadhaa tu kutalikiana na uzoefu (experince) yaonesha hivyo.
 
Wakuu mimi ninajiuliza kwanini walioko kwenye ndoa wanataka kutoka na walioko nje wanataka kuingi wakti kilasiku wanasikia mikiki mikiki kilasiku kwenye vyombo vya habari hata kwenye mazingira tunayohishi wanaona! lakini wao wanakuwa kama Nyumbu??wanaenda tu!!:thinking:

Walioko ndani wanataka kutoka kwa sababu hawajui maana yaa ndoa nini na hawajui kupenda na kuvumilia maana ndoa si BF& GF wengi bado
wanadhani wameowa/kuolewa na watu wasiyokuwa chaguo la kweli kumbe hata wakipewa wengine kama kungekuwa na uwezekano bado watataka kutoka tu. Wanabaki kusema ''wewe umebaatika kumpata yule mnayependana'' bila kujiuliza hao wanapendana wanawezaje kuidumisha ndoa yao na kuishi kwa Amani. Hata hizo ndoa chungu zinasababishwa na wanandoa wenyewe na si mtu mwingine. Wanandoa wanadhani furaha, Upendo na Amani vimewekwa kwa watu baadhi kumbe ni kwa wote, watu tunapaswa kufanaya wajibu wetu na kukumbushana pale mmomoja anapojisahau maana sisi binadamu si malaika.(Zaidi Kumshirikisha Mungu na kuwa na Mwasailiano bora ndani ya wanandoa)
 
Waku mimi ninajiuliza kwanini walioko kwenye ndoa wanataka kutoka na walioko nje wanataka kuingi wakti kilasiku wanasikia mikiki mikiki kilasiku kwenye vyombo vya habari hata kwenye mazingira tunayohishi wanaona! lakini wao wanakuwa kama Nyumbu??wanaenda tu!!:thinking:
nido maisha walioko nje wanataka kuyaonja ........... unajua tumekuwa wadadisi sana na yale tunayoshauri kutoyafanya
ndio tunataka kuyajaribu .........out of curiosity sijui..
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom