mshale21
JF-Expert Member
- Apr 8, 2021
- 2,050
- 4,903
Kwa mujibu wa Rais Samia, ongezeko la gharama za uendeshwaji wa maisha limetokana na mlipuko wa Covid-19 na kupanda kwa bei za mafuta katika soko la Dunia, hatukatai ila sababu hizi hazina mashiko katika maisha yetu watanzania!
Imagine Gas kupanda, sababu Covid-19 na kupanda kwa bei ya mafuta katika soko la Dunia
Sukali , maharage, sabuni nk sababu Covid-19 na kupanda kwa bei ya mafuta katika soko la Dunia
Miamala nayo sababu Covid-19 na kupanda kwa bei ya mafuta katika soko la Dunia
Kila kitu the same reasons Covid-19 na kupanda kwa bei ya mafuta katika soko la Dunia
Nchi itapigwa mnada by Job Ndugai
Imagine Gas kupanda, sababu Covid-19 na kupanda kwa bei ya mafuta katika soko la Dunia
Sukali , maharage, sabuni nk sababu Covid-19 na kupanda kwa bei ya mafuta katika soko la Dunia
Miamala nayo sababu Covid-19 na kupanda kwa bei ya mafuta katika soko la Dunia
Kila kitu the same reasons Covid-19 na kupanda kwa bei ya mafuta katika soko la Dunia
Nchi itapigwa mnada by Job Ndugai