Sababu mia za kuwazuia chadema wasiwashirikishe cuf kwenye baraza kivuli

MWANALUGALI

JF-Expert Member
Feb 1, 2010
601
34
Baada ya mdahalo wa Freeman Mbowe na Hamad Rashid, zimejidhihirisha wazi sababu zinazo wazuia CHADEMA kuwashirikisha CUF katika baraza la mawaziri kivuli na kuacha kushirikiana nao hadi wakitambue CHADEMA kuwa ni Chama mbadala kinachobeba matumaini ya watanzania.
  1. CUF kwa kushirikiana na CCM wameichezea Katiba ya JMT kwa kufanya mabadiliko ya Katiba ya ZNZ yanayo puuza Supremacy ya Katiba ya Tanzania.
  2. CUF wanatambua Tume ya Uchaguzi na matokeo yote yaliyotangazwa na tume hiyo.
  3. CUF ni Chama kinachotetea wapemba wapate vyeo.
  4. CUF ni Chama cha Kiislam kinachosimamia ughaidi na kushulikiana na Al shabab.
  5. CUF ni tawi la CCM lililoko Pemba.
  6. Cuf ni chama cha kikanda kisichokuwa na nia yoyote na Tanzania Bara
  7. CUF kinaongozwa na viongozi wenye wivu na inda.
  8. CUF hawafahamu na kukubali kuwa Katiba ya JMT ina matatizo makubwa.
  9. CUF ni ndumila kuwili.
  10. CUF hawamkubali kiongozi yeyote kutoka Bara kwamba ana akili na anaweza kuongoza, labda akubali kumtumikia Seif Sharrif kama Lipumba.
  11. CUF hawaamini katika demokrasia bali katika Usultan.
  12. CUF wanatukuza uzanzibar zaidi ya Utanzania.
  13. CUF wanatumiwa na CCM kuidhofisha CHADEMA
  14. CUF ni sehemu ya utawala kwa upande wa SMZ
  15. CUF hawana utashi wowote wala nia ya kutawala Tanzania bara.
  16. CUF wametangaza kuwa wanataka kuunda kambi yao ndogoya upinzani bungeni.
  17. CUF ni wachumia tumbo hasa kwa kuzitolea mimacho fedha anazopewa kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni.
  18. CUF hawaamini kuwa CHADEMA waliwazidi kwa kura wakati wa uchaguzi mkuu.
  19. CUF na viongozi wao hawaaminiki hata kidogo.
  20. CUF hawawezi kutunza siri za upinzani.
  21. CUF kina viongozi waliowahi kutuhumiwa uhaini.
  22. endeleza sababu zifike mia halafu apelekewe kiongozi wa Upinzani Bungeni na katibu Mkuu wa CHADEMA.
 
23. CUF ni chama tawala kwa sasa hakiwezi kushiriki kwenye kambi ya upinzani.
 
24. CUF ni chama kilichokosa mwelekeo hivyo hakitakiwi kushirikishwa ktk jambo lolote
25. CUF ni wazushi wa kutupwa hawawezi kuaminika hata kidogo
 
25) kwa sababu cuf ni chama mahiri cha siasa na kina upeo wa hali ya juu kuliko sisi wagomvi na wapenda fujo
26) kwa sababu hamad rashid alimrarulia na kumgaragisha kama mtoto mdogo mwenyekiti wetu kwenye mdahalo
 
Je tukijumlisha kwenye sababu za kuwazuia chadema kwamba kwa kuwa "CUF ni chama cha Mipasho na Taarabu hawafai kuwa sehemu ya Kambi yenye hoja" itafaa?
 
27.Kwa sababu chadema haina mpango wa serikali ya umoja wa kitaifa wanataka waje kuongoza nchi kama CCM!
28. Kwa sababu chadema wana uroho wa madaraka na hawakutarajia ushindi
29. Kwa sababu chadema kina nguvu mno kiasi cha kuweza kushinda hoja zote za chama tawala
30. Kwa sababu kelele za kipindi kile za kutaka muafaka wa CUF na CCM zanzibar chadema walitoa maelekezo ule muafaka uwe vipi! na hivyo cuf wameenda kinyume na chadema!!!!
31. kwa sababu chaguzi zote zijazo chadema itashinda tenza zaidi, na umoja ule wa vyama vya upinzani uliokuwa ukihubiriwa ulikuwa ni fake
32. kwa sababu chadema kushirikiana na ccm kigoma hakukuwa na lengo kama la cuf zanzibar
33. kwa sababu linaloendelea sasa hivi bungeni kati ya cuf na chadema lina lengo la kujenga taifa na linasaidia wananchi wa kawaida!!

guys do you take time to think??
 
Huyu Mwana JF Beroya naye sijui yukoje, mbona amevuruga numbering sequence!!!!-anatumia risasi zetu kutupiga tena?- au tumueleweje.....?????
La msingi hapa ni kwamba- kafu ni chama cha kigaidi tangu mwanzo, ndiyo maana kule ZBR waliwashtukia tangu zamani hizo na kuhakikisha miaka yote ni ribiti!!!! Plse chama makini CDM don't make mistake hata kidogo!!!!!!
Hivi siku ya mdahalo hamkumuona sifa hizi ndani ya yule jamaa yao yule??????
Aluta Continua!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
25) kwa sababu cuf ni chama mahiri cha siasa na kina upeo wa hali ya juu kuliko sisi wagomvi na wapenda fujo
26) kwa sababu hamad rashid alimrarulia na kumgaragisha kama mtoto mdogo mwenyekiti wetu kwenye mdahalo

Al Zawahiri Hajambo?.... Mmemaliza yale mafunzo
 
Lengo kuu la serikali ya umoja wa kitaifa ni kuua demokrasia-mna rais mmoja, action plan moja, baraza moja la mawaziri, waziri mkuu mmoja,na mengine mengi mengi mengi sana!!!!!!!!!!!!!!!! Sasa katika hali kama hii dhana ya upinzani bado itakuwa imebakia kweli ??????????
Mugabe ameng'ang'ania kwa maslahi yake!!!! Kenya wao walitumia kama mpito na tayari katiba yao mpya imeondoa kitu hicho cha hatari kwa maendeleo ya taifa lao; ZBR katiba yao ni ya kudumu!!!-it has marked the end of multipartism there!!!!!!!!!! US, UK, na nchi duniani zenye misingi ya utawala wa haki, upinzani ni utaratibu wa kudumu-iweje tuletewe sera hizi za kifashsti??????? To hell with sera za serikali za umoja wa kitaifa!!! Kwani siasa ni vita!!!!! Siasa ni ustaarabu-upinzani ni pressure group-!! Hamuoni kwa kuogopa makali ya chama pinzani makini ambacho pia ni serikali kivuli mjengoni akina Pombe wameanza kwa gia ambazo hawajatumia tangu sisiemu izaliwe 1977!!!!!!!!!! Safari hii Pombe atakula mtu!!!!, akianzia na maskini Mrema-sijui na ardhi nako ataliwa mtu!!!!?????- ni maeneo mengi- pale fedha sijui kama EPA safari hii inchukulika???....!!!! Amaaa kweli Tundu Lissu ni mwanaume-hata polisi waliposikia tu upepo wake, ruksa haraka haraka, asije akapanda jukwaani na kumkaripia mizengwe pinda-maana anamsubiri mjengoni sababu kaingia mjengoni kupitia mlango wa uani !!!!!! Iko kazi safari hiii!!!!!! Baada ya kuonja joto ya jiwe la upinzani Mkwere mwenyewe amewaambia uswahiba ndiyo basi-kamwacha mkwe solemba!! mkwe samahani upepo umegeuka!!!!, niache tuokoe jahazi!!!-usicheze na upinzani-halafu mtu anakuja ana-advocate sera ya kuondoa pressure hii tamu!!!!!!!!!!!!!!!!!
Haikaeli na Dr (PhD) take note of our points kuwakataa kabisa kafu kwenye serikali kivuli-muangalie pia mtoto wao mageuzi-huyu naye hafai; their desparate mvungi ametukana CDM ataingiaje- yeye ametukana wakunga wakati bado mcha kweupe ndiyo uzazi unaanza!!!!!!!!!!!!!!!
 
35) hakina mwelekeo
36) wameweka madaraka mbele kuliko kuikomboa nchi
38) kuna harufu ya misingi ya udini
39) kinaonekana kama ni chama cha wazanzibari na si watanzania
40) waliwahi kusababisha kuvurugiga kwa amani zanzibar na kukimbilia nje wakiacha machafuko
41)wameshiriki kuvunja katiba juu ya muungano
42)hakina surport kubwa toka kwa vijana wasomi ambao ndo nguvu kazi
43)hakina surport toka kwa mwasisi yoyote wa siasa tanzania na kama yupo hana nguvu kwa jamii
44)mwenyekiti wao ni balozi wa kikwete maana kwenye kampen zake lazima aende ofisi za wakuu wa wilaya na wakurugenzi
45)sasa hv cuf ni chama tawala
 
Lengo kuu la serikali ya umoja wa kitaifa ni kuua demokrasia-mna rais mmoja, action plan moja, baraza moja la mawaziri, waziri mkuu mmoja,na mengine mengi mengi mengi sana!!!!!!!!!!!!!!!! Sasa katika hali kama hii dhana ya upinzani bado itakuwa imebakia kweli ??????????
Mugabe ameng'ang'ania kwa maslahi yake!!!! Kenya wao walitumia kama mpito na tayari katiba yao mpya imeondoa kitu hicho cha hatari kwa maendeleo ya taifa lao; ZBR katiba yao ni ya kudumu!!!-it has marked the end of multipartism there!!!!!!!!!! US, UK, na nchi duniani zenye misingi ya utawala wa haki, upinzani ni utaratibu wa kudumu-iweje tuletewe sera hizi za kifashsti??????? To hell with sera za serikali za umoja wa kitaifa!!! Kwani siasa ni vita!!!!! Siasa ni ustaarabu-upinzani ni pressure group-!! Hamuoni kwa kuogopa makali ya chama pinzani makini ambacho pia ni serikali kivuli mjengoni akina Pombe wameanza kwa gia ambazo hawajatumia tangu sisiemu izaliwe 1977!!!!!!!!!! Safari hii Pombe atakula mtu!!!!, akianzia na maskini Mrema-sijui na ardhi nako ataliwa mtu!!!!?????- ni maeneo mengi- pale fedha sijui kama EPA safari hii inchukulika???....!!!! Amaaa kweli Tundu Lissu ni mwanaume-hata polisi waliposikia tu upepo wake, ruksa haraka haraka, asije akapanda jukwaani na kumkaripia mizengwe pinda-maana anamsubiri mjengoni sababu kaingia mjengoni kupitia mlango wa uani !!!!!! Iko kazi safari hiii!!!!!! Baada ya kuonja joto ya jiwe la upinzani Mkwere mwenyewe amewaambia uswahiba ndiyo basi-kamwacha mkwe solemba!! mkwe samahani upepo umegeuka!!!!, niache tuokoe jahazi!!!-usicheze na upinzani-halafu mtu anakuja ana-advocate sera ya kuondoa pressure hii tamu!!!!!!!!!!!!!!!!!
Haikaeli na Dr (PhD) take note of our points kuwakataa kabisa kafu kwenye serikali kivuli-muangalie pia mtoto wao mageuzi-huyu naye hafai; their desparate mvungi ametukana CDM ataingiaje- yeye ametukana wakunga wakati bado mcha kweupe ndiyo uzazi unaanza!!!!!!!!!!!!!!!

Hapa nadhani umeongeza points kama nne hivi ingawa hukuziorodhesha kwenye namba.
26. CUF na washirika wao wana nia ya kuua upinzani
27. CUF wameshiriki na kubariki njama za kuondoa mfumo wa vyama vingi zanzibar
28. CUF wamepata kiwewe kuona serikali ya CCM inaogopa na kuheshimu moto unaokwenda kuwashwa na CHADEMA bungeni
29. CUF na Desparate Sisters wamebakia kutukana tu kwa lengo la kuharibu hoja za CHADEMA.
 
Mkuu Salute kwako,
Tafadhali ni PM ushahidi/Source yoyote inayotetea pinti yako hapo juu
kabla hatujamhukumu tufanye uchunguzi cuf ina wabunge wakristo? nachofahamu mimi uislamu pia kaama dini zingine unampinga laden na makundi mengine ya kigaidi maana obama ni muislam na anongoza sera hizo vizuri ila kaudin cuf kapo
 
Baada ya mdahalo wa Freeman Mbowe na Hamad Rashid, zimejidhihirisha wazi sababu zinazo wazuia CHADEMA kuwashirikisha CUF katika baraza la mawaziri kivuli na kuacha kushirikiana nao hadi wakitambue CHADEMA kuwa ni Chama mbadala kinachobeba matumaini ya watanzania.
  1. CUF kwa kushirikiana na CCM wameichezea Katiba ya JMT kwa kufanya mabadiliko ya Katiba ya ZNZ yanayo puuza Supremacy ya Katiba ya Tanzania.
  2. CUF wanatambua Tume ya Uchaguzi na matokeo yote yaliyotangazwa na tume hiyo.
  3. CUF ni Chama kinachotetea wapemba wapate vyeo.
  4. CUF ni Chama cha Kiislam kinachosimamia ughaidi na kushulikiana na Al shabab.
  5. CUF ni tawi la CCM lililoko Pemba.
  6. Cuf ni chama cha kikanda kisichokuwa na nia yoyote na Tanzania Bara
  7. CUF kinaongozwa na viongozi wenye wivu na inda.
  8. CUF hawafahamu na kukubali kuwa Katiba ya JMT ina matatizo makubwa.
  9. CUF ni ndumila kuwili.
  10. CUF hawamkubali kiongozi yeyote kutoka Bara kwamba ana akili na anaweza kuongoza, labda akubali kumtumikia Seif Sharrif kama Lipumba.
  11. CUF hawaamini katika demokrasia bali katika Usultan.
  12. CUF wanatukuza uzanzibar zaidi ya Utanzania.
  13. CUF wanatumiwa na CCM kuidhofisha CHADEMA
  14. CUF ni sehemu ya utawala kwa upande wa SMZ
  15. CUF hawana utashi wowote wala nia ya kutawala Tanzania bara.
  16. CUF wametangaza kuwa wanataka kuunda kambi yao ndogoya upinzani bungeni.
  17. CUF ni wachumia tumbo hasa kwa kuzitolea mimacho fedha anazopewa kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni.
  18. CUF hawaamini kuwa CHADEMA waliwazidi kwa kura wakati wa uchaguzi mkuu.
  19. CUF na viongozi wao hawaaminiki hata kidogo.
  20. CUF hawawezi kutunza siri za upinzani.
  21. CUF kina viongozi waliowahi kutuhumiwa uhaini.
  22. endeleza sababu zifike mia halafu apelekewe kiongozi wa Upinzani Bungeni na katibu Mkuu wa CHADEMA.

23. Cuf ni majuha.

24. CUF wanatumia mauwaji ya watu 47(kama wanavyodai) kama sera ya kujipambanua kuwa wao ni bora kuliko chadema. Ni kama vile wanatamani Chadema nao wasababishe maangamizi ya roho za watu.
 
35) hakina mwelekeo
36) wameweka madaraka mbele kuliko kuikomboa nchi
38) kuna harufu ya misingi ya udini
39) kinaonekana kama ni chama cha wazanzibari na si watanzania
40) waliwahi kusababisha kuvurugiga kwa amani zanzibar na kukimbilia nje wakiacha machafuko
41)wameshiriki kuvunja katiba juu ya muungano
42)hakina surport kubwa toka kwa vijana wasomi ambao ndo nguvu kazi
43)hakina surport toka kwa mwasisi yoyote wa siasa tanzania na kama yupo hana nguvu kwa jamii
44)mwenyekiti wao ni balozi wa kikwete maana kwenye kampen zake lazima aende ofisi za wakuu wa wilaya na wakurugenzi
45)sasa hv cuf ni chama tawala

hahaha!

nimeipenda hiyo (42)
 
Kama kuna siku nilimwona Hamad Rashid kuwa ameishiwa na point ni siku ile ya mdahalo.
1.Alisema kuwa CUF ilipoteza watu 47, lakini CHADEMA haikuwasaidia, JE CCM iliwasaidia katika hilo?
2.Akajigamba kuwa yeye ni mwanasiasa mkongwe, tatizo halikuwa kuwepo kwenye siasa kwa muda mrefu au mfupi, tatizo lilikuwa kujibu hoja


CHADEMA iwe makini na CUF, hata kama wakaamua kushirikiana, wasije wakatoa siri zao kwa CUF. Ni chama ambacho kiko kwa ajili ya kudai haki au kuwasaidia wapemba basi. Hata Lipumba japo uwezo anao, anaburuzwa tu na wapemba. Wao wako tayari kuipata Pemba hata wakiikosa Tanzania
 
40. Cuf ni mamluki
41. Cuf si wapinzani wa kweli kwa sababu wameuza ushindi mara nyingi
42. Cuf ni wasemaji wa ccm kwa sasa
43. Cuf ni ccm b
44. Cuf ni mgogoro
45. Cuf ni chama cha siasa zanzibar
46. Chadema imejitosheleza na vijana wengi wanasheria
47. Chadema chama cha umma
48. Chadema ni chama cha ukombozi
49. Chadema ni chama cha utetezi wa wanyonge
 
kabla hatujamhukumu tufanye uchunguzi cuf ina wabunge wakristo? Nachofahamu mimi uislamu pia kaama dini zingine unampinga laden na makundi mengine ya kigaidi maana obama ni muislam na anongoza sera hizo vizuri ila kaudin cuf kapo

mwe! Kumbe hata humu jf kuna mambumbu kama huyu kibenya!? Obama sio mwislamu, obama ni mkristo na mke wake anaitwa michele. Ushauri wa bure, kama huelewi kitu jifunze angalau kutumia google search, itakusaida kupata taarifa nyingi kwa usahihi. Kuliko kukurupuka, matokeo yake unakuja kujitia aibu kwamba wewe saa 7 usiku. Yaani hamna unalorifahamu.
Swali: Augustino ramadhani jaji mkuu ni dini gani?
 
Baada ya mdahalo wa Freeman Mbowe na Hamad Rashid, zimejidhihirisha wazi sababu zinazo wazuia CHADEMA kuwashirikisha CUF katika baraza la mawaziri kivuli na kuacha kushirikiana nao hadi wakitambue CHADEMA kuwa ni Chama mbadala kinachobeba matumaini ya watanzania.
  1. CUF kwa kushirikiana na CCM wameichezea Katiba ya JMT kwa kufanya mabadiliko ya Katiba ya ZNZ yanayo puuza Supremacy ya Katiba ya Tanzania.
  2. CUF wanatambua Tume ya Uchaguzi na matokeo yote yaliyotangazwa na tume hiyo.
  3. CUF ni Chama kinachotetea wapemba wapate vyeo.
  4. CUF ni Chama cha Kiislam kinachosimamia ughaidi na kushulikiana na Al shabab.
  5. CUF ni tawi la CCM lililoko Pemba.
  6. Cuf ni chama cha kikanda kisichokuwa na nia yoyote na Tanzania Bara
  7. CUF kinaongozwa na viongozi wenye wivu na inda.
  8. CUF hawafahamu na kukubali kuwa Katiba ya JMT ina matatizo makubwa.
  9. CUF ni ndumila kuwili.
  10. CUF hawamkubali kiongozi yeyote kutoka Bara kwamba ana akili na anaweza kuongoza, labda akubali kumtumikia Seif Sharrif kama Lipumba.
  11. CUF hawaamini katika demokrasia bali katika Usultan.
  12. CUF wanatukuza uzanzibar zaidi ya Utanzania.
  13. CUF wanatumiwa na CCM kuidhofisha CHADEMA
  14. CUF ni sehemu ya utawala kwa upande wa SMZ
  15. CUF hawana utashi wowote wala nia ya kutawala Tanzania bara.
  16. CUF wametangaza kuwa wanataka kuunda kambi yao ndogoya upinzani bungeni.
  17. CUF ni wachumia tumbo hasa kwa kuzitolea mimacho fedha anazopewa kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni.
  18. CUF hawaamini kuwa CHADEMA waliwazidi kwa kura wakati wa uchaguzi mkuu.
  19. CUF na viongozi wao hawaaminiki hata kidogo.
  20. CUF hawawezi kutunza siri za upinzani.
  21. CUF kina viongozi waliowahi kutuhumiwa uhaini.
  22. endeleza sababu zifike mia halafu apelekewe kiongozi wa Upinzani Bungeni na katibu Mkuu wa CHADEMA.


23. CHADEMA ni Chama Cha Kikabila na kirefu chake ni CHAGGAS DEVELOPMENT MANIFESTO
24. CHADEMA ni wabaguzi wa wenzao kwa kugawiana vyeo kwa kufuata ukanda na ukoo
25. CHADEMA ni Chama cha udini ndio maana wakati wa uchaguzi mahubiri yalikuwa yanafanyikia kanisani, na ushahidi ninao siku ambayo mie mwenyewe nilikuwa kanisani
26.CHADEMA viongozi wake si waadilifu mbele ya Mungu na si wasafi kwani Dr. Slaa amepora mke wa mtu na ana zini nae na Mbowe anaendesha club ya usiku ambayo uzinifu na uchafu wa ngono unafanyika nje nje ili mradi yeye anapata hela. HUU NI UFUASI WA SHETANI
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom