LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 15,076
- 27,010
- Thread starter
- #21
Ni kweli lakini mganga akimpenda mwanamke ambae ni Mteja wake anaweza kuomba ridhaa ya mizimu wake au majini wake..Kitabibu ukienda kutibiwa kwa mganga wewe una kuwa mtoto wa kiroho wa majini na mizimu waliompa uganga mganga huyo .So mganga kulala na Mteja wake ni mwiko mkubwa sana.Yani ni sawa na kulala mtoto wake wa kumzaa mwenyewe .Ndio maana waganga wengi wanaovunja mwiko huu huwa uganga wao unaisha nguvu ima huwa wanatiwa ukichaa ama kuuwawa na mizimu husikaLabda nikwambie ki2 ki1 umesahau, mganga haoi tu iviivi anaoa ke ambae atachaguliwa na mizim/majin wake kufuatana na nyota ya mtu. Mganga akiwa mzinzi sana anaaribu uganga wake