Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 81,913
- 158,402
Na wanaume mnavyovaaga kata k,
mnamaanisha huko mbele kuna mapungufu . . . so mnapalegeza nyuma ili kucompasate???
Hahahaaaaa! Kweli kabisa, very right.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wanaume mnavyovaaga kata k,
mnamaanisha huko mbele kuna mapungufu . . . so mnapalegeza nyuma ili kucompasate???
😀😀😀MIMI SURA MBAYA SO MIGUU INACOMPASATE.. SO KUONYESHA NA MIMI NIPO NAACHIA MITAA YA CHINI.TUFANYEJE SASA? mungu hakupi vyote!
Hili jibu ni la kichochezi aiseee!MIMI SURA MBAYA SO MIGUU INACOMPASATE.. SO KUONYESHA NA MIMI NIPO NAACHIA MITAA YA CHINI.TUFANYEJE SASA? mungu hakupi vyote!
Compensation issuesMIMI SURA MBAYA SO MIGUU INACOMPASATE.. SO KUONYESHA NA MIMI NIPO NAACHIA MITAA YA CHINI.TUFANYEJE SASA? mungu hakupi vyote!
Umenigusa, mimi nitokapo na mke wangu nataka avae nguo fupi tu. Ndio ugonjwa wangu, hivyo sipendi mke wangu avae jigauni reefu afu tukiwa viwanja nibaki kudindishia wanawake wa pembeni. I love her more nikiwa naye katika hali hiyo.Tutake radhi.
Mie navaa nguo fupi kwamaana ndivyo anavyopenda mume wangu.
Natangaza kuunga mkono hoja. Wangu nikitoka naye ni mwendo wa vimini tuWako wengi kama wewe ndani ya ndoa ambao waume zao hupenda wavae nguo zinazoweza kuitwa ni nguo fupi tena.
MIMI SURA MBAYA SO MIGUU INACOMPASATE.. SO KUONYESHA NA MIMI NIPO NAACHIA MITAA YA CHINI.TUFANYEJE SASA? mungu hakupi vyote!
Sasa si ndo maana ake?Tutake radhi.
Mie navaa nguo fupi kwamaana ndivyo anavyopenda mume wangu.
Sawasawa.Umenigusa, mimi nitokapo na mke wangu nataka avae nguo fupi tu. Ndio ugonjwa wangu, hivyo sipendi mke wangu avae jigauni reefu afu tukiwa viwanja nibaki kudindishia wanawake wa pembeni. I love her more nikiwa naye katika hali hiyo.
Eti eeeSasa si ndo maana ake?
Kama wewe ndio huyo ktk avatar yako basi mleta mada yuko sahihi.Tutake radhi.
Mie navaa nguo fupi kwamaana ndivyo anavyopenda mume wangu.
Moja ya kujiheshimu ni kutokuvaa nguo fupi.Wengine wanapenda tuu kuva kwa raha zao, chamsingi nikujiamini nakujiheshimu...