LexAid
JF-Expert Member
- Jul 5, 2011
- 1,931
- 772
MIMI SURA MBAYA SO MIGUU INACOMPASATE.. SO KUONYESHA NA MIMI NIPO NAACHIA MITAA YA CHINI.TUFANYEJE SASA? mungu hakupi vyote!
Mbona sijaona kibaya kwenye sura yako?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MIMI SURA MBAYA SO MIGUU INACOMPASATE.. SO KUONYESHA NA MIMI NIPO NAACHIA MITAA YA CHINI.TUFANYEJE SASA? mungu hakupi vyote!
huwezi kusema..ila ndo ivoMbona sijaona kibaya kwenye sura yako?
Tutake radhi.
Mie navaa nguo fupi kwamaana ndivyo anavyopenda mume wangu.
Wakati mwingne wanaume au watu tofauti hudhani kwamba, wanawake wanaovaa nusu uchi huwa wanafanya hivyo kwa sababuya kutafuta soko kwa wanaume.
Inawezekana kukawa na wale ambao wana sababu hizo, lakini wapo wale ambao wanalipa fidia kutokana na kuamini kwao kwamba wanamapungufu kwa mfano sura zao zimewaangusha, hivyo miguu yao mizuri inabidi kuziba pengo au udhaifu huo.
Wakati mwingine hata wanawake wanaodhani au kudhaniwa kuwa niwazuri, wamekuwa wakivaa nguo fupi zinazoonyesha maungo yao.Hawa nao ni lazima wanalipa fidia ya kasoro fulani waliyo nayo.
Inawezekana wameshindwa kulinda ndoa zao, au inawezekana hawajaolewa na sasa wanataka kuonyesha kwamba, pamoja na kutoolewa kwao, bado wao wana sura na miguu au miili mizuri.
Udhaifu wowote ambao unamkera mwanamke iwe ni wa moja kwa moja au kupitia nyuma ya ubongo wake, unaweza kuonyeshwa kwa mwanamke huyo kuyatangaza yalemaeneo ya mwili wake ambayo anaamini ni mazuri.
Kuyatangaza huko humpa ahueni kwa kuamini kwamba bado anayo thamani, kwani ataangaliwa sana na wanaume, kusifiwa na pengine kutongozwa.
Hebu angalia wanawake ambao wanavaa nguo za kubana huku wakiwa na makalio makubwa. Hawa mara nyingi wana sura ambazo wao au wengi huamini kwamba ni mbaya.
Huvaa nguo hizi ili kuonyesha kwamba, pamoja na ubaya wa sura zao, bado wao ni wazuri sana katika maeneo mengine ya mwili ambayo wanaume na hata wanawake wengi huyapenda au kutamani kuwa nayo.
Wengi hawavai tu nguo hizi za kubana kwa sababu ni fasheni, la hasha, wengi hili ni kimbilio la udhaifu wao
TOA MAONI YAKO HAPA
CHANZO: Media Bar
Habari ndio hiyo!!!!!!!wakati ukuta best .ikishajaa makunyazi tutaificha tu.kwa sasa show free
Wakati mwingne wanaume au watu tofauti hudhani kwamba, wanawake wanaovaa nusu uchi huwa wanafanya hivyo kwa sababuya kutafuta soko kwa wanaume.
Inawezekana kukawa na wale ambao wana sababu hizo, lakini wapo wale ambao wanalipa fidia kutokana na kuamini kwao kwamba wanamapungufu kwa mfano sura zao zimewaangusha, hivyo miguu yao mizuri inabidi kuziba pengo au udhaifu huo.
Wakati mwingine hata wanawake wanaodhani au kudhaniwa kuwa niwazuri, wamekuwa wakivaa nguo fupi zinazoonyesha maungo yao.Hawa nao ni lazima wanalipa fidia ya kasoro fulani waliyo nayo.
Inawezekana wameshindwa kulinda ndoa zao, au inawezekana hawajaolewa na sasa wanataka kuonyesha kwamba, pamoja na kutoolewa kwao, bado wao wana sura na miguu au miili mizuri.
Udhaifu wowote ambao unamkera mwanamke iwe ni wa moja kwa moja au kupitia nyuma ya ubongo wake, unaweza kuonyeshwa kwa mwanamke huyo kuyatangaza yalemaeneo ya mwili wake ambayo anaamini ni mazuri.
Kuyatangaza huko humpa ahueni kwa kuamini kwamba bado anayo thamani, kwani ataangaliwa sana na wanaume, kusifiwa na pengine kutongozwa.
Hebu angalia wanawake ambao wanavaa nguo za kubana huku wakiwa na makalio makubwa. Hawa mara nyingi wana sura ambazo wao au wengi huamini kwamba ni mbaya.
Huvaa nguo hizi ili kuonyesha kwamba, pamoja na ubaya wa sura zao, bado wao ni wazuri sana katika maeneo mengine ya mwili ambayo wanaume na hata wanawake wengi huyapenda au kutamani kuwa nayo.
Wengi hawavai tu nguo hizi za kubana kwa sababu ni fasheni, la hasha, wengi hili ni kimbilio la udhaifu wao
TOA MAONI YAKO HAPA
CHANZO: Media Bar
Jamani mie ni mrefu sana sasa nikivaa nguo ndefu ndio kabisaa nakuwa kama jini, hivyo kuepuka ujini huu navaa nguo fupi.
Mbona ya kwangu ni kama kuni za nyongeza na bado navaa vimini????
tutakoma tulio shapeless na suraless cjui tuonyeshe nn
Tutake radhi.
Mie navaa nguo fupi kwamaana ndivyo anavyopenda mume wangu.
sasa ulivyokuwa mrefu hivyo ukivaa nguo fupi si itaoneakna iko juu sana inapepea(kwenye mlingoti) kama bendera ya taifa?Jamani mie ni mrefu sana sasa nikivaa nguo ndefu ndio kabisaa nakuwa kama jini, hivyo kuepuka ujini huu navaa nguo fupi.
Tutake radhi.
Mie navaa nguo fupi kwamaana ndivyo anavyopenda mume wangu.