Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 14,965
- 10,460
Ndo ushangae. Saa hizi umeme umefika vijiji vingi sana, kuna televisheni na smartphone kila mahali. Watashindwaje kumjua Lissu?Duuu Lissu Kuna mtanzania gani asiye mjua utajua Kijiji Cha wap mkuu au umekula maharage ya wapi mkuu