Counsellor Sima
JF-Expert Member
- Jun 28, 2016
- 539
- 569
Kwa hisia za humu ndani Lissu ameshakua rais yani nyie binadamu nyie hata Mungu anawaona, hebu fanyeni kazi.
CHADEMA wamekuwa wakijipa matumaini hewa kuhusu mgombea wao Lissu kushinda wakisema yuko popular sana. Wakisema wanalalia mtaji wa kura za 2015 ambapo Lowasa alipata kura milioni sita.
Kitu kimoja wanasahau Lowassa alikuwa Waziri Mkuu muda mrefu na Waziri aliyejulikana sana vijijini ambako asilimia 80 ya Watanzania ndiko wanaishi na ndiyo sababu yake moja kubwa kuzoa kura nyingi.
Rais Magufuli anafahamika vijiji vyote Tanzania nzima na ndiko wapiga kura wengi walioko, siyo mijini.
Hata mijini Lissu anajulikana miji michache, hasa kwa vijana wanaoshinda mitandaoni, hasa wa Dar es Salaam ambao wengi hata kujiandikisha kupiga kura wengi hawajajiandikisha. Ni washabiki tu wa siasa za mitandaoni.
Pigo kuu la kubwagwa Lissu litatoka vijijini. Natoa siri ya wazi kabisa bila kuficha. Vijijini huyu Lissu hawamjui.Ofisi za CCM zipo kila kijiji na hakuna mwanakijiji asiyemjua Magufuli ni nani.
CHADEMA waliwekeza viofisi vya hapa na pale vya kuzuga kwa msajili mijini viofisi vichache tu lakini vijini vijiji vingi hawako huko ndiko pigo zito la Lissu litatokea.
Ndiyo maana hata mapokezi yake utakuta walikuwa wengi vijana wadogo; hakukuwa na watu wazima na hata maeneo aliyopita watu walikuwa kama wakimashangaa hivi, na watu wazima walikuwa wala hawana hamasa naye, ni vijana mmoja mmoja tu pembeni mwa barabara alimopita walioonyesha hisia za kumshangilia hapa na pale. Ikamlazimisha mpiga kamera afiche kupiga kamera kwa aibu akawa haonyeshi kabisa walio pembeni mwa barabara msafara unamopita.
Kamera yake ikajikita tu kwenye vijana walioko kwenye msafara wake. Anayebisha aangalie hizo video za msafara wake toka uwanja wa ndege hadi makao makuu Kinondoni; camera imekwepa kabisa kuonesha watu waliojipanga kando ya barabara kuogopa aibu sababu hawakuwepo na waliokuwepo hawakuonyesha hisia za kumshangilia. Angalia kamera inawaonesha walioko barabarani tu, ambao wengi walikodiwa kumsindikiza.
Mpiga picha yeyote akiangalia tu anajua walipiga picha tu za kudanganya wazungu pembeni mwa barabara hakuwa na washangiliaji! Pamoja na jiji la Dar kuwa na umati wa watu full time.
Angalia usanii wa CHADEMA Lissu anapungia mikono wasindikizaji pembeni mwa barabara hakuna wapungia mikono.
Huyo anaejulikana alipata salamu kule Ruangwa.
Uchaguzi huu ukanda hautafanikisha chochote hata huku mimi siwezi kumpa kura Magu mbele ya Lissu labda niwe nimerogwaPigo kuu la pili la Lisu litatoka kanda ya ziwa nyumbani kwa Magufuli.Kanda ya ziwa ndiko kuna wapiga kura karibu nusu ya wapiga kura wote Tanzania kutokana na population yao ,
Kule ni ngome ya CCM na kwao Magufuli na ndiko alikopata kura nyingi uchaguzi uliopita
Kanda ya ziwa ndiko huamua nani awe mshindi sababu kuna wapiga kura wengi kuliko popote Tanzania
Uchaguzi huu ukanda hautafanikisha chochote hata huku mimi siwezi kumpa kura Magu mbele ya Lissu labda niwe nimerogwaPigo kuu la pili la Lisu litatoka kanda ya ziwa nyumbani kwa Magufuli.Kanda ya ziwa ndiko kuna wapiga kura karibu nusu ya wapiga kura wote Tanzania kutokana na population yao ,
Kule ni ngome ya CCM na kwao Magufuli na ndiko alikopata kura nyingi uchaguzi uliopita
Kanda ya ziwa ndiko huamua nani awe mshindi sababu kuna wapiga kura wengi kuliko popote Tanzania
Mkuu nimecheka hapa
Lisu Hana mradi wa barabara ,umene Wala maji wa kuonyesha kuwa nichagueni nimefanya haya!!! Anaenda na blabla tupu.
Maguifuli akisimama maneno machache tu mnsona hiyo dispensary nzuri mnapopata huduma za afya ? Kazi yangu hiyo
Mnaona hayo maji ya bomba? Mnaona huo umeme? Mnaona hiyo shule nzuri wananu wanasoma bure? No
Lisu akisimama anaanza porojo nipeni kura kwa kuwa nilikuwa naumwa ubelgiji!!!
Magufuli anajulikana zaidi vijijini tokea alipokuwa waziri wa barabara. Kwani alitembea kwa gari nchi nzima mara kwa mara akikagua barabara.Pigo kuu la pili la Lisu litatoka kanda ya ziwa nyumbani kwa Magufuli.Kanda ya ziwa ndiko kuna wapiga kura karibu nusu ya wapiga kura wote Tanzania kutokana na population yao ,
Kule ni ngome ya CCM na kwao Magufuli na ndiko alikopata kura nyingi uchaguzi uliopita
Kanda ya ziwa ndiko huamua nani awe mshindi sababu kuna wapiga kura wengi kuliko popote Tanzania
Magufuli anajulikana zaidi vijijini tokea alipokuwa waziri wa barabara. Kwani alitembea kwa gari nchi nzima mara kwa mara akikagua barabara.
Pili anajulikana zaidi vijini wakati wa kampeini ya uraisi 2015.
Tatu tokea apate uRaisi amekuwa ni kawaida kusimamisha msafara wake na kutatua matatizo ya wananchi papo kwa papo.
Nimerejea tu toka safari yangu huko mkoa,
Kwa kweli jamaa hawampendi kajiharibia sana alipokuwa anawatetea Accacia, wanamuaita msaliti, hawataki hata kumsikia.
Mazungumzo yaliyopo ni kuwa jamaa katumwa kuja kutuvuruga.
Lisu ana hasira sana ya kuumizwa hivyo yupo tayari kuona kila mtu akiwa katika hali kama yake ndio afarijike.
Chadema wangetumia nafasi hii kumtibu kisaikolojia badala ya kumpa nafasi ya kugombea Urais.
Lakini anajulikana yawe mema au mabaya.Kwaiyo sisi tuliousimamisha msafara wake kipindi kile cha tetemeko kagera alutatuaje zaidi ya kusema hajaleta tetemeko yeye? Juzi Kilwa kawaambia wananchi kuwa hawezi akawajengea stend kisa walimchagua mbunge wa upinzani?.Ndo kulikana kwake huko vijijini anajulikana kwa maamuzi ya kukurupuka yasiyo na logic as presidential man
Hahaaaa kwa mabaya tunamjua ko lazima tumlipe kwa ubayaLakini anajulikana yawe mema au mabaya.
Kura za upinzani kanda ya kusini kuna Membe,kanda ya Pwani na Dar watagawana na Membe.Lakini hata wakiamua kumsimamisha mmoja wao kitu ambacho ni nadra bado kuna mapungufu.Kilimanjaro na Arusha wengi walichoma kadi za kupigia kura na kuapa hawaji piga kura baada ya Lowasa kupigwa chini nenda mwenyewe kawahoji Chadema waliopiga kura 2015 hawataki kupiga kura tena.Kazi mnayo kuwahamasisha warudi kupiga kura tena
Nendeni wenyewe mkahoji muwaulize Chadema waliopiga kura 2015 kuwa utaenda kupiga kura?
Mikoa hiyo ya kaskazini ilikuwa ngome ya Lowasa aki ji brand kama mwamba wa kaskazini na alishinda kura nyingi za asante mwanetu .Lisu sio brand nane ya kaskazini ,Hana brand name kanda yeyote!! Magufuli ni Brand Name ya Kanda ya Ziwa.Tundu Lisu hakujenga brand name hata ya kanda yake tu ili akitaka kugombea uraisi awe ana brand kubwa na ngome kanda fulani!! kwake hakuijenga hana kanda!! anategemea abebwe mgongoni na mbeleko kwenye hizo kanda!!! Na mbowe uwezo wa kumbeba Lisu kanda ya kaskazini mwisho kilimanjaro .Arusha na Manyara ni ngome za Lowasa na Sumaye ambao chadema waliondoka bila hata kuambiwa asante .Wenyewe wana hasira na Chadema wenye watoto wao hivyo Mbowe ubavu hana wa kumbeba Lisu Mikoa ya Arusha na Manyara.Masai mtu wao Lowasa ambaye CHadema walimtema Lisu Hawamjui
Kanda zingine zote hakuna kiongozi mwenye brand name wa kumbeba Lisu Ukiondoa tu Mbowe lakini kanda zingine hamna kitu watu wanajulikana tu kwenye majimbo yao Sio kanda .Lisu angekuwa alijiandaa uraisi alitakiwa kujenga brand name very strong walau kwenye kanda moja na kuwa household name .Kujihakikishia kuwa hiyo kanda ndio ngome yake ya kumbeba lakini hana! anategemnea kura za huruma za kuokoteza hapa na pale!!! Very wrong political strategy
Kiufupi hakujiandaa kuwa Raisi .Duniani kote hakuna uraisi wa kushtukiza watu hujiandaa kwa muda mrefu kwa strategy strong
Wewe ni muongo hadi unatia kinyaa. Kama hakubaliki kwao kabisa Chato ndio atakubalika kwingine kanda ya ziwa?Pigo kuu la pili la Lisu litatoka kanda ya ziwa nyumbani kwa Magufuli.Kanda ya ziwa ndiko kuna wapiga kura karibu nusu ya wapiga kura wote Tanzania kutokana na population yao ,
Kule ni ngome ya CCM na kwao Magufuli na ndiko alikopata kura nyingi uchaguzi uliopita
Kanda ya ziwa ndiko huamua nani awe mshindi sababu kuna wapiga kura wengi kuliko popote Tanzania
Mbowe anasema Chadema haitalipiza kisasi.Hahaaaa kwa mabaya tunamjua ko lazima tumlipe kwa ubaya
CHADEMA wamekuwa wakijipa matumaini hewa kuhusu mgombea wao Lissu kushinda wakisema yuko popular sana. Wakisema wanalalia mtaji wa kura za 2015 ambapo Lowasa alipata kura milioni sita.
Kitu kimoja wanasahau Lowassa alikuwa Waziri Mkuu muda mrefu na Waziri aliyejulikana sana vijijini ambako asilimia 80 ya Watanzania ndiko wanaishi na ndiyo sababu yake moja kubwa kuzoa kura nyingi.
Rais Magufuli anafahamika vijiji vyote Tanzania nzima na ndiko wapiga kura wengi walioko, siyo mijini.
Hata mijini Lissu anajulikana miji michache, hasa kwa vijana wanaoshinda mitandaoni, hasa wa Dar es Salaam ambao wengi hata kujiandikisha kupiga kura wengi hawajajiandikisha. Ni washabiki tu wa siasa za mitandaoni.
Pigo kuu la kubwagwa Lissu litatoka vijijini. Natoa siri ya wazi kabisa bila kuficha. Vijijini huyu Lissu hawamjui.Ofisi za CCM zipo kila kijiji na hakuna mwanakijiji asiyemjua Magufuli ni nani.
CHADEMA waliwekeza viofisi vya hapa na pale vya kuzuga kwa msajili mijini viofisi vichache tu lakini vijini vijiji vingi hawako huko ndiko pigo zito la Lissu litatokea.
Ndiyo maana hata mapokezi yake utakuta walikuwa wengi vijana wadogo; hakukuwa na watu wazima na hata maeneo aliyopita watu walikuwa kama wakimashangaa hivi, na watu wazima walikuwa wala hawana hamasa naye, ni vijana mmoja mmoja tu pembeni mwa barabara alimopita walioonyesha hisia za kumshangilia hapa na pale. Ikamlazimisha mpiga kamera afiche kupiga kamera kwa aibu akawa haonyeshi kabisa walio pembeni mwa barabara msafara unamopita.
Kamera yake ikajikita tu kwenye vijana walioko kwenye msafara wake. Anayebisha aangalie hizo video za msafara wake toka uwanja wa ndege hadi makao makuu Kinondoni; camera imekwepa kabisa kuonesha watu waliojipanga kando ya barabara kuogopa aibu sababu hawakuwepo na waliokuwepo hawakuonyesha hisia za kumshangilia. Angalia kamera inawaonesha walioko barabarani tu, ambao wengi walikodiwa kumsindikiza.
Mpiga picha yeyote akiangalia tu anajua walipiga picha tu za kudanganya wazungu pembeni mwa barabara hakuwa na washangiliaji! Pamoja na jiji la Dar kuwa na umati wa watu full time.
Angalia usanii wa CHADEMA Lissu anapungia mikono wasindikizaji pembeni mwa barabara hakuna wapungia mikono.