Pengine watanzania wanatega masikio kusikia "mawaziri wapya" na watendaji wengine kuwajibishwa lakini kwa utafiti wangu niliofanya nimegundua sababu za kuchelewa huko.
1. Sakata zima la escrow limeibuliwa na wapinzani sasa kama Rais atakubali kuwawajibisha ni kama amekubali kuongozwa "kuburuzwa" na wapinzani.
2. Uchaguzi huu wa serikali za mitaa. Pengine Rais anangoja upite kwanza huu..
3. IMPACT YA WATUHUMIWA kwa uchaguzi ujao.. pia hii inaleta delay hii maana watuhumiwa wengine wamesema "watamwaga mboga" pengine itahitajika "hekima" ya namna ya kuwapumzisha bila kuleta "madhara" kwenye chama mwakani.
4. Rais mwenyewe.. hapa Rais anajisikia "hatia" na pengine na "aibu" ya kubadili badili watu katika kipindi chake..
5. Muda uliobaki.. pia tuelewe umebaki muda mchache kupata viongozi wengine kupewa ofisi...
6. Nani atafaa kuchukua nafasi zao?
Kwa hiyo pengine tukasubiri hadi miguu izamie tumboni.
cc Pasco Mzeemwanakijiji MSALANI
1. Sakata zima la escrow limeibuliwa na wapinzani sasa kama Rais atakubali kuwawajibisha ni kama amekubali kuongozwa "kuburuzwa" na wapinzani.
2. Uchaguzi huu wa serikali za mitaa. Pengine Rais anangoja upite kwanza huu..
3. IMPACT YA WATUHUMIWA kwa uchaguzi ujao.. pia hii inaleta delay hii maana watuhumiwa wengine wamesema "watamwaga mboga" pengine itahitajika "hekima" ya namna ya kuwapumzisha bila kuleta "madhara" kwenye chama mwakani.
4. Rais mwenyewe.. hapa Rais anajisikia "hatia" na pengine na "aibu" ya kubadili badili watu katika kipindi chake..
5. Muda uliobaki.. pia tuelewe umebaki muda mchache kupata viongozi wengine kupewa ofisi...
6. Nani atafaa kuchukua nafasi zao?
Kwa hiyo pengine tukasubiri hadi miguu izamie tumboni.
cc Pasco Mzeemwanakijiji MSALANI