Rweye
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 16,958
- 7,512
hata raisi akisuasua kuwajibishwa kwa watuhumiwa kuko palepale. maana waliotoa maamuzi ni wananchi kupitia uwakilishi wa wabunge wao.
Hata rasimu ilipitishwa na wabunge kwa vijembe na matusi kwa kisingizio cha kutumwa na wananchi japo sikuwahi kumwona mbunge wangu akisumuon wapiga kura wake ili wamwambie wanataka katiba ya aina gani,bunge limekuwa likipitisha mambo feki (binafsi) kwa kisingizio cha wananchi na hicho ndo kilichotokea katika escrow Pac wanatumwa na wafanyabiashara alafu wanakuja kuishinikiza serikali eti wananchi wamesema, mbona hawawataji mabwana zao wa kunyimwa vitalu?