Chanzo kikuu cha ukosefu wa ajira hapa nchini ni serikali yetu. Kwa mfano mimi mwaka jana nilikuwa nafanya kazi kwenye kampuni ya wachina, nilipofika pale nilishangaa sana kukuta mpishi ni mchina, secretary, HR, Accountant, mtu wa procurement, baadhi ya madereva na mainjinia wote ni wachina.
Cha kusikitisha ni kuwa wachache sana ndo wana work permit. Kwa kipindi hicho hiyo kampuni ilikuwa inafanya miradi ya ujenzi ya serikali ya billion 102.
Chakusikitisha ni kwamba serikali wanajua hiyo situation kwamba ni against mkataba wao wa uwekezaji lakini wameuchuna. chakusikitisha ni kwamba hata vitu vidogo kama sigara vyote wanaimport kutoka kwao, hapo sasa niambie ajira watanzania tutapata wapi?
Cha kusikitisha ni kuwa wachache sana ndo wana work permit. Kwa kipindi hicho hiyo kampuni ilikuwa inafanya miradi ya ujenzi ya serikali ya billion 102.
Chakusikitisha ni kwamba serikali wanajua hiyo situation kwamba ni against mkataba wao wa uwekezaji lakini wameuchuna. chakusikitisha ni kwamba hata vitu vidogo kama sigara vyote wanaimport kutoka kwao, hapo sasa niambie ajira watanzania tutapata wapi?