GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,516
- 108,791
Imegundulika ya kwamba 99% ya Vifo vinatokana na ama Wahadhiri au Wanafunzi wa Elimu ya Juu ( Vyuo Vikuu ) nchini Uganda Kujitoa Uhai wao ( Kujiua / Kujidedisha ) mara kwa mara ni Mahusiano ya Kimapenzi ambapo ama Mhadhiri amezidiwa Kete na Mwanafunzi wa Kiume au Mwanafunzi nae amezidiwa Kete na Mhadhiri au Mwanafunzi wa Kike amakuta amechanganywa na Rafiki yake wa Kike kwa ama Mhadhiri Mmoja au Mwanafunzi mmoja hivyo kupata Hasira na kuamua Kujitanguliza kwenda Kaburini
Je kwa Tanzania sababu huwa ni zipi?
Nawasilisha.
Je kwa Tanzania sababu huwa ni zipi?
Nawasilisha.