utaifakwanza
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 14,193
- 2,812
Mwanakijiji wewe uko ulaya, acha kutuhadaa watanzania, tuache tupate katiba mpya
Mwanakijiji wewe uko ulaya, acha kutuhadaa watanzania, tuache tupate katiba mpya
| ||||
| ||||
Mwanakijiji = CDM = Maslahi ya Taifa kwanza.
Mbowe kaanza kunywa juisi munafiki mtupu,mwanzoni mlipiga kelelekatiba mpya! katiba mpya!inaelekea kupatikana mnaanza viojana huo ndo msimamo wa chama chenu.Mwanzoni mligoma,baada ya juice za ikulu mkashiriki,naona mnatafuta kwenda
ikulu kunywa tena juice.Angalizo wasikusahau wakienda ikulu