USTAADHI
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 1,516
- 136
mi naona wacha ninoe panga langu maana vita hapa tanzania imenukia HATA MCHAKATO WA KATIBA NAO ATAAMUA MWKT WA CCM! sasa si wanasema atakayemkwaza mjumbe wa tume atachukuliwa hatua wengine hatukwazi tutafanya kweli nchi inayumba sisi tunauma uma maneno