Ni nini hasa kinasababisha mtu afikirie kuingia kwenye ndoa? je ni kwa ajili ya sababu zifuatazo :-
1. Kutii agizo la Mungu.
2. kuondoa upweke
3. kupata watoto
4. kuogopa maneno ya watu
5. Umri kufika au miaka kusonga
6.kwa sababu umezaa tayari na mwenza wako au mmepeana mimba
7. Shinikizo la Wazazi
au kuna sababu nyingine zaidi ya hizo? Tusaidiaine ili tuweze kueleimishana ni ipi sababu nzuri hasa ya kuingia kwenye ndoa.
1. Kutii agizo la Mungu.
2. kuondoa upweke
3. kupata watoto
4. kuogopa maneno ya watu
5. Umri kufika au miaka kusonga
6.kwa sababu umezaa tayari na mwenza wako au mmepeana mimba
7. Shinikizo la Wazazi
au kuna sababu nyingine zaidi ya hizo? Tusaidiaine ili tuweze kueleimishana ni ipi sababu nzuri hasa ya kuingia kwenye ndoa.