Kanyamulano
JF-Expert Member
- Nov 25, 2017
- 905
- 870
Anajikubal had inaonesha too muchKiburi kipoje ndugu?
Anajikubal had inaonesha too muchKiburi kipoje ndugu?
Aliongea na mwanaume mwngine nkiwa nae geto nkaona n dharau nikaamua kupiga chinBinafsi nilikuta kwenye simu yake kanisave "KIBERENGE" na hiyo ilikuwa ni line ya Voda.. halotel nikakuta kanisave "KAMONGO"!
Baada ya kutafakari kwa kina nikaona nimuache tu nibaki na huo ukamongo wangu nimuondolee jam mtoto wa watu!!..
Wewe je, ni sababu ipi ilikufanya mpenzi wako awe ex wako..??
Yawazekana kabisa maana alisema kabisa anaona sir God hajampangia mimi, lakini nshatulia na wangu nakuoa nimeoa. Na yeye hata sijui anaendeleaje.Kuna sehemu ulikuwa unakwama..
mwisho wa siku nilimwachia shuka tu.alinitusi kua kwetu kuna njaa,sina akili ya maisha, nipo tu sijishughulishi,analisha na ananivisha, na kibanda kidg tulijenga akasema hakinihusu, kisa kidume niliyumba kama mwaka kwa kua sina kazi. niltumia hayo matusi kama changamoto. usije oa public servant wakati bado huna kazi, atakuvumila ila akichoka utajuta.
Duh! Mkuu pole sana ☹️alinitusi kua kwetu kuna njaa,sina akili ya maisha, nipo tu sijishughulishi,analisha na ananivisha, na kibanda kidg tulijenga akasema hakinihusu, kisa kidume niliyumba kama mwaka kwa kua sina kazi. niltumia hayo matusi kama changamoto. usije oa public servant wakati bado huna kazi, atakuvumila ila akichoka utajuta.
Ulikuwa M-PESA braza 🤣🤣🤣Hanitafuti hadi awe na shida ya hela
Nikajiuliza mi ni mpenzi au mpesa ?
That happens when there is lack of love!Any conversation with her would turn into argument. I couldn't hold on for long.
Mkuu umeuaaa...!!alinitusi kua kwetu kuna njaa,sina akili ya maisha, nipo tu sijishughulishi,analisha na ananivisha, na kibanda kidg tulijenga akasema hakinihusu, kisa kidume niliyumba kama mwaka kwa kua sina kazi. niltumia hayo matusi kama changamoto. usije oa public servant wakati bado huna kazi, atakuvumila ila akichoka utajuta.
Sijawahi kuwa na mpenzi. Siku nikimpata yakimshinda na kufikia hatua ya kuwa Ex nitakuja kuwasimulia