Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 73,696
- 225,404
Itafahamika tu..
Itafahamika tu..
Ahsante.......good riddance anywayDuh! Pole
Wewe kisa chako ni kimoja tu?Pole sana
So umeniona mi ni mtu wa visa..
Ndo kimoja ndio..
Hicho kimoja ntakuongezea kesho..
Kiswahili bhana..
Namuunga kwa asilimia 100Akili zangu zimefanyaje au nawewe unaungana na huyo alienisave KIBERENGE..?
Tabia mbaya tu..
Kila siku mi nilikuwa ndo namtafuta mie ndo mtoa salamu kila siku ilifika mahala nikaona nikaushe kwanza basi mpka leo kila mtu yupo kimya na mapenzi ndo yakafa hivoooBinafsi nilikuta kwenye simu yake kanisave "KIBERENGE" na hiyo ilikuwa ni line ya Voda.. halotel nikakuta kanisave "KAMONGO"!
Baada ya kutafakari kwa kina nikaona nimuache tu nibaki na huo ukamongo wangu nimuondolee jam mtoto wa watu!!..
Wewe je, ni sababu ipi ilikufanya mpenzi wako awe ex wako..??
Wewe utakufa single bila watotoSijawahi kuwa na mpenzi. Siku nikimpata yakimshinda na kufikia hatua ya kuwa Ex nitakuja kuwasimulia
Bila shaka wajumbe wameshajaa huko DM!!!Sijawahi kuwa na mpenzi. Siku nikimpata yakimshinda na kufikia hatua ya kuwa Ex nitakuja kuwasimulia