Sababu gani MBA ya Mzumbe inaitwa maharage ya Mbeya?

Mzumbe ni takataka tupu, yaani kuna wafanyakazi wenzangu 3 wanasoma Masters Mzumbe kila siku tuko nao ofisini utadhani wanasoma open university, cha kushangaza wakienda tu chuo wiki moja wanarudi na kuonesha matokea ya mitihani yao wakiwa wamepata A kibao!! Na mwingine alienda siku 3 tu akarudi na kusema kamaliza Dissertation, kituko ukimuuliza tittle ya Dissertation yake haijui.
 
Mzumbe ni takataka tupu, yaani kuna wafanyakazi wenzangu 3 wanasoma Masters Mzumbe kila siku tuko nao ofisini utadhani wanasoma open university, cha kushangaza wakienda tu chuo wiki moja wanarudi na kuonesha matokea ya mitihani yao wakiwa wamepata A kibao!! Na mwingine alienda siku 3 tu akarudi na kusema kamaliza Dissertation, kituko ukimuuliza tittle ya Dissertation yake haijui.
khaaaaaaaaah!
 
Mzumbe ni takataka tupu, yaani kuna wafanyakazi wenzangu 3 wanasoma Masters Mzumbe kila siku tuko nao ofisini utadhani wanasoma open university, cha kushangaza wakienda tu chuo wiki moja wanarudi na kuonesha matokea ya mitihani yao wakiwa wamepata A kibao!! Na mwingine alienda siku 3 tu akarudi na kusema kamaliza Dissertation, kituko ukimuuliza tittle ya Dissertation yake haijui.

Kaazi kweli kweli
 
Nimesoma porojo nyingi humu Jukwaani , jambo moja dhahili. . . . Wengi hamjui mahitaji ya soko la ajira.Waajiri wengi wanavipa uzito sawa vyuo. Kwakua vimesajiliwa na kutambuliwa.Hakuna Tangazo la kazi linaomba wenye degree Ya Makerere ama Havard.Kinachoangaliwa ni quality ya Individual.Nimewahi kuwa Tutor UdSM kabla sijawa Ass. LECTURER IfM, uzuzu wa vijana wetu unafanana, uzuzu wa walimu wetu hapa Tz unafanana. Wachache wazuri , wengi wajinga.Sidhani kama ni haki kuwaponda wahitimu wa Mzumbe , wakati hata vyuo vingine vinatoa pumba kama za pale.Mfumo wetu wa Elimu umeruhusu taifa kufika hapa.
 
Nimesoma porojo nyingi humu Jukwaani , jambo moja dhahili. . . . Wengi hamjui mahitaji ya soko la ajira.Waajiri wengi wanavipa uzito sawa vyuo. Kwakua vimesajiliwa na kutambuliwa.Hakuna Tangazo la kazi linaomba wenye degree Ya Makerere ama Havard.Kinachoangaliwa ni quality ya Individual.Nimewahi kuwa Tutor UdSM kabla sijawa Ass. LECTURER IfM, uzuzu wa vijana wetu unafanana, uzuzu wa walimu wetu hapa Tz unafanana. Wachache wazuri , wengi wajinga.Sidhani kama ni haki kuwaponda wahitimu wa Mzumbe , wakati hata vyuo vingine vinatoa pumba kama za pale.Mfumo wetu wa Elimu umeruhusu taifa kufika hapa.

Hakika umetoa neno ambalo kama kuna mtu ataendeleza porojo basi ana lake jambo. Kimsingi nakubaliana kwamba waajiri hawana preference ya vyuo ili mradi mtu ana sifa stahili. Nadhani ni uanafunzi ndo unaowasumbua wengi lakin wakiingia kwenye soko la ajira wengi hujikuta wakiwa treated equally.
 
Wewe ndiye hukuwa na akili. paper inarudishwa mara kumi kwa kuwa ni mbovu unasingizia mwalimu. Ulitaka mwalimu akupitishie utumbo wako ili leo uje hapa JF na kusema Mzumbe ni Vodafaster? Shame on you alll mnaotaka degree za kuhonga. Mzumbe ni chuo chenye heshima nchini tuache kukiharibia sifa.

Kama kuna wahadhiri wabovu, wanaopenda wahongwe ndipo wakupe maksi, waanikeni wao hapa ili washughurikiwe sio kuleta general statements hapa. Hili ni jamvi la wenye akili sio mbumbumbu.





Kwa 7bu hakuna ufuatiliaji wa karibu katika usimamizi wa assignments, maks za test na mitihani zinatolewa kirahisi sana sometyms hata kwa 'kubagein' na lecturer, some courses za MBA lecturers wake ni Masters Holders, Katika suala zima la research au dissertation ambazo ni requirements za kukamilisha hizo MBA na masters nyingine, most of the time hazipiti kama hujamhonga supervisor wako. Utarudishiwa drafts zaweza hata kufika kumi mpaka utakapotoa kitu kidogo ndo zinapita. Speaking From Experience.
 
Wewe ndiye hukuwa na akili. paper inarudishwa mara kumi kwa kuwa ni mbovu unasingizia mwalimu. Ulitaka mwalimu akupitishie utumbo wako ili leo uje hapa JF na kusema Mzumbe ni Vodafaster? Shame on you alll mnaotaka degree za kuhonga. Mzumbe ni chuo chenye heshima nchini tuache kukiharibia sifa.

Kama kuna wahadhiri wabovu, wanaopenda wahongwe ndipo wakupe maksi, waanikeni wao hapa ili washughurikiwe sio kuleta general statements hapa. Hili ni jamvi la wenye akili sio mbumbumbu.
Ulisoma mzumbe wakati wa warioba?
 
Sijasoma Mzumbe, ninafanya kazi na products za Mzumbe MBA na first degrees, hawana tatizo. Wakati wa interview ndio wa kuchuja sio vyeti tu. Nilisoma mlimani zamani kidogo tatizo la udokozi wa mitihani lilikuwepo, watu walikamatwa na vikaratasi vya majibu wakafukuzwa. Tatizo ni wanafunzi kupenda dezo sio mitaala ya chuo.




Ulisoma mzumbe wakati wa warioba?
 
Nimesoma porojo nyingi humu Jukwaani , jambo moja dhahili. . . . Wengi hamjui mahitaji ya soko la ajira.Waajiri wengi wanavipa uzito sawa vyuo. Kwakua vimesajiliwa na kutambuliwa.Hakuna Tangazo la kazi linaomba wenye degree Ya Makerere ama Havard.Kinachoangaliwa ni quality ya Individual.Nimewahi kuwa Tutor UdSM kabla sijawa Ass. LECTURER IfM, uzuzu wa vijana wetu unafanana, uzuzu wa walimu wetu hapa Tz unafanana. Wachache wazuri , wengi wajinga.Sidhani kama ni haki kuwaponda wahitimu wa Mzumbe , wakati hata vyuo vingine vinatoa pumba kama za pale.Mfumo wetu wa Elimu umeruhusu taifa kufika hapa.
ukweli mtupu. Binafsi sijawahi kuona tangazo la kazi linalotaka degree au masters ya UD au sua...popote. Sifa za ziada ndio zitakuingiza kwenye soko la ajira.Acha watoto wapige porojo, usiku ukifika wakojoe wakalale.
 
Kuna watu wapuuz mno,vyuo vyote vya umma vimeanzishwa kwa mujibu wa sheria na kwa malengo maalum,2napoongelea upand wa accountancy mu inamchango mkubwa kwa hii nch,je hamjuh kuwa cpa holder wa kwanza tz altoka mzumbe tena mwanamke?je hamjuh kuwa ndo chuo pekee chenye exception kwny acca?mbona ma t_o wanazd kung'ang'ania baf ya mzumbe?udsm,sua vyote n bora ila tuczalau na vngne,kama mzumbe haina cfa kwann UN wanatoa fedha kwa pamoja kna sweden kugharamia baadh ya course?achen matusi yasiyo na msingi,tunataka hoja hapa.kuna mtu hapa katoa hoja ya phd holder,hiv itakuwaje kama chuo ktakuwa na ma_phd 800 na wanafunz 120000?mzumbe kuna degree zna wanafunz kumi na kitu mfano uchum upand wa pd,kwa hal hii ma phd weng wa nn?jarbu kuangalia ratio la malectr kwa wanafunz ,ulalamish kuhusu mba za mzumbe umatokana na uelewa finyu,soko la ajira lilikuwa linahtaj wahtmu weng kwa haraka,vyuo vng vkazubaa,ndo sasa hv vyuo vng km iaa wana campus dar,kwa ulmengu wa leo,muda wa kusoma mba umepungua sana,
u have a point!
 
Jamani waTZ tutaacha lini hii tabia ya kwamba kitu chochote kigumu ni bora, dawa ikiwa chungu ndio inafanya kazi.
UD kutoa MBA kwa muda mrefu sio maana yake ndio bora kuzidi vyuo vingine dunia ya sasa ni jukumu la mwanafunzi kujishughulisha.
Mbona US na UK wanatoa MBA kwa muda mfupi na product wengi tunawakubali suala ni mwanafunzi wengi wanasoma ili wapate vyeti wakati wenzetu wanasoma wajue.
Plagiarism ni janga la taifa katika elimu yetu.
 
Mzumbe ni takataka tupu, yaani kuna wafanyakazi wenzangu 3 wanasoma Masters Mzumbe kila siku tuko nao ofisini utadhani wanasoma open university, cha kushangaza wakienda tu chuo wiki moja wanarudi na kuonesha matokea ya mitihani yao wakiwa wamepata A kibao!! Na mwingine alienda siku 3 tu akarudi na kusema kamaliza Dissertation, kituko ukimuuliza tittle ya Dissertation yake haijui.

What's wrong with the Open University of Tanzania?
 
Tatizo linaanzia kwenye accepted entry qualification za sasa hivi. Ukifungua website ya TCU utapata jibu haraka sana. Entry qualification kwa undergraduate programme, ni principal pass 2 tu, regardless of points 2.5, 3, et cetera.

hapa ndipo siasa inapoharibu elimu-elimu ni kwa wote-ila si wote wanaweza kuwa na sifa za kuipata-sasa kwa point hizo ni matatzo tu
 
Hodi;
Watanzania lazima tutambue kuwa waajiri wanachotaka toka kwa wahitimu ni attitude sio vyeti.
Pia u bora wa elimu unapimwa na matokeo ya elimu; Je ni chuo kipi wahitimu wake wametengeneza ajiar nyingi,
Je ni wahitimu wa chuo gani wanatoa mchango mkubwa kwenye utendaji wa kazi, je wanapanda vyeo mapema na
kuchukua majukumu ipasavyo, wanamtazamo gani juu ya kazi .
Mfumo wa uchaguzi wa chuo gani kusoma unategemea lengo la msomaji. Labda waajiri walete experience yao ya matumizi ya MBA's
makazini kama sio kujiongezea ujiko tu. Ukiwa kazini somea kazi sio cheti. Watakuja watu na Diploma zao watachukua kazi zetu
zote huku sisi twaendela kusema nani bora.
 
Hodi;
Watanzania lazima tutambue kuwa waajiri wanachotaka toka kwa wahitimu ni attitude sio vyeti.
Pia u bora wa elimu unapimwa na matokeo ya elimu; Je ni chuo kipi wahitimu wake wametengeneza ajiar nyingi,
Je ni wahitimu wa chuo gani wanatoa mchango mkubwa kwenye utendaji wa kazi, je wanapanda vyeo mapema na
kuchukua majukumu ipasavyo, wanamtazamo gani juu ya kazi .
Mfumo wa uchaguzi wa chuo gani kusoma unategemea lengo la msomaji. Labda waajiri walete experience yao ya matumizi ya MBA's
makazini kama sio kujiongezea ujiko tu. Ukiwa kazini somea kazi sio cheti. Watakuja watu na Diploma zao watachukua kazi zetu
zote huku sisi twaendela kusema nani bora.

Nimependa hapo kwenye red, na ni kweli kabisa
 
what's wrong with the open university of tanzania?

hiyo mpya inazidi ya uchakachuaji, nashauri mwajiri wa hao wanafunzi apate maelezo kwa chuo ada ispotee bure, lakini pengine wanasoma evening ya dar? (si unajua evening ni evening kweli hata walimu ni evening
 
Wewe ndiye hukuwa na akili. paper inarudishwa mara kumi kwa kuwa ni mbovu unasingizia mwalimu. Ulitaka mwalimu akupitishie utumbo wako ili leo uje hapa JF na kusema Mzumbe ni Vodafaster? Shame on you alll mnaotaka degree za kuhonga. Mzumbe ni chuo chenye heshima nchini tuache kukiharibia sifa.Kama kuna wahadhiri wabovu, wanaopenda wahongwe ndipo wakupe maksi, waanikeni wao hapa ili washughurikiwe sio kuleta general statements hapa. Hili ni jamvi la wenye akili sio mbumbumbu.
Acha kukurupukia hoja za watu bila kuwa na uelewa, kama wewe ni mkereketwa sana na chuo hicho nenda katoe somo kwao wajirekebishe, nina akili sana ndio maana nimeandika hapa, baada ya supervisor kuhongwa anapitisha a 2nd draft ambayo alishaikataa, huo kama si utaahira ni nini? Shame on u!
 
Sijasoma Mzumbe, ninafanya kazi na products za Mzumbe MBA na first degrees, hawana tatizo. Wakati wa interview ndio wa kuchuja sio vyeti tu. Nilisoma mlimani zamani kidogo tatizo la udokozi wa mitihani lilikuwepo, watu walikamatwa na vikaratasi vya majibu wakafukuzwa. Tatizo ni wanafunzi kupenda dezo sio mitaala ya chuo.
Kumbe hujasoma pale, kinachokufanya ujifarague kutetea usichokijua ni nini? Mijitu mingine bwana!
 
Back
Top Bottom