Sababu 5 Zinazoweza Kumfanya Mke Wako Atembee Nje ya Ndoa

Mkuu BAK; mimi simo . . . ngoja wenyewe warudi . . . LOL

Ha ha ha ha Allien mbona unaikimbia thread yako? ha ha ha ha Wewe ndiyo mwenyewe Allien usiikimbie thread yako. Wanaume mchezo wa kutembea nje ya ndoa za umekuwepo miaka nenda miaka rudi. Miaka ya karibuni wanawake nao wameanza kufuata nyayo za wanaume sasa wanaume tunaanza kugwaya ha ha ha ha thanks to DNA vinginevyo njemba nyingi zingekuwa zinalea watoto ambao si wao.
 
Ha ha ha ha Allien mbona unaikimbia thread yako? ha ha ha ha Wewe ndiyo mwenyewe Allien usiikimbie thread yako. Wanaume mchezo wa kutembea nje ya ndoa za umekuwepo miaka nenda miaka rudi. Miaka ya karibuni wanawake nao wameanza kufuata nyayo za wanaume sasa wanaume tunaanza kugwaya ha ha ha ha thanks to DNA vinginevyo njemba nyingi zingekuwa zinalea watoto ambao si wao.

Mkuu; hiyo kitu umeelezea hapo juu ndo hiyo wanasema ya Swingers? Huku bongo watauana kaka.
 
Kwa kifupi Binadamu tupo katika kundi la wanyama. Kundi hili lina matamanio ya kufanya tendo la ndoa na mtu zaidi ya mmoja. Dini na ustaarabu ndio umefanya tendo la kujamiina na mwanamke au mwanaume zaidi ya mmoja lionekane ni la haramu. Angalia hata Waislamu ambao wana wake wanne ambalo linaruhusiwa katika dini hiyo. Hawa pia pamoja na kuwa na wanawake wanne bado hutamani wanawake wengine nje ya ndoa zao. Miaka ya nyuma hakukuwa na vishawishi vingi na pia hakukuwa na technology ambayo ilirahisisha watu kucheat ndani ya ndoa zao. Lakini miaka ya sasa kutokana na kuongezeka vishawishi hivyo na technology kama cell phones, internet n.k. kutembea nje ya ndoa kumekuwa ni rahisi mno ukilinganisha na miaka ya nyuma.

Ni kazi mno kula ugali na maharage asubuhi na mchana kwa mwezi mzima, imagine kutembea na mume au mke huyo huyo kwa miaka 20 au zaidi ya ndoa. Sisemi hivi kwa kuhalalisha watu watembee nje lakini ndiyo ukweli wa mambo.
Wenzetu wengi wa kizungu wameliona hilo na kuanza kulifanyia kazi kwa kuwa na open marriage ambapo mke na mume wanapeana ruhusa ya kuwa na mwenzi wao nje ya ndoa.
Pia niliwahi kufanya kazi na Waswedish na Wadanish Tanzania ambao walikuwa wanapenda sana kwenda katika mbuga za wanyama, ngorongoro, mikumi n.k. Cha kushangaza wengi wao walikuwa wameoa lakini njemba walikuwa wanaombana ruhusa ya kuchukua mke wa mwenzie na kwenda naye huko. Siye wabongo wenye wivu wa mwaka 47 tulikuwa hata hatuelewi umwache mke wako nyumbani na kwenda na mke wa mwenzio vacation ya wiki nzima, lakini kwa wenzetu halikuwa tatizo.

Imagine rafiki yako mpenzi akufuate na kukuomba kwenda vacation labda Nairobi au Zenj na mkeo ha ha ha ha ha itakuwa patashika nguo kuchanika na urafiki utaisha siku hiyo hiyo ha ha ha ha labda baada ya miaka michache nasi Wabongo tutaliruhusu hilo ha ha ha ha lakini sijui kama tutakuwa na uvumilivu wa kiasi hicho

It's not an excuse. What differentiates as from other animals is the will not to act on every urge in our body. The right things are not always easy na hapo juu all I see is excuses. Humans are capable of being faithful to one partner but when it becomes had they give excuses that it's just human. Tusi toa visingizio kwa vitu tunavyo jua ni morally wrong. Mwisho watu watasema sasa tendeni dhambi tu kwani kutenda dhambi ni ubinadamu. Excuses kama hizi ndizo zinafanya kucheat kuwe rahisi kwa baadhi ya watu maana wanakuwa wamesha halalisha kuwa haiwezekani kuji zuia. Leo hii useme ujambazi ni halali uone ujambazi utakavyo ongezeka simply because wamepata excuse.
 
Mkuu; hiyo kitu umeelezea hapo juu ndo hiyo wanasema ya Swingers? Huku bongo watauana kaka.

Hata majuu wanauana ndugu lakini hii ni tofauti na swingers. Kuswing mna swing pamoja. Hii mama/mzee anatoka pekee yake kwenda kujinafasi sasa inapokuwa katika wiki mzee au mama anataka aende kwa mwenziye wa nje ya ndoa 5 days out of 7 basi hapo ndipo matatizo yanaanza.
 
It's not an excuse. What differentiates as from other animals is the will not to act on every urge in our body. The right things are not always easy na hapo juu all I see is excuses. Humans are capable of being faithful to one partner but when it becomes had they give excuses that it's just human. Tusi toa visingizio kwa vitu tunavyo jua ni morally wrong. Mwisho watu watasema sasa tendeni dhambi tu kwani kutenda dhambi ni ubinadamu. Excuses kama hizi ndizo zinafanya kucheat kuwe rahisi kwa baadhi ya watu maana wanakuwa wamesha halalisha kuwa haiwezekani kuji zuia. Leo hii useme ujambazi ni halali uone ujambazi utakavyo ongezeka simply because wamepata excuse.

Unayosema ni kweli kabisa. Lakini angalia watu ambao tumewaamini katika jamii zetu wanavyofanya ufuska. Angalia mapadre na masheikh wanavyojihusisha na vitendo ambavyo wao wenyewe huubiri kila siku iendayo kwa Mungu kwamba ni dhambi kubwa. Halafu baada ya mahubiri yao katika nyumba za ibada wanageuka na wao wenyewe kuwa mstari wa mbele kuyatenda madhambi hayo.
 
By Mike Celizic
TODAYShow.com contributor
updated 1:07 p.m. ET, Wed., March. 19, 2008

For one species of flatworm that lives in the gills of freshwater fish, monogamy is the rule. But for humans and every other living creature, biologists believe nature prefers that man and beast have multiple sexual partners.

With that in mind, some biologists say we shouldn't be too surprised when public figures like former New York Gov. Eliot Spitzer and others get caught cheating on their mates.

We may just be wired that way.

"Nature wants one thing, and what it wants are babies," Jeffrey Kluger, TIME magazine's science editor, told TODAY's Meredith Vieira on Wednesday. "It also wants lots of them and it wants variety, because the greater the genetic variety, the greater the likelihood that the babies are going to survive to adulthood and do well. So even when we've had children, we have some very primal software that keeps telling us, ‘Look around.' "

Once upon a time, biologists thought that there were a number of animals - eagles, geese and beavers among them - that remained monogamous throughout their lives. But DNA testing has shown that even the animals that look like the models of fidelity are getting out at night for a little extra on the side. And, according to a report filed by TODAY's Natalie Morales, the list of officially monogamous creatures is down to one - that freshwater flatworm that physically attaches itself to a mate for life.

"Men will look for women who look like they're young and fecund," Kluger added. "And women look for men who look like they're good providers, which is why rich and powerful men do well."

Even in human societies, Americans are relatively unique in their expectation of lifelong fidelity, said University of Texas psychologist and author David Buss.


"Historically, most cultures are polygynous, meaning men are legally entitled to take multiple wives, and so mating with many women is very common across cultures and perfectly acceptable in many cultures," he said from Austin, Texas. "Our culture is somewhat unique in that we have presumptive monogamy or legal monogamy - men are only supposed to have one woman."

Vieira wondered whether we haven't evolved beyond our biological impulses, and both men agreed that humans do have the ability to override their genetic and biological programming. And, studies show, most people do, with 65 percent of men and 75 percent of women claiming that they have never cheated on their spouses.

"If you look at marriages, in fact, more than half of them - in America anyway - do remain monogamous," Buss said. "I think it's important to keep in mind that although we do have these biological impulses to stray, we also have inhibitions against straying, for example, reputational damage. When people get caught straying, they incur reputational damage, and we are very concerned about our social reputations."

The conflict between desire and morality was famously defined by former President Jimmy Carter, who told Playboy that he felt "lust" in his heart, and was roundly criticized for admitting even that.

But, Buss said, Carter was making an important point. "It's a reflection of reality," he said. "I think it's also important to keep in mind that both men and women experience lust in their hearts. They feel attractions to others."

Both scientists agreed that while women do cheat, men are more likely to.

"There are two reasons for that," Kluger said. "First of all, men simply can breed more. Men biologically can conceive a child every day if they wanted to. So we're trip-wired for that kind of thing."

Above the rules?
The way society is structured also adds to a male's incentive to cheat. "We still live in a patriarchal society, which means men are more commonly in positions of power," Kluger went on. "Positions of power tend to validate the belief that you're above the rules. You and I don't get a motorcade when we go places. We don't get a flying wedge on the sidewalk. So if you're entitled to the sidewalk and you're entitled to the street, why aren't you entitled to that beautiful woman on your communications staff?"


Click for related content
Discuss: What do you think?
Why do women stand by scandal-stained husbands?
Images: Politicians and sex scandals


Buss said that although the urge to cheat is universal, people with certain personality traits are more likely to stray than others.

"Our studies find two in particular," said Buss in addressing those traits. "One is impulsivity or lack of conscientiousness. But the most important personality characteristic is narcissism. Men who are high on the narcissism personality characteristic are more likely to cheat than men who are lower. They put their own needs and their own urges before those of their families."

Both agreed that "biology made me do it" isn't an excuse for infidelity.

"We have to be realistic about our human nature. We have these impulses to stray," said Buss. "But we also have inhibitions against straying and the ability to choose whether or not we do."
 
Always remember this message, you have nothing to loose when you behave in acceptable standards or manners among your peers.
 
Kaazi kweli kweli.
hiyo kitu imeota mizizi kipindi hiki,japo ilikuwepo hapo awalii,ila kwa usiri mmno.sasa hivi imekuwa fashion mke wa mtu kutoka nje,na ukidadisi utasikia"ooh jamaa anajimba sana dawa nje ndani hakuna kinachoendelea"

Tuombe Munguatuponye.
 
I agree, WAZALAMO wapotayari kuacha MDUNDIKO wakachukua TAARABU lakini sio MAJIFYA 3 NEVER EVER. Wanadumisha Mirazao. Ukitembea kwenye reli au ukipanda treni kwenda KUOA msanga na vijiji vingine vya kizalamo, RELI ZIPO MBILI NA WEWE WA TATU 'MATATIZO MATUPU' USHAURI WANGU MILA HIYO IMEPITWA NA WAKATI. KAMA WALIVYOACHA MDUNDIKO, SIKU HIZI SIU SIKII. WAACHANE NA MILA HIYO KUNA UKIMWI.
 
siku hizi hakuna mapenzi ya kweli ni kutamaniana tu,hata ikitokea mmoja anampenda mwenzie mwingine anakuwa hajali....msiwablame wanawake sana ingawa wanaongoza kiukwelii,wanaume wanapenda sana chovya chovya
 
Inaelekea dada wewe una asili ya moja ya mikoa ya Nyanda za Juu Kusini, manake hilo neno hutumika sana maeneo ya Zambia.
Naona hata wewe ni wa kule kule, maana wakina Sinkala ni Nyanda za juu kusini na Zambia.
 
siku hizi hakuna mapenzi ya kweli ni kutamaniana tu,hata ikitokea mmoja anampenda mwenzie mwingine anakuwa hajali....msiwablame wanawake sana ingawa wanaongoza kiukwelii,wanaume wanapenda sana chovya chovya

...yapo kaka, kama hujabahatika usikatishwe tamaa na challenges za dunia, mitihani tu hiyo utavuka!
 
Hio ndio Generalisation tunayokataa!! Kuna ushahidi gani kwa Wazaramo kwamba wanafunzwa hivyo ?
Utuombe radhi tafadhali, Mama yangu ni mzaramo, ameishi na mzee bila kucheat miaka 59 ndani ya ndoa mpaka mzee kafariki, nina dada watano wote wameolewa hakuna hata mmoja kuja na migogoro ya ku-cheat zaidi utakuta hao waume ndio wanakuwa suspect .
Cheaters ni tabia ya mtu awe mwanamme/mwanamke/mzaramo/mchaga/mzungu nk. Acha kutukana watu tafadhali!!
siri anayo mama yako aisee, yeye ndiye anayejua kuwa hata yule mzee aliyekufa ni bsba yako au la. bora ungepita bila kuongea hayo maneno manake watu watakuumiza moyo hapa wakiamua kuchangia ulichokisema.
 
Back
Top Bottom