Mikael Aweda
JF-Expert Member
- Dec 17, 2010
- 2,973
- 3,901
Mimi ninampenda sana Mwl Nyerere hivyo, kauli ya Vincent imenisumbua sana; wakati mwingine ninawaza namna hii.
Kwa kuwa mwanafamilia wa Mwl Nyerere mh Vincent Nyerere ametoa tuhuma nzito sana kuwa BM ana husika na kifo cha baba yao Mwl Nyerere baada ya BM kudai kuwa Vincent Nyerere si mwanafamilia wa Mwl Nyerere, na
kwa kuwa tuhuma hiyo ya BM kushinikiza Mwl akatibiwe Uingereza kinyume na matakwa ya wanafamilia kwa kuwa mwl hakuwa anaumwa sana na kama ni kutibiwa basi aende nchi za kijamaa ila BM hakuafiki, na
Kwa kuwa pamoja na uzito wa tuhuma hizi nzito mtoto wa Kwanza wa Mwl Nyerere mwenye uelewa wa kutosha - Madaraka Nyerere, anakuja hadharani na kumtetea Vincent Nyerere kuwa ni mwanafamilia wao dhidi ya kauli ya BM huku akigoma kukanusha tuhuma nzito za Vincent Nyerere dhidi ya BMW kama msemaji wa familia, na
Kwa kuwa Kifo hicho cha Mwl Nyerere kilikuja kipindi ambacho BM alikuwa ktk harakati za ubinafsishaji ambao ulikuwa unaupingwa sana na Mwl Nyerere ukiwepo uuzaji wa Benki ya NBC nk, na
Kwa kuwa baada ya kifo kile ndo sera hiyo iliyokuwa inapingwa sana na mwl Nyerere ilitekelezwa kwa kasi ikiwepo uanzishaji wa Kampuni ya ANB.... LTD ya BM na mke wake, na
Kwa kuwa kuna tetesi kuwa kupanda chati ya Kisisasa ghafla kwa mmoja wa madaktari hapa nchini ..... kuwa Mbunge hadi kuwa waziri mwaka 2006 inaweza kuwa mmoja ya mkakati wa kumziba mdomo kutokana na siri nzito anazojua ( Hii ni tetesi), na
Kwa kuwa ilitarajiwa kuwa Vincent Nyerere angeonywa sana na wanafamilia na pengine hata kushtakiwa na BM na kutolewa kwa kauli nyingi kali dhidi yake ktk vyombo vya habari, jambo ambalo halijatokea kabisa (kinyume chake BM anaomba upatanisho), na
Kwa kuwa si kawaida kwa BM Mkapa kushuka chini kiasi cha kutaka mama Maria Nyerere ampatanishe na Vincent Nyerere ( pengine ili mengi zaidi yasifumuliwe na wanafamilia hao?), na
kwa kuwa JK Nyerere aliwahi kutangaza kuwa afya yake ni njema na kuahidi kuwa angeweza kuona serikali ya awamu ya nne, kitu ambacho hakikutokea na Mwl Kufariki ghafla, na
Kwa kuwa ilitarajiwa ccm wakanushe habari hiyo kwa nguvu sana wakishirikiana na wanafamilia wa Mwl Nyerere ktk vyombo vyote vya habari hasa tv na kurudia rudia habari hiyo, badala yake wanapenyeza propaganda ktk magazeti yao zisizo na reliable source.
Hivyo basi;
I give this news benefit of doubt.
Kwa kuwa ............................................. ( Unaweza ukaongeza mwenyewe if you wish, Ziko zaidi ya 5, )
Hivyo ndivyo ninavyowaza wakati mwingine, sijui kwanini!
Kwa kuwa mwanafamilia wa Mwl Nyerere mh Vincent Nyerere ametoa tuhuma nzito sana kuwa BM ana husika na kifo cha baba yao Mwl Nyerere baada ya BM kudai kuwa Vincent Nyerere si mwanafamilia wa Mwl Nyerere, na
kwa kuwa tuhuma hiyo ya BM kushinikiza Mwl akatibiwe Uingereza kinyume na matakwa ya wanafamilia kwa kuwa mwl hakuwa anaumwa sana na kama ni kutibiwa basi aende nchi za kijamaa ila BM hakuafiki, na
Kwa kuwa pamoja na uzito wa tuhuma hizi nzito mtoto wa Kwanza wa Mwl Nyerere mwenye uelewa wa kutosha - Madaraka Nyerere, anakuja hadharani na kumtetea Vincent Nyerere kuwa ni mwanafamilia wao dhidi ya kauli ya BM huku akigoma kukanusha tuhuma nzito za Vincent Nyerere dhidi ya BMW kama msemaji wa familia, na
Kwa kuwa Kifo hicho cha Mwl Nyerere kilikuja kipindi ambacho BM alikuwa ktk harakati za ubinafsishaji ambao ulikuwa unaupingwa sana na Mwl Nyerere ukiwepo uuzaji wa Benki ya NBC nk, na
Kwa kuwa baada ya kifo kile ndo sera hiyo iliyokuwa inapingwa sana na mwl Nyerere ilitekelezwa kwa kasi ikiwepo uanzishaji wa Kampuni ya ANB.... LTD ya BM na mke wake, na
Kwa kuwa kuna tetesi kuwa kupanda chati ya Kisisasa ghafla kwa mmoja wa madaktari hapa nchini ..... kuwa Mbunge hadi kuwa waziri mwaka 2006 inaweza kuwa mmoja ya mkakati wa kumziba mdomo kutokana na siri nzito anazojua ( Hii ni tetesi), na
Kwa kuwa ilitarajiwa kuwa Vincent Nyerere angeonywa sana na wanafamilia na pengine hata kushtakiwa na BM na kutolewa kwa kauli nyingi kali dhidi yake ktk vyombo vya habari, jambo ambalo halijatokea kabisa (kinyume chake BM anaomba upatanisho), na
Kwa kuwa si kawaida kwa BM Mkapa kushuka chini kiasi cha kutaka mama Maria Nyerere ampatanishe na Vincent Nyerere ( pengine ili mengi zaidi yasifumuliwe na wanafamilia hao?), na
kwa kuwa JK Nyerere aliwahi kutangaza kuwa afya yake ni njema na kuahidi kuwa angeweza kuona serikali ya awamu ya nne, kitu ambacho hakikutokea na Mwl Kufariki ghafla, na
Kwa kuwa ilitarajiwa ccm wakanushe habari hiyo kwa nguvu sana wakishirikiana na wanafamilia wa Mwl Nyerere ktk vyombo vyote vya habari hasa tv na kurudia rudia habari hiyo, badala yake wanapenyeza propaganda ktk magazeti yao zisizo na reliable source.
Hivyo basi;
I give this news benefit of doubt.
Kwa kuwa ............................................. ( Unaweza ukaongeza mwenyewe if you wish, Ziko zaidi ya 5, )
Hivyo ndivyo ninavyowaza wakati mwingine, sijui kwanini!