Chuck j
JF-Expert Member
- Jun 17, 2011
- 2,358
- 814
Nikiwa mmoja wa vijana wakimapinduzi,nashawishika kulaumu japo sipashwi kulaumu. Kushindwa kwa kafu ni kushindwa kwa upinzani wote tz. Sababu ya kwanza ni udini. Sababu ya pili ni kuiponda CDM. Cuf walinyamazia mashehe walivyotoa matamko kuwaambia waisilamu wasiipigie cdm,wakisahau kuwa watanzania ni wamoja. Cuf walikuwa wanapigana na kivuli chao, kitendo cha kuwaponda wapinzani wenzao ilikuwa sumu kwa wapiga kura.waliwafanya cdm wapinzani wao ccm wapinzani wenzao,walikuwa wanawapinga cdm badala ya ccm.