Uchaguzi 2020 Sababu 11 kwanini Lissu atapata ushindi wa asilimia ndogo kuliko wote tangu 1995

Magufuli si ana mandege, mareli, mann???

Sisi tunataka Rais wakuwapa vijana ajira, Rais wakulinda nakuheshimu Katiba, Rais wa Kulinda Utu na haki za binadamu na kuwaishi wanadamu wote ktk msingi wa usawa, Rais Wakuongeza mishahara ya wafanyakazi, Rais wakumsaidia mkulima wa korosho, mbaazi, n.k, Rais ambaye Hawezi ona watu wake wanapotea na kukaa kimya., Rais wakutoa Mikopo kwa wanafunzi wote wa vyuo vikuu bila kujalisha kasomea Sekondar gan, Rais atakayehakikisha Elimu inakua bora, sio utopolo wenu uliopo sasa.

MTOA MADA, AYO ULOYAANDIKA, HATA AKINA MUSOLIN, WANAZI , GHADAFI, WALIYAFANYAAAAA .

Wewe jiulize, Pamoja na udogo wa nafasi yake , Lissu hajawah hata kua waziri, ni mbunge tu, Lakini umaarufu wake, watanzania waliojitokeza kumpokea .... Laxima ukubaliane namm kua LISSU NI MPANGO WA MBINGU.
Hata makaburu walijenga miondombinu safi Afrika ya Kusini. Sasa wako wapi? Maendeleo ni watu siyo vitu.
 
Hili pekee linatosha kabisa kumwangusha Lisu asipobadirika
Je majibu mnayo ya watu waliopotea, kina Gwandu Bensaanane etc??
Wasiojulikana waliommiminia Tundu Lisu risasi mmewakamata??
Unafikiri Watanzania ni majuha kama wewe, waendelee kudanganywa siku zote??
 
Je majibu mnayo ya watu waliopotea, kina Gwandu Bensaanane etc??
Wasiojulikana waliommiminia Tundu Lisu risasi mmewakamata??
Unafikiri Watanzania ni majuha kama wewe, waendelee kudanganya siku zote??
Kupoteza watu na kuwatesa watu ni dhambi mbaya na laana,uliyouliza hayo sina ushahidi Nayo, na yalishatokea tayari na yataendele kutokea si Tanzania pekee mpaka huko duniani
 
MKUU UMEELEZA VIZURI SANA TATIZO MACHADEMA MENGI NI MATOTO MAWANAFUNZI YENYE KUFUATA MKUMBO HAYAJUI MAISHA YENYEWE NI KUJA KULOPOKA TU UMU MTU MWENYE AKILI TIMAMU UWEZI KUONA LISU ANASIFA YA KUWA RAISI WA HII INCHI ATA AKIWEKWA NA MAKONDA TU

OVER OVER
 
Kuna mahala pengi tu duniani ambapo palikuwa na hiyo inayodhaniwa tume isiyo huru lakni siku watu waliochoka serikali ziliondolewa bila kujali kuna tume huru au tume fungwa.

Hii sio hoja nzuri mkuu, usiitegemee sana

Hatuishi nchi nyingi tunaishi TZ , ulitaka waru wauwawe ndio mlazimike kuweka Tume huru?
 
1: JPM anamengi yakuonekana aliyofanya kwa wananchi Lissu hata jimbo lake tu hakuna chochote cha kuonyesha.

2: Kila vita anayoingia JPM anapata ushindi au nusu ushindi (MAKINIKIA) wa kugusika, Lissu ni nusu ushindi au ushindi wa maneno.

3: Lissu amejipanga kutumia tuhuma kujinadi wakati JPM atakuwa na muda wa kutangaza na kuwaonyesha watanzania aliyowafanyia.

4: Taifa bado linamwangwi wa utisho wa kazi za JPM na maamuzi magumu kama KORONA, Lissu kaanza udalali wa kutaka kutuaminisha watu wanakufa korona kipindi ambacho kila kanisa linatoa ibada za shukrani kwa Mungu kutupa rais Jasiri.

5: Wakati wananchi wanameaminishwa MABEBERU ni watu wabaya, LISSU anaonekana kutegemea watu hao ambao wapiga kura wanaamini ni wabaya kama watu wake wa karibu.

6: Tangu amepata Janga la kumiminiwa vitu vinavyodhaniwa kuwa ni Risasi Kila akisimama kuongea anaongea yaleyale hadi anaboa. Wakati Tunategemea JPM atoe mambo mapya licha ya kuwa na mengi ya kusema.

7: Kanda ya ziwa huwa inaamua nani ashide uchaguzi kwa idadi kubwa ya wapiga kura, huko tumeshuhudia vitendo vingi vya maendeleo kuliko maneno ya kipinzani na malalamiko. Wanatarajia Lissu utawafanyia nini zaidi ya Meli, Busisi, Barabara, Viwanda, zahanati etc ila naona umejipanga kuwapelekea tuhuma na maneno ya kujirudiarudia.

8: Lissu maarufu mitandaoni ila katika uhalisia kwa wapiga kura Magufuli ni maarufu kuliko Lissu.

9: Lissu amekaa kama mtu anayetakiwa kusumbua mfumo sio kuwa kiongozi wa mfumo wa kuwasaidia watu. Maneno yake, Body language yake haimfanyi mpiga kura aone kuwa hapo kuna jamaa mwenye utisho wa kuwa kiongozi wa nchi. Angalau Membe kidogo.

10: Hakuna mtu wa kuvujisha taarifa za siri za kiserikali na kiCCM ili ziwape wapinzani kiki kama enzi za Dr Slaa. Karibu watu wote wanahofu hata tu kulitaja jina la JPM kimizaha. Kwa kipindi ambacho hakuwepo LISSU nchi imebadilishwa saikolojia kabisa jambo ambalo halihitaji miezi miwili kulirudisha.

11: Kwa sasa JPM haonekani kama Kiongozi wa nchi tu bali pia kama Kiongozi wa Kiroho. Kuna watu leo wanamuamini JPM kuliko hata viongozi wao wa kidini maana Alionyesha utegemezi mkubwa kwa Mungu ktk Corona kuliko hofu za viongozi wao. Sio suala la miezi miwili kumtolea mtu imani.

Hivi kuna watu wanafikiri kabisa kuwa Lissu anaweza kuwa na nguvu kubwa kushinda Lowasa na ataweza kumshinda Magufuli hahahHaha yani Lissu amshinde Magufuli vijijini kabisa hahahah
 
1: JPM anamengi yakuonekana aliyofanya kwa wananchi Lissu hata jimbo lake tu hakuna chochote cha kuonyesha.

2: Kila vita anayoingia JPM anapata ushindi au nusu ushindi (MAKINIKIA) wa kugusika, Lissu ni nusu ushindi au ushindi wa maneno.

3: Lissu amejipanga kutumia tuhuma kujinadi wakati JPM atakuwa na muda wa kutangaza na kuwaonyesha watanzania aliyowafanyia.

4: Taifa bado linamwangwi wa utisho wa kazi za JPM na maamuzi magumu kama KORONA, Lissu kaanza udalali wa kutaka kutuaminisha watu wanakufa korona kipindi ambacho kila kanisa linatoa ibada za shukrani kwa Mungu kutupa rais Jasiri.

5: Wakati wananchi wanameaminishwa MABEBERU ni watu wabaya, LISSU anaonekana kutegemea watu hao ambao wapiga kura wanaamini ni wabaya kama watu wake wa karibu.

6: Tangu amepata Janga la kumiminiwa vitu vinavyodhaniwa kuwa ni Risasi Kila akisimama kuongea anaongea yaleyale hadi anaboa. Wakati Tunategemea JPM atoe mambo mapya licha ya kuwa na mengi ya kusema.

7: Kanda ya ziwa huwa inaamua nani ashide uchaguzi kwa idadi kubwa ya wapiga kura, huko tumeshuhudia vitendo vingi vya maendeleo kuliko maneno ya kipinzani na malalamiko. Wanatarajia Lissu utawafanyia nini zaidi ya Meli, Busisi, Barabara, Viwanda, zahanati etc ila naona umejipanga kuwapelekea tuhuma na maneno ya kujirudiarudia.

8: Lissu maarufu mitandaoni ila katika uhalisia kwa wapiga kura Magufuli ni maarufu kuliko Lissu.

9: Lissu amekaa kama mtu anayetakiwa kusumbua mfumo sio kuwa kiongozi wa mfumo wa kuwasaidia watu. Maneno yake, Body language yake haimfanyi mpiga kura aone kuwa hapo kuna jamaa mwenye utisho wa kuwa kiongozi wa nchi. Angalau Membe kidogo.

10: Hakuna mtu wa kuvujisha taarifa za siri za kiserikali na kiCCM ili ziwape wapinzani kiki kama enzi za Dr Slaa. Karibu watu wote wanahofu hata tu kulitaja jina la JPM kimizaha. Kwa kipindi ambacho hakuwepo LISSU nchi imebadilishwa saikolojia kabisa jambo ambalo halihitaji miezi miwili kulirudisha.

11: Kwa sasa JPM haonekani kama Kiongozi wa nchi tu bali pia kama Kiongozi wa Kiroho. Kuna watu leo wanamuamini JPM kuliko hata viongozi wao wa kidini maana Alionyesha utegemezi mkubwa kwa Mungu ktk Corona kuliko hofu za viongozi wao. Sio suala la miezi miwili kumtolea mtu imani.
Watu wanafiki hupenda sana kulitaja jina la Muumba ili kuficha uovu wao.

Hakuna mcha Mungu anayeua binadamu wenzake, kuteka, kuwapoteza au kuwatengenezea kesi za uhujumu uchumi na utakatishaji fedha haramu ili tu wateseke.

Usisikilize mtu anayoyanena hadharani, angalia anayoyatenda ndiyo utajua kama ana Roho wa Mungu au Roho ya Shetani.

Kuna watu wamewahi kwenda mpaka madhabahuni, wakadondosha machozi - kumbe ni unafiki mtupu. Akitoka madhabahuni, anaenda kuongoza kikundi cha wasiojulikana kwenda kuteka, kutesa na kupoteza watu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1: JPM anamengi yakuonekana aliyofanya kwa wananchi Lissu hata jimbo lake tu hakuna chochote cha kuonyesha.

2: Kila vita anayoingia JPM anapata ushindi au nusu ushindi (MAKINIKIA) wa kugusika, Lissu ni nusu ushindi au ushindi wa maneno.

3: Lissu amejipanga kutumia tuhuma kujinadi wakati JPM atakuwa na muda wa kutangaza na kuwaonyesha watanzania aliyowafanyia.

4: Taifa bado linamwangwi wa utisho wa kazi za JPM na maamuzi magumu kama KORONA, Lissu kaanza udalali wa kutaka kutuaminisha watu wanakufa korona kipindi ambacho kila kanisa linatoa ibada za shukrani kwa Mungu kutupa rais Jasiri.

5: Wakati wananchi wanameaminishwa MABEBERU ni watu wabaya, LISSU anaonekana kutegemea watu hao ambao wapiga kura wanaamini ni wabaya kama watu wake wa karibu.

6: Tangu amepata Janga la kumiminiwa vitu vinavyodhaniwa kuwa ni Risasi Kila akisimama kuongea anaongea yaleyale hadi anaboa. Wakati Tunategemea JPM atoe mambo mapya licha ya kuwa na mengi ya kusema.

7: Kanda ya ziwa huwa inaamua nani ashide uchaguzi kwa idadi kubwa ya wapiga kura, huko tumeshuhudia vitendo vingi vya maendeleo kuliko maneno ya kipinzani na malalamiko. Wanatarajia Lissu utawafanyia nini zaidi ya Meli, Busisi, Barabara, Viwanda, zahanati etc ila naona umejipanga kuwapelekea tuhuma na maneno ya kujirudiarudia.

8: Lissu maarufu mitandaoni ila katika uhalisia kwa wapiga kura Magufuli ni maarufu kuliko Lissu.

9: Lissu amekaa kama mtu anayetakiwa kusumbua mfumo sio kuwa kiongozi wa mfumo wa kuwasaidia watu. Maneno yake, Body language yake haimfanyi mpiga kura aone kuwa hapo kuna jamaa mwenye utisho wa kuwa kiongozi wa nchi. Angalau Membe kidogo.

10: Hakuna mtu wa kuvujisha taarifa za siri za kiserikali na kiCCM ili ziwape wapinzani kiki kama enzi za Dr Slaa. Karibu watu wote wanahofu hata tu kulitaja jina la JPM kimizaha. Kwa kipindi ambacho hakuwepo LISSU nchi imebadilishwa saikolojia kabisa jambo ambalo halihitaji miezi miwili kulirudisha.

11: Kwa sasa JPM haonekani kama Kiongozi wa nchi tu bali pia kama Kiongozi wa Kiroho. Kuna watu leo wanamuamini JPM kuliko hata viongozi wao wa kidini maana Alionyesha utegemezi mkubwa kwa Mungu ktk Corona kuliko hofu za viongozi wao. Sio suala la miezi miwili kumtolea mtu imani.
Refa kachagua mchezaji mmoja linesman kachague yeye kamuajiri yeye na kamisaa wa mcheza kamuajiri yeye kwanini asishinde kwa kimbunga!!
 
Hivi kuna watu wanafikiri kabisa kuwa Lissu anaweza kuwa na nguvu kubwa kushinda Lowasa na ataweza kumshinda Magufuli hahahHaha yani Lissu amshinde Magufuli vijijini kabisa hahahah
Labda vijiji vya kwenu. Lakini vijiji vya kwetu, hata wanaCCM wenyewe, baadhi hawataki hata kumsikia. Aliwaharibia sana uchumi wao kwa kuzuia mahindi kuuzwa nje ya nchi, na kuharibu uhusiano na Kenya ambayo ilikuwa ndiyo soko kubwa la mbao. Nyanda za juu Kusini na Kusini - vijijini walio wengi hawamtaki. Kwanza huko, hana hata kitu cha kuwaonesha kilichofanyika wakati wa utawala wake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Matagaaa hata wakoloni walikuwa na mengi waliyofanya ila Watanganyika wakachagua uhuru
 
2015 waliungana wakatoka kapa sasa hivi kila mtu yuko kivyake isipokua ccm wameungana na vyama vingine sasa sjui wanategemea ushindi gan, waache waendelee na makelele yao
 
1: JPM anamengi yakuonekana aliyofanya kwa wananchi Lissu hata jimbo lake tu hakuna chochote cha kuonyesha.

2: Kila vita anayoingia JPM anapata ushindi au nusu ushindi (MAKINIKIA) wa kugusika, Lissu ni nusu ushindi au ushindi wa maneno.

3: Lissu amejipanga kutumia tuhuma kujinadi wakati JPM atakuwa na muda wa kutangaza na kuwaonyesha watanzania aliyowafanyia.

4: Taifa bado linamwangwi wa utisho wa kazi za JPM na maamuzi magumu kama KORONA, Lissu kaanza udalali wa kutaka kutuaminisha watu wanakufa korona kipindi ambacho kila kanisa linatoa ibada za shukrani kwa Mungu kutupa rais Jasiri.

5: Wakati wananchi wanameaminishwa MABEBERU ni watu wabaya, LISSU anaonekana kutegemea watu hao ambao wapiga kura wanaamini ni wabaya kama watu wake wa karibu.

6: Tangu amepata Janga la kumiminiwa vitu vinavyodhaniwa kuwa ni Risasi Kila akisimama kuongea anaongea yaleyale hadi anaboa. Wakati Tunategemea JPM atoe mambo mapya licha ya kuwa na mengi ya kusema.

7: Kanda ya ziwa huwa inaamua nani ashide uchaguzi kwa idadi kubwa ya wapiga kura, huko tumeshuhudia vitendo vingi vya maendeleo kuliko maneno ya kipinzani na malalamiko. Wanatarajia Lissu utawafanyia nini zaidi ya Meli, Busisi, Barabara, Viwanda, zahanati etc ila naona umejipanga kuwapelekea tuhuma na maneno ya kujirudiarudia.

8: Lissu maarufu mitandaoni ila katika uhalisia kwa wapiga kura Magufuli ni maarufu kuliko Lissu.

9: Lissu amekaa kama mtu anayetakiwa kusumbua mfumo sio kuwa kiongozi wa mfumo wa kuwasaidia watu. Maneno yake, Body language yake haimfanyi mpiga kura aone kuwa hapo kuna jamaa mwenye utisho wa kuwa kiongozi wa nchi. Angalau Membe kidogo.

10: Hakuna mtu wa kuvujisha taarifa za siri za kiserikali na kiCCM ili ziwape wapinzani kiki kama enzi za Dr Slaa. Karibu watu wote wanahofu hata tu kulitaja jina la JPM kimizaha. Kwa kipindi ambacho hakuwepo LISSU nchi imebadilishwa saikolojia kabisa jambo ambalo halihitaji miezi miwili kulirudisha.

11: Kwa sasa JPM haonekani kama Kiongozi wa nchi tu bali pia kama Kiongozi wa Kiroho. Kuna watu leo wanamuamini JPM kuliko hata viongozi wao wa kidini maana Alionyesha utegemezi mkubwa kwa Mungu ktk Corona kuliko hofu za viongozi wao. Sio suala la miezi miwili kumtolea mtu imani.
Wapiga Kura wa siku hizi wanajielewa Sana na wengi angalau wamefika shule, hawadanganyiki kirahisa.

Mpaka Sasa CCM itakosa Kura za Vijana waliomaliza vyuo kuanzia 2015 mpaka Leo wako mtaani wanazurura tu, wanaambiwa wajiajiri na hawana mitaji.

Wafanyakazi, Tangu aingie mzee, serikali yake haipandishi madaraja wafanyakazi wala kuwaongezea mishahara.

Wanafunzi wanafunzi wa vyuo vikuu, Wengi wanatoka familia masikini wanakosa mikopo, wanasoma mazingira duni.
Watu woote hao Ni mtaji wa kura wa CDM kwenye kisanduku Cha kura.
Ambao mtaipigia Kura CCM ni wewe na mkeo tu.
 
na tuliwaambia cdm wanajulikana mtandaoni tu watu wakapinga ona sasa kiongozi wenu kakoswa na mawe:

 
Wapiga Kura wa siku hizi wanajielewa Sana na wengi angalau wamefika shule, hawadanganyiki kirahisa.

Mpaka Sasa CCM itakosa Kura za Vijana waliomaliza vyuo kuanzia 2015 mpaka Leo wako mtaani wanazurura tu, wanaambiwa wajiajiri na hawana mitaji.

Wafanyakazi, Tangu aingie mzee, serikali yake haipandishi madaraja wafanyakazi wala kuwaongezea mishahara.

Wanafunzi wanafunzi wa vyuo vikuu, Wengi wanatoka familia masikini wanakosa mikopo, wanasoma mazingira duni.
Watu woote hao Ni mtaji wa kura wa CDM kwenye kisanduku Cha kura.
Ambao mtaipigia Kura CCM ni wewe na mkeo tu.

hao vijana si hawa hapa kidogo wampige mawe mbowe maskini

wote apo lugha yao moja wanamtaka magufuli, sasa sjui mtaenda kuwaambia nn, msiombe agusie swala la corona kwenye kampeni mmeisha!!!
 
Vijana wa ole Sabaya hao, walitumwa kwenye Mission kwa sababu walipata chochote Kitu....Kwenye kisanduku Cha Kura, Tick Kubwa kwa Mh. lissu
hao vijana si hawa hapa kidogo wampige mawe mbowe maskini

wote apo lugha yao moja wanamtaka magufuli, sasa sjui mtaenda kuwaambia nn, msiombe agusie swala la corona kwenye kampeni mmeisha!!!
 
Vijana wa ole Sabaya hao, walitumwa kwenye Mission kwa sababu walipata chochote Kitu....Kwenye kisanduku Cha Kura, Tick Kubwa kwa Mh. lissu



sasa si ndo maaana mwandishi amehoji watu tafauti, umeskia yoyote anamshangilia mbowe apo? umeona ata mtu anaemshangilia mvowe? hai nzima wametumwa na ccm si ndio
 
Back
Top Bottom