Uchaguzi 2020 Sababu 11 kwanini Lissu atapata ushindi wa asilimia ndogo kuliko wote tangu 1995

Magufuli si ana mandege, mareli, mann???

Sisi tunataka Rais wakuwapa vijana ajira, Rais wakulinda nakuheshimu Katiba, Rais wa Kulinda Utu na haki za binadamu na kuwaishi wanadamu wote ktk msingi wa usawa, Rais Wakuongeza mishahara ya wafanyakazi, Rais wakumsaidia mkulima wa korosho, mbaazi, n.k, Rais ambaye Hawezi ona watu wake wanapotea na kukaa kimya., Rais wakutoa Mikopo kwa wanafunzi wote wa vyuo vikuu bila kujalisha kasomea Sekondar gan, Rais atakayehakikisha Elimu inakua bora, sio utopolo wenu uliopo sasa.

MTOA MADA, AYO ULOYAANDIKA, HATA AKINA MUSOLIN, WANAZI , GHADAFI, WALIYAFANYAAAAA .

Wewe jiulize, Pamoja na udogo wa nafasi yake , Lissu hajawah hata kua waziri, ni mbunge tu, Lakini umaarufu wake, watanzania waliojitokeza kumpokea .... Laxima ukubaliane namm kua LISSU NI MPANGO WA MBINGU.
Endelea kuota tu lazima uje kufuta huu utopolo....
 
Mtanzania yoyote anayeipenda Tanzania huweezi kumwongelea tundu lissu. Penda n hi yako sio mtu. Penda mtu anayependa nchi yako.
 
Siku zote CCM hawalali wanaomba usiku na mchana upinzani usiungane, hadi sasa wamefanikiwa.

Siku upinzani wakiungana historia itaandikwa upya.
Kinachowafanya washindwe kuungana ni ubinafsi kila mmoja anataka kuwa rais sababu kutokua na uelewa mpana wa mambo ya sayansi ya jamii na siasa.... na hiyo ndio faida ya CCM
 
Back
Top Bottom