Endelea kuota tu lazima uje kufuta huu utopolo....Magufuli si ana mandege, mareli, mann???
Sisi tunataka Rais wakuwapa vijana ajira, Rais wakulinda nakuheshimu Katiba, Rais wa Kulinda Utu na haki za binadamu na kuwaishi wanadamu wote ktk msingi wa usawa, Rais Wakuongeza mishahara ya wafanyakazi, Rais wakumsaidia mkulima wa korosho, mbaazi, n.k, Rais ambaye Hawezi ona watu wake wanapotea na kukaa kimya., Rais wakutoa Mikopo kwa wanafunzi wote wa vyuo vikuu bila kujalisha kasomea Sekondar gan, Rais atakayehakikisha Elimu inakua bora, sio utopolo wenu uliopo sasa.
MTOA MADA, AYO ULOYAANDIKA, HATA AKINA MUSOLIN, WANAZI , GHADAFI, WALIYAFANYAAAAA .
Wewe jiulize, Pamoja na udogo wa nafasi yake , Lissu hajawah hata kua waziri, ni mbunge tu, Lakini umaarufu wake, watanzania waliojitokeza kumpokea .... Laxima ukubaliane namm kua LISSU NI MPANGO WA MBINGU.