NYAMKANG'ILI
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 223
- 112
Wajinga wanafikiri tunaposema CCM ipumzishwe kuongoza nchi yetu, tunasema hivyo kwa sababu za kijinga kama, kwamba:
1) Mwenyekiti wake ni ALHAJI JK, Makamu ZNB ni ALHAJI SHEIN, Katibu Mkuu ni ALHAJI KINANA au kwa sababu Makamu Tanganyika/Bara ni PHILIP. HAPANA siyo hivyo, au
2) CCM imekaa madarakani muda mrefu. HAPANA siyo hivyo, au
3) CCM wanaitana WAHESHIMIWA (japo wao wenyewe hawajiheshimu). HAPANA siyo hivyo.
KAMA kuna mtu anafikiri hivyo, kwamba hizo ndo sababu za WATANZANIA kutaka CCM ipumzike, ni MPUMBAVU. Mtu huyo hafai.
KUNA SABABU za maana zaidi ya 100 ZA MSINGI za kuitaka CCM ipumzike. BAADHI ya sababu hizo ni kwamba tunaitaka CCM ipumzike kwa sababu:
i) CCM na viongozi wake ni wezi: wanatuibia raslimali za taifa kama TEMBO/meno ya tembo, twiga na wanyama wengine wanaosafirishwa wakiwa hai kwenda nchi za nje hasa UARABUNI;
ii) CCM wanatunyang'anya hazina pale BENKI KUU kupitia EPA, MEREMETA, DEEPGREEN FINANCE nk na kuipeleka USWISS kwa ajili ya wao peke yao na wanao;
iii) CCM wameshindwa kutulinda sisi, usalama wetu na mali zetu, kwani polisi wanaopaswa kutulinda ndo wanaoongoza kwa kutuua na kutunyang'anya mali zetu (rejea taarifa za rushwa na haki za binadamu);
iv) CCM inatoa ahadi hewa ambazo haizitekelezi (rejea ahadi za JK 2005 na 2010 utajiridhisha kwamba ni utapeli mtupu); na
Kadharika, kadharika ... (ongeza sababu unazozijua wewe)
TUUNGANE TUIPUMZISHE CCM kabla haijatusafirisha nje na sisi tukiwa hai kwenye mandege ya AL ALAWI kama twiga wetu walivyosafirishwa ...
1) Mwenyekiti wake ni ALHAJI JK, Makamu ZNB ni ALHAJI SHEIN, Katibu Mkuu ni ALHAJI KINANA au kwa sababu Makamu Tanganyika/Bara ni PHILIP. HAPANA siyo hivyo, au
2) CCM imekaa madarakani muda mrefu. HAPANA siyo hivyo, au
3) CCM wanaitana WAHESHIMIWA (japo wao wenyewe hawajiheshimu). HAPANA siyo hivyo.
KAMA kuna mtu anafikiri hivyo, kwamba hizo ndo sababu za WATANZANIA kutaka CCM ipumzike, ni MPUMBAVU. Mtu huyo hafai.
KUNA SABABU za maana zaidi ya 100 ZA MSINGI za kuitaka CCM ipumzike. BAADHI ya sababu hizo ni kwamba tunaitaka CCM ipumzike kwa sababu:
i) CCM na viongozi wake ni wezi: wanatuibia raslimali za taifa kama TEMBO/meno ya tembo, twiga na wanyama wengine wanaosafirishwa wakiwa hai kwenda nchi za nje hasa UARABUNI;
ii) CCM wanatunyang'anya hazina pale BENKI KUU kupitia EPA, MEREMETA, DEEPGREEN FINANCE nk na kuipeleka USWISS kwa ajili ya wao peke yao na wanao;
iii) CCM wameshindwa kutulinda sisi, usalama wetu na mali zetu, kwani polisi wanaopaswa kutulinda ndo wanaoongoza kwa kutuua na kutunyang'anya mali zetu (rejea taarifa za rushwa na haki za binadamu);
iv) CCM inatoa ahadi hewa ambazo haizitekelezi (rejea ahadi za JK 2005 na 2010 utajiridhisha kwamba ni utapeli mtupu); na
Kadharika, kadharika ... (ongeza sababu unazozijua wewe)
TUUNGANE TUIPUMZISHE CCM kabla haijatusafirisha nje na sisi tukiwa hai kwenye mandege ya AL ALAWI kama twiga wetu walivyosafirishwa ...