Sokomoko
JF-Expert Member
- Mar 29, 2008
- 1,915
- 127
Assalam alaikum wanaJF,
Hivi kweli jamani kuna haja yoyote ya mtu kuchoma mafuta yake kwenda sabasaba?Nimejiuliza maswali mengi sana nakosa majibu nimeona ni bora niwaulize na nyie wenzangu pengine mtanipa mwangaza,
Nienende saba saba kununua plastic products kama watu wengi wananvyofanya?niende sabasaba kufanya nini hasa?nitafaidika na kitu gani?nini kipya kupita miaka yote ya nyuma?
Nimeimiss sana sabasaba ile ya enzi zile wakati ule ilikuwa sikukuu ya wakulima.Nimemiss kuona mabanda ya wakulima na wafugaji. Nimemiss kuona jinsi wakulima wa wakati ule walivyo kuwa mahodari kwenye kazi zao.
Pengine baada ya wakulima kugundua wamekuwa mayatima serikali ikaona ibadilishe maudhui ya sabasaba? sina majibu naombeni kutoka kwenu wazee,
Sokomoko.
Hivi kweli jamani kuna haja yoyote ya mtu kuchoma mafuta yake kwenda sabasaba?Nimejiuliza maswali mengi sana nakosa majibu nimeona ni bora niwaulize na nyie wenzangu pengine mtanipa mwangaza,
Nienende saba saba kununua plastic products kama watu wengi wananvyofanya?niende sabasaba kufanya nini hasa?nitafaidika na kitu gani?nini kipya kupita miaka yote ya nyuma?
Nimeimiss sana sabasaba ile ya enzi zile wakati ule ilikuwa sikukuu ya wakulima.Nimemiss kuona mabanda ya wakulima na wafugaji. Nimemiss kuona jinsi wakulima wa wakati ule walivyo kuwa mahodari kwenye kazi zao.
Pengine baada ya wakulima kugundua wamekuwa mayatima serikali ikaona ibadilishe maudhui ya sabasaba? sina majibu naombeni kutoka kwenu wazee,
Sokomoko.