Saada Mkuya, Waziri aliyehudumu serikali ya Muungano kama Waziri wa Fedha, lakini bado hajastaarabika?

Saada Mkuya, Waziri aliyehudumu serikali ya Muungano kama Waziri wa Fedha, lakini bado hajastaarabika?

Alisema maneno ya hovyo akiwa Kaimu Waziri wz Afya.
Huyo huwa anapiga vita sana watanganyika wazi wazi. Hatupendi na hata ingekuwa ni amri yake, angefurahi sote Watanganyika tungekufilia mbali. Ndiyo maana Omari Yusufu Mzee alimbwaga na meno yake.
 
Inawezekana alipata PhD ya chupi na uwaziri wa chupi Kama zilivyo zile degree za chupi

Mambo ni mengi hapa mjini
 
Utter nonsense. Hakuna Mtanganyika anayefunga safari kwenda kutibiwa Zanzibar. Watanganyika wanaoishi Zanzibar, ambao ndio wanahitaji matibabu huko, nadhani hawafiki hata laki moja!

suala ni kuwa, kwanini watibiwe bure? wakati hapa kwao Tanganyika hawatibiwi bure?
 
Aisee kweli watu wengi kwa mbali ni wazuri...ukiwaona kwa karibu ni hatari!
 
suala ni kuwa, kwanini watibiwe bure? wakati hapa kwao Tanganyika hawatibiwi bure?
Raia wa Tanzania ana haki ya kuishi popote ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kwahiyo, Mtanganyika aliyeamua kuishi Zanzibar, huko ndiko kwake. Kama utaratibu wa huko ni matibabu bure, basi ana haki ya kutibiwa bure.
 
Hao wanasiasa wote ni watu tu kama sisi, there"s nothing special that they posess.
Ukikàa na kuomgea nao, ni watu ambao siyo kama tunavyowafikiria.
 
View attachment 3609780
Dr Saada Mkuya Salum, aliteuliwa na Rais Jakaya Kikwete mwaka 2012 kuwa Naibu Waziri wa Fedha katika serikali yake, na baadaye alipofariki Waziri wa Fedha William Mgimwa 2014, akachukua nafasi ya Waziri wa Fedha , Serikali ya Jamhuri ya Muungano Tanzania.

Sasa hivi Dr Saada Mkuya ni Kaimu Waziri wa Afya serikali ya Mapinduzi Zanzibar.
Hapa pamoja na ukweli kuwa mwanasiasa hawezi kukaa kiti kimoja kimadaraka lakini hii nia serious step down kwa mtu aliyehudumu nafasi sensitive ya serikali Ya Muungano.

Matamshi aliyotoa hivi karibuni kuwa Zazibar haiwezi kuwatibu watu milioni 60, it doesn't reflect u "Dr " wake.
Kwanza tujiulize kama kuna waTanganyika hata milioni moja waliowahi kwenda kutibiwa Zanzibar.

Hapo ndio unajiuliza, hivi kukaa kote kule serikali ya Muungano kama Naibu Waziri wa Fedha halafu kuja kuwa Waziri kamili hakujamstaarabisha?

Mtu kuongea kama ana kadegree ka Madrassa kuna tutia hofu, uness kuna mpango maaluma toka serikali ya Zanzibar.
Kwani wizara ya fedha ipo kwenye muungano!
 
Raia wa Tanzania ana haki ya kuishi popote ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kwahiyo, Mtanganyika aliyeamua kuishi Zanzibar, huko ndiko kwake. Kama utaratibu wa huko ni matibabu bure, basi ana haki ya kutibiwa bure.

Kuna kanuni au sheria yoyote inayosapoti hayo unayoyazungumza? au ni emotions tu kama ilivyo kwa wabongo wengi
 
Huyo huwa anapiga vita sana watanganyika wazi wazi. Hatupendi na hata ingekuwa ni amri yake, angefurahi sote Watanganyika tungekufilia mbali. Ndiyo maana Omari Yusufu Mzee alimbwaga na meno yake.
Mtu mwenye chuki moyoni kama Saada Mkuya, maanagamizi yake huyatayarisha mwenyewe. Watanganyika tumemsikia vizuri,
Kajoochuko moyoni bila sababu za msingi.
 
Nani kaenda kuomba matibabu ya bure Mchambawima?
Watu milioni sitini wakitua Unguja kisiwa kitazama baharini we punguani.
Ndio maana nasema huyu Saada Mkuya anatawaliwa na chuki kiasi kwamba natilia mashaka hata u"Dr" wake.
Ana argue kama mhitimu wa madrasa.
 
Back
Top Bottom