terabojo
JF-Expert Member
- Aug 3, 2010
- 215
- 45
Wana JF. uelewa wangu mdogowa sheria ni kwamba bara zinatakiwa kufungwa saa 5 na grocery haziruhusiwi kuuza bia na badala yake zipo kumuwezesha muhitaji wa bia/vinywaji anunue na kupeleka hivyo vinywaji say nyumbani kwake. leo hii bar na grocery nyingi hapa Dar zinafunguliwa na kuuza bia/ulevi tangu asubuhi had asubuhi. ushahidi mwepesi ni pale katribnu na ofisi ya TRA mbagala rangi #. Suali ni je kama uelewa wangu wa sheri ni sahihi au unakaribia na usahihi kwa nini jeshi la polisi linaruhusu hali hii kuendelea? Au ni kwa vile patrol teaqms zao ktk landrover wanahongwa mabia/pesa na wamiliki wa bar/grocery hizo. Binafsi naomba IGP alifanyie kazi hili kwani tutaondiokana na kero na ujambazi kwani majambazimengi yanajificha ktk bar/grosari hizo kabla au baada ya kufanya uhalifu. Mwana JF anayeweza kufikisha ujumbe kwa IGP au wasaidizi wake wakuu asaidie, pamoja na kujadili.:attention: