Saa ya kuongozwa na wachaga ama wahaya; wengine wote bomu kwa kweli

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,720
21,779
nimewiwa kuomba watanzania
2015 tuaachane na ukaskazini na kusini sasa tuweke watu wenye akili zao na ambao wanawae
kuendeleza nchi hii bila kutumika kama washmba pale magogoni

nimewiwa kusema hivi najua wengi akuna atakaepingana na mimi hivi vichwa hapo juu vina akili ya kutosha
usiniulize vilikula nini utototni kama uamini nenda tra bot na makampuni makubwa unayojua yenye maendelea ukikosa rutashobya
basi lyimo yuko pembeni ukikuta massawe ceo basi mutalemwa assistant akiondoka masawe na mutalemwa
ringo anakaimu nimejiuliza kama awatu hawa wanaweza kutuendeleza katika nchii nchi kwa nini tusijaribu kuwapa nchi jamani

Mungu awape mwanga wa kuona mbali jamanai uwezi kuwa waziri wa mambo ya nje miaka kumi kila mwaka uko nje alafu unafika
ikulu kila ndege ya emirates umebook wewe hii ni aibu kama wachaga sidhan wanaitaji kwenda nje kuomba misaada tutaamisha mlima kilimanjaro
urudi dar
 
Mbona umesahau wanyakyusa jamani hata wao wako juu siri kubwa ya haya makabila matatu ni shauri ya kula ndizi kwa wingi kuliko ugali
 
nimewiwa kuomba watanzania
2015 tuaachane na ukaskazini na kusini sasa tuweke watu wenye akili zao na ambao wanawae
kuendeleza nchi hii bila kutumika kama washmba pale magogoni

nimewiwa kusema hivi najua wengi akuna atakaepingana na mimi hivi vichwa hapo juu vina akili ya kutosha
usiniulize vilikula nini utototni kama uamini nenda tra bot na makampuni makubwa unayojua yenye maendelea ukikosa rutashobya
basi lyimo yuko pembeni ukikuta massawe ceo basi mutalemwa assistant akiondoka masawe na mutalemwa
ringo anakaimu nimejiuliza kama awatu hawa wanaweza kutuendeleza katika nchii nchi kwa nini tusijaribu kuwapa nchi jamani

Mungu awape mwanga wa kuona mbali jamanai uwezi kuwa waziri wa mambo ya nje miaka kumi kila mwaka uko nje alafu unafika
ikulu kila ndege ya emirates umebook wewe hii ni aibu kama wachaga sidhan wanaitaji kwenda nje kuomba misaada tutaamisha mlima kilimanjaro
urudi dar

kazi ya kuikomboa Tanganyika ni ya Watanganyika wote.

kama walivyofanya kwa Msigwa, kama walivyofanya kwa Zito, kama walivyofanya kwa Shibuda, kama walivyofanya kwa Sirinde, kama walivofanya kwa Sugu, kama walivofanya kwingineko.

This is war.

Tukibweteka kusema hii ni kazi ya kabila fulani tutaharibu.

This is the war to liberate Tanganyika from the hands of Mamwinyi.
 
kazi ya kuikomboa Tanganyika ni ya Watanganyika wote.

kama walivyofanya kwa Msigwa, kama walivyofanya kwa Zito, kama walivyofanya kwa Shibuda, kama walivyofanya kwa Sirinde, kama walivofanya kwa Sugu, kama walivofanya kwingineko.

This is war.

Tukibweteka kusema hii ni kazi ya kabila fulani tutaharibu.

This is the war to liberate Tanganyika from the hands of Mamwinyi.

You have said it all!
 
nimewiwa kuomba watanzania
2015 tuaachane na ukaskazini na kusini sasa tuweke watu wenye akili zao na ambao wanawae
kuendeleza nchi hii bila kutumika kama washmba pale magogoni

nimewiwa kusema hivi najua wengi akuna atakaepingana na mimi hivi vichwa hapo juu vina akili ya kutosha
usiniulize vilikula nini utototni kama uamini nenda tra bot na makampuni makubwa unayojua yenye maendelea ukikosa rutashobya
basi lyimo yuko pembeni ukikuta massawe ceo basi mutalemwa assistant akiondoka masawe na mutalemwa
ringo anakaimu nimejiuliza kama awatu hawa wanaweza kutuendeleza katika nchii nchi kwa nini tusijaribu kuwapa nchi jamani

Mungu awape mwanga wa kuona mbali jamanai uwezi kuwa waziri wa mambo ya nje miaka kumi kila mwaka uko nje alafu unafika
ikulu kila ndege ya emirates umebook wewe hii ni aibu kama wachaga sidhan wanaitaji kwenda nje kuomba misaada tutaamisha mlima kilimanjaro
urudi dar
tatizo lako kubwa wewe ni shule tu ndio ingeweza kukukomboa na mawazo yako hayo ya ukanda, ukabila na pia siwezi kushangaa pia ukawa mdini vilevile. ukisoma vyuo mbali mbali utakutana na watu wazuri wa makabila mbali mbali wenye uwezo mkubwa mpaka wewe mwenywe una appreciate kuwa mkuu huyu amenizidi uwezo na anastahili. lakini kama umekulia mtaani tu lazima uwe na akili ya kwamba sijaendelea labda kwa ajili ya kabila langu au dini yangu lakini ungekwenda shule unakuwa na reasoning power tofauti na una appreciate tofauti yako na mwingine na siyo kuhisi huyu ni kwa sababu yeye ni kabila fulani au dini fulani.
 
Nakubaliana nawe kwamba kama jinsi tunavyotaka wapinzani nao wapewe nchi waongoze basi tukubali hata haya makabila tuyape tuone nao uwezo wao ukoje,huenda wakadeliver
 
Mbona umesahau wanyakyusa jamani hata wao wako juu siri kubwa ya haya makabila matatu ni shauri ya kula ndizi kwa wingi kuliko ugali

nimeificha kwa nia njema unataka migomba yetu isafirishwe kama TWIGA eehh???
 
Umekosea kuweka trend na heading yake. Siyo wengine wote bomu utakuwa humtendei haki hata Nyerere maana yeye hakuwa mchaga
 
tatizo lako kubwa wewe ni shule tu ndio ingeweza kukukomboa na mawazo yako hayo ya ukanda, ukabila na pia siwezi kushangaa pia ukawa mdini vilevile. ukisoma vyuo mbali mbali utakutana na watu wazuri wa makabila mbali mbali wenye uwezo mkubwa mpaka wewe mwenywe una appreciate kuwa mkuu huyu amenizidi uwezo na anastahili. lakini kama umekulia mtaani tu lazima uwe na akili ya kwamba sijaendelea labda kwa ajili ya kabila langu au dini yangu lakini ungekwenda shule unakuwa na reasoning power tofauti na una appreciate tofauti yako na mwingine na siyo kuhisi huyu ni kwa sababu yeye ni kabila fulani au dini fulani.

soma vizuri uelewe kijana mdogo
shule aisaidii kuongoza hii nchi tunae dk yuko pale magogoni anaishia kusafiri na kuwapa shida vijana wa immigration na makundi yake ya safari kila miezi kadhaa abadilishiwe passport,,kwenye udini sijafika na sitofika kabisa
 
nimewiwa kuomba watanzania
2015 tuaachane na ukaskazini na kusini sasa tuweke watu wenye akili zao na ambao wanawae
kuendeleza nchi hii bila kutumika kama washmba pale magogoni

nimewiwa kusema hivi najua wengi akuna atakaepingana na mimi hivi vichwa hapo juu vina akili ya kutosha
usiniulize vilikula nini utototni kama uamini nenda tra bot na makampuni makubwa unayojua yenye maendelea ukikosa rutashobya
basi lyimo yuko pembeni ukikuta massawe ceo basi mutalemwa assistant akiondoka masawe na mutalemwa
ringo anakaimu nimejiuliza kama awatu hawa wanaweza kutuendeleza katika nchii nchi kwa nini tusijaribu kuwapa nchi jamani

Mungu awape mwanga wa kuona mbali jamanai uwezi kuwa waziri wa mambo ya nje miaka kumi kila mwaka uko nje alafu unafika
ikulu kila ndege ya emirates umebook wewe hii ni aibu kama wachaga sidhan wanaitaji kwenda nje kuomba misaada tutaamisha mlima kilimanjaro
urudi dar
mkuu naona unayatusi makabila mengine.....sisi wasukuma je?? .kwa kweli ukiangalia kwa jicho la haraka ..sijui kama unaweza ukakuta M.k.w.e.r.e zaidi ya Kikwete kwenye post kubwa za juu! Ila siyo lazima uwe mchaga au mhaya kuwa na potential ya kuwa kiongozi mzuri.
 
Mbona umesahau wanyakyusa jamani hata wao wako juu siri kubwa ya haya makabila matatu ni shauri ya kula ndizi kwa wingi kuliko ugali

Kawaida ya wana ccm ndo iyo.
Kuna tofauti gani kati ya ndiz na ugali? We muhuni,
 
nimewiwa kuomba watanzania
2015 tuaachane na ukaskazini na kusini sasa tuweke watu wenye akili zao na ambao wanawae
kuendeleza nchi hii bila kutumika kama washmba pale magogoni

nimewiwa kusema hivi najua wengi akuna atakaepingana na mimi hivi vichwa hapo juu vina akili ya kutosha
usiniulize vilikula nini utototni kama uamini nenda tra bot na makampuni makubwa unayojua yenye maendelea ukikosa rutashobya
basi lyimo yuko pembeni ukikuta massawe ceo basi mutalemwa assistant akiondoka masawe na mutalemwa
ringo anakaimu nimejiuliza kama awatu hawa wanaweza kutuendeleza katika nchii nchi kwa nini tusijaribu kuwapa nchi jamani

Mungu awape mwanga wa kuona mbali jamanai uwezi kuwa waziri wa mambo ya nje miaka kumi kila mwaka uko nje alafu unafika
ikulu kila ndege ya emirates umebook wewe hii ni aibu kama wachaga sidhan wanaitaji kwenda nje kuomba misaada tutaamisha mlima kilimanjaro
urudi dar

Na yule wa magogoni anatokea koo ipi kati ya hizo ulizozitaja?
 
Hahahahaa! Wewe bana umenichekesha sana. Kwa hiyo huwezi kukuta nkwere kwenye nafasi yoyote ya maana isipokuwa yule nkwere wa magogoni??

unamjua mh. Juma Bwanamdogo? Mbunge wa chalinze...nimemkumbuka, yule jamaa ni kiazi kisichoiva!
mkuu naona unayatusi makabila mengine.....sisi wasukuma je?? .kwa kweli ukiangalia kwa jicho la haraka ..sijui kama unaweza ukakuta M.k.w.e.r.e zaidi ya Kikwete kwenye post kubwa za juu! Ila siyo lazima uwe mchaga au mhaya kuwa na potential ya kuwa kiongozi mzuri.
 
Yaani wewe unaona Wahaya na Wachagga ndio wanaweza kuongoza! Akili zingine bana kweli wewe ni Piddy Moshi
 
.............sifa zote anazo lakini hapana bwana! kwanini? Ahh Mkara!!!! hapana Nimemnukuu Mwl Nyerere maana tusichague kwa sababu ni mchaga au mhaya hata Karamagi nae anafaa?
 
Back
Top Bottom