Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 48,851
- 18,950
nimewiwa kuomba watanzania
2015 tuaachane na ukaskazini na kusini sasa tuweke watu wenye akili zao na ambao wanawae
kuendeleza nchi hii bila kutumika kama washmba pale magogoni
nimewiwa kusema hivi najua wengi akuna atakaepingana na mimi hivi vichwa hapo juu vina akili ya kutosha
usiniulize vilikula nini utototni kama uamini nenda tra bot na makampuni makubwa unayojua yenye maendelea ukikosa rutashobya
basi lyimo yuko pembeni ukikuta massawe ceo basi mutalemwa assistant akiondoka masawe na mutalemwa
ringo anakaimu nimejiuliza kama awatu hawa wanaweza kutuendeleza katika nchii nchi kwa nini tusijaribu kuwapa nchi jamani
Mungu awape mwanga wa kuona mbali jamanai uwezi kuwa waziri wa mambo ya nje miaka kumi kila mwaka uko nje alafu unafika
ikulu kila ndege ya emirates umebook wewe hii ni aibu kama wachaga sidhan wanaitaji kwenda nje kuomba misaada tutaamisha mlima kilimanjaro
urudi dar
2015 tuaachane na ukaskazini na kusini sasa tuweke watu wenye akili zao na ambao wanawae
kuendeleza nchi hii bila kutumika kama washmba pale magogoni
nimewiwa kusema hivi najua wengi akuna atakaepingana na mimi hivi vichwa hapo juu vina akili ya kutosha
usiniulize vilikula nini utototni kama uamini nenda tra bot na makampuni makubwa unayojua yenye maendelea ukikosa rutashobya
basi lyimo yuko pembeni ukikuta massawe ceo basi mutalemwa assistant akiondoka masawe na mutalemwa
ringo anakaimu nimejiuliza kama awatu hawa wanaweza kutuendeleza katika nchii nchi kwa nini tusijaribu kuwapa nchi jamani
Mungu awape mwanga wa kuona mbali jamanai uwezi kuwa waziri wa mambo ya nje miaka kumi kila mwaka uko nje alafu unafika
ikulu kila ndege ya emirates umebook wewe hii ni aibu kama wachaga sidhan wanaitaji kwenda nje kuomba misaada tutaamisha mlima kilimanjaro
urudi dar