minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 21,640
- 20,366
Mahakamaccm ni mali binafsi ya CCM hakuna haki kwa chademaWala hakuna haja ya Chadema kufungua kesi kwani wazungu wanamsemo "Never argue with a fool" kwa sinema hili la kihindi walilocheza MATAGA hakika wamezidi kujivua ngua kwa watanzania ambao sikuzote wamekuwa wakiwashangaa kwa sarakasi za kihindi wanazochezaga .Dawa yao ni kuwakalia kimya mpaka akili ziwarudi pengine....