Qwy
JF-Expert Member
- Nov 23, 2018
- 6,238
- 31,148
Ndiyo maana hii ni celebrities forum.
Ndiyo maana hii ni celebrities forum.
Masaa 23 in a 1 mil views hapo vipi...husikii kuwashwa mahali?baadhi yetu tulikuwa na matumaini makubwa juu ya video hii kuleta tikisiko na tetemeko huko youtube ila naona masaa 6 yamepita sasa videi haipi hata kumi bora huko youtube.
upande wa simba yule anaembiwa atulize mzuka ili na wengine wapate ahueni mbugani naona simba amekataa ushauri, video tatu zinaoongoza trending zote ni kazi zake, wengine watatalii vipi mbugani kwa hali hii?,😂
Mkuu umesoma maada lakini?? video imekaa masaa sita bile kuwemo kwenye trending hii sio kawaida kwa kiba, imeanza kutrend. baada ya masaa sita, hizo views milioni kuna msanii yupo hapa hapa bongo ngoma zake zimepata ndani ya masaa machache tuMasaa 23 in a 1 mil views hapo vipi...husikii kuwashwa mahali?
Mkuu umesoma maada lakini?? video imekaa masaa sita bile kuwemo kwenye trending hii sio kawaida kwa kiba, imeanza kutrend. baada ya masaa sita, hizo views milioni kuna msanii yupo hapa hapa bongo ngoma zake zimepata ndani ya masaa machache tu
Tafuta maarifa hata kiingereza hujui ila unafosi ni viewers sio viwaz 😎😎 ninafanya kazi serikalini na ninalipwa kipato si hapa na hainizuii kuangalua viewers,Dogo tafuta pesa utaishia kuangalia viwaz yutubu hadi mvi zikujae kichwani
Nlikuwa nakukumbusha tu kwamba hiyo video unayoisema haijatrend kwa masaa 6 mie reach 1 mil views before a day, kuna tabu?Mkuu umesoma maada lakini?? video imekaa masaa sita bile kuwemo kwenye trending hii sio kawaida kwa kiba, imeanza kutrend. baada ya masaa sita, hizo views milioni kuna msanii yupo hapa hapa bongo ngoma zake zimepata ndani ya masaa machache tu
Ni nani kaimba hivyo?Ana hela nyingi ndani ya benki hela ...ah nmejaribu namimi ngoja wajuzi zaidi waje
Na kwanzia hapoo breki ya kwanza twaaap kwenye leo nakutooooo tooo tooo
Tafuta maarifa hata kiingereza hujui ila unafosi ni viewers sio viwaz ninafanya kazi serikalini na ninalipwa kipato si hapa na hainizuii kuangalua viewers,
Aaaah! Thubutuuuuuuuuuuuuuninafanya kazi serikalini na ninalipwa kipato si hapa na hainizuii kuangalua viewers,
Unapomuachia Mange kazi zako basi jua gundu limeingia. Yule mwanamke nuksi sana tu