Wabunge 23 wa CCM waliomo bungeni nao wawafuate wa upinzani kama walivyofanya juzi. Hamad aliomba shughuli za bunge ziahirishwe spika akakataa bila hata kuhoji wabunge; wabunge wa upinzani wakatoka... CCM wakabaki wachache; ikabidi waombe bunge liahirishwe.