Ni Mimi Msiogope
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 352
- 200
Comfirmed:
Waziri wa Kilimo chakula na Ushirika anaendelea kusoma Bajeti yake huku bunge likiwa na wabunge 23 tu baada ya wabunge wengine wa Upinzani kutoka na Wengine wa CCM wakiwa hawaonekani kwenye nafasi zao. Huu uwakilishi wa aina gani?
Ni aibu kwa Bunge,
Ni aibu kwa Serikali,
Ni aibu kwa Naibu spika
Na aibu kwa Taifa.
Waziri wa Kilimo chakula na Ushirika anaendelea kusoma Bajeti yake huku bunge likiwa na wabunge 23 tu baada ya wabunge wengine wa Upinzani kutoka na Wengine wa CCM wakiwa hawaonekani kwenye nafasi zao. Huu uwakilishi wa aina gani?
Ni aibu kwa Bunge,
Ni aibu kwa Serikali,
Ni aibu kwa Naibu spika
Na aibu kwa Taifa.