S3 fasta nauza

Nisaidie mkuu mana picha ya hiyo simu ndio muongozo wa vitu vinavyofuata kwani ugumu upo wapi kaka si unatuwekea picha tujionee ili tushawishike
 
picha picha bila picha biashara haisomeki tusije sumbuana bure kuja kuiona simu kumbe screen ina scratch ni balaaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom