S-400: Kwanini nchi nyingi zataka kuinunua ikiwemo Saudia Arabia, Qatar, India, Turkey na China

90%ya warusi, wairan, waisrael, waMarekani na wasyria wa humu jf ni walopokaji sio watu wa details..... Unajua hakuna kitu kizuri kama details na sio kukariri.... Mtu anatoa story yake kwenye kahawa analeta hapa na anabishana kana kwamba wakati Russia au Marekani wanapanga bajeti ya jeshi alikuwepo... Watu kama sisi kwenye midahalo mikubwa kama hii tunawahi siti za mbele tunakuwa wasikilizaji
Ni kweli kabisa unavyosema ndugu "Kinda La Kuku" wadau wengi ni ubishi tu pasipo kuangalia hali halisi.
 
Huu uzi japo umeletwa kishabiki zaidi lkn pia umevamiwa na watoto wengi sana wasio na uelewa wa mambo ya mashindano ya utengenezaji wa zana za kivita kati ya Russia na nchi za magharibi na hasa Marekani.

Hakuna silaha iliyowahi kutengenezwa na ikawa 100% effective and efficient au ikadumu muda mrefu ikitamba bila kupatiwa Antidote yake, hakuna.

Hivyo wanaopiga kelele humu wengi ni watoto wadogo under 30 na hawajui kuwa hizo silaha S 300 ni "Sets of Batteries that function togethert in order to achieve a common objective".

Kwa kuwa S300 sio silaha moja kama bunduki ya SMG basi wataalamu wa magharibi watakachofaya ni kutafuta namna ya ku-disable only one component of the assembled batteries and the entire system will automatically malfunction and that will declare "Game Over" and the much fancied S300/S400 would be declared "Obsolete", a development that will send the highly innovative Russians back to the drawing board.

Na, nina uhakika 100% kuwa hili ninalolisema hapa kuna watu tayari siku nyingi waliishajifungia ndani huko US wanalifanyia kazi na not in so distant future, matokeo tutayaona hali ambayo bila shaka itawafanya wengine humu "Waingie Mitini". It's just a matter of time and I am optimistic time will bear me witness.
 
Huu uzi japo umeletwa kishabiki zaidi lkn pia umevamiwa na watoto wengi sana wasio na uelewa wa mambo ya mashindano ya utengenezaji wa zana za kivita kati ya Russia na nchi za magharibi na hasa Marekani.

Hakuna silaha iliyowahi kutengenezwa na ikawa 100% effective and efficient au ikadumu muda mrefu ikitambua bila kupatiwa Antidote yake, hakuna.

Hivyo wanaopiga kelele humu wengi ni watoto wadogo under 30 na hawajui kuwa hizo silaha ni "Sets of Batteries that function together in order to achieve a common objective".

Kwa kuwa S300 sio silaha moja kama bunduki ya SMG basi wataalamu wa magharibi watakachofaya ni kutafuta namna ya ku-disable only one component of the assembled batteries and the entire system will automatically malfunction and that will declare "Game Over" and the much fancied S300/S400 would be declared "Obsolete", a development that will send the highly innovative Russians back to the drawing board.

Na, nina uhakika 100% kuwa hili ninalolisema hapa kuna watu tayari siku nyingi waliishajifungia ndani huko US wanalifanyia kazi na not in so distant future, matokeo tutayaona hali ambayo bila shaka itawafanya wengine humu "Waingie Mitini". It's just a matter of time and I am optimistic time will bear me witness.
Teh Teh...Unadai kuwa uzi ni wa kishabiki halafu nawe wachangia ushabiki. Ingetosha tu kusema uzi ni wa kishabiki, kisha ukaishia hapo.

Weka source ya madai yako maana umesema una uhakika 100% ufumbuzi wa kuikabili S-300/S-400 tayari umeshapatikana.

Bora walioleta ushabiki wakaweka na sources zao kuliko wewe umeleta dhana zako kisha hujatuwekea rejea (source)
 
Huu uzi japo umeletwa kishabiki zaidi lkn pia umevamiwa na watoto wengi sana wasio na uelewa wa mambo ya mashindano ya utengenezaji wa zana za kivita kati ya Russia na nchi za magharibi na hasa Marekani.

Hakuna silaha iliyowahi kutengenezwa na ikawa 100% effective and efficient au ikadumu muda mrefu ikitamba bila kupatiwa Antidote yake, hakuna.

Hivyo wanaopiga kelele humu wengi ni watoto wadogo under 30 na hawajui kuwa hizo silaha S 300 ni "Sets of Batteries that function togethert in order to achieve a common objective".

Kwa kuwa S300 sio silaha moja kama bunduki ya SMG basi wataalamu wa magharibi watakachofaya ni kutafuta namna ya ku-disable only one component of the assembled batteries and the entire system will automatically malfunction and that will declare "Game Over" and the much fancied S300/S400 would be declared "Obsolete", a development that will send the highly innovative Russians back to the drawing board.

Na, nina uhakika 100% kuwa hili ninalolisema hapa kuna watu tayari siku nyingi waliishajifungia ndani huko US wanalifanyia kazi na not in so distant future, matokeo tutayaona hali ambayo bila shaka itawafanya wengine humu "Waingie Mitini". It's just a matter of time and I am optimistic time will bear me witness.
Hahaha haa mkuu ni vizuri wewe umekili indirect kuwa kwa sasa hakuna kombora wala ndege inaweza penya kwa S300,
nafurahi kuwa umekilri kuwa ili waweze kupenya kwa S300 inabidi watafute namna ya ku disable and then S300 to be declared obsolete,ila kwa sasa S300 ndo king,
Pia nafurahi kuwa una uhakika wa 100% kua watu wamejifungia ndani huko US kuifanyia kazi S300,
Hata hivyo hii inaonesha kuwa Russia Technolojia wanayo wanayajua hayo uliyosema na ninadhani hizo ndo kazi za akina GRU SVR,pengine na FSB,hivyo nao huenda wakawa wanayafanyia kazi mawazo kama yako kuwa S300 yao imewaweka wataalam ndani huko US na allies wake,huenda tukashuhudia zikizalishwa hadi S2500. Hahahahaa natania tu mkuu.
ila mwisho wa yote nasikitika sana kuwa, hapa tumerudi kwenye mashindano ya kutengeneza silaha kali duniani kama zamani.
 
Teh Teh...Unadai kuwa uzi ni wa kishabiki halafu nawe wachangia ushabiki. Ingetosha tu kusema uzi ni wa kishabiki, kisha ukaishia hapo.

Weka source ya madai yako maana umesema una uhakika 100% ufumbuzi wa kuikabili S-300/S-400 tayari umeshapatikana.

Bora walioleta ushabiki wakaweka na sources zao kuliko wewe umeleta dhana zako kisha hujatuwekea rejea (source)
Mkuu Casablanca nakuhakikishia kuwa sijawahi choka kusoma coments zako,uko vizuri mkuu.
 
View attachment 891031
Russian S-400 Triumph medium-range and long-range surface-to-air missile systems [Sergei Karpukhin/Reuters]

Mwezi uliopita, Setember 2018, Russia ilifanya maonesho ya kivita, Vostok-2018 war games, mashariki ya Siberia baada ya kupita miaka zaidi ya 30 ambapo vikosi vya wanajeshi 300,000 wa Urusi, China na Mongolia vilishiriki. Russia ilitumia fursa hiyo kuonesha zana vita zake ambazo ni chanzo kikuu cha pili kwa uchumi baada ya mafuta.

Ktk mazoezi hayo Russia ilionesha S-400 ambayo ni mfumo wa juu zaidi wa ulinzi wa anga na wenye soko zaidi katika miaka ya hivi karibuni. S-400 ni mfumo ulioboreshwa mara dufu ya S-300 ambayo imepelekwa Syria juzi kati.

Kutokana na uwezo mkubwa wa S-400 nchi nyingi, ikiwemo Saudia, Qatar, India na China zimetangaza kununua mfumo huo wa kisasa. Takribani kila serikali ya nchi iliyotangaza nia ya kununua mfumo huo ilitishwa kwa vikwazo toka kwa USA, NATO au jamaa zao.

Sababu inayofanya nchi za magharibi zisitake nchi zingine kununua S-400, kwa mujibu wa mahojiano (interview) iliyofanywa na Aljazeera, ni kuwa si tu kuwa mfumo huo ni wa juu zaidi (more advanced) ukilinganisha na mifumo mingine lakini pia mfumo huo unahatarisha miungano (ushirika) ya chi kadhaa ambayo imekuwepo kwa miaka mingi.

"S-400 ni miongoni mwa mifumo ya juu ya ulinzi wa anga inayopatikana, na bora zaidi ukilinganisha na mifumo ambayo yaweza kutolewa na nchi za magharibi, "alisema Siemon Wezeman, mtafiti mwandamizi wa Shirika la kimataifa la Stockholm International Peace Research Institute's (SIPRI) arms transfers and military expenditure programme

"Rada yake na sensors nyingine, pamoja na makombora yake, huweza kulinda eneo kubwa - rada inaweza fatilia eneo la takriban 600kmi, na makombora yake yana wigo wa hadi 400km," Wezeman aliiambia Al Jazeera.

"Pia ni mfumo ambao unashambulia tageti zake kwa usahihi zaidi na unaweza kufuatilia tageti nyingi sana kwa wakati mmoja, ikiwa ni pamoja ndege vita za kujificha"

"Faida nyingine ni kuwa S-400 unaweza kuiseti, kushambulia na kuihamisha ndani ya dakika chache".

"Russia ipo tayari kutoa S-400 kwa nchi yoyote na kushea teknolojia kwa kiwango fulani," Wezeman alielezea.

Mfananisho wa mifumo ya ulinzi wa anga ya Patriot na S-300/S-400

PAC-3 ya Mmarekani inaweza kudaka makombora ktk kimo cha takriban 30 km, wakati S-400 S-400 inaweza kudaka hata ktk kimo cha 150-160km.

Ukija ktk radar,S-400 yaweza kunasa na kuharibu aircraft iliyo hadi kimo cha 400km wakati PAC-3 rada yake mwisho wa kunasa ni 150km. S-400 yaweza kudaka ndege vita ktk umbali wa juu ambao radar ya PAC-3 na wenzake zinakuwa bado hata kuona target hiyo.

Inazungumzwa kuwaS-400 hazijatumika kwenye vita ukilinganisha na PAC-3 ya mmarekani. Lakini nchi za magharibi zaiheshimu zaidi S-400 baada ya kujifunza uwezo wa S-300 waliyopewa Greek na Urusi. Kumbuka S-300 ipo chini ya S-400 kiuwezo, hapo hatujaongelea S-500. Ikiwa simba mtoto ni hatari, basi bila shaka baba yake ni hatari zaidi.

Why do countries want to buy the Russian S-400?

PressTV-Saudi Arabia: S-400 talks with Russia ‘advancing well’

Russia and Qatar discuss S-400 missile systems deal TASS | Reuters

China now reportedly has a full set of Russia's advanced S-400 air-defense missile system

Erdogan: Turkey needs Russia's S-400 missile defence system

‘We’re independent’: India defies US sanctions over billion-worth S-400 deal with Russia

https://www.quora.com/How-comparable-are-the-American-Patriot-and-Russian-S-300-400-missile-systems#
Pamoja na yooote umeongelea lkn
Mrusi yupo nyuma ya mmarekani over,
 
Russia alitengeneza S-400 ili kucounter air power ya US na Marekani alitengeneza THAAD kucounter makombora ya Urusi,hivyo THAAD tangu mwanzo ilitengenezwa kupangua makombora ya aina zote kuanzia short range ballistic missiles Hadi intermediate range missiles.

USA wakaja AEGIS ambayo inafungwa kwenye meli ikiwa na versions tofauti tofauti kuanzia (SM-1,SM-2,SM-6 na SM-3-ambayo hii baadae wanasema wataiboresha iweze kutungua ICBMs)
AEGIS pia imeunganishwa na F-35 hivyo inaweza kutumia data za F-35 kufanya interception. The F-35 just proved it can take Russian or Chinese airspace without firing a shot
F-35, SM-6 Live Fire Test Points to Expansion in Networked Naval Warfare
Hiyo SM-3 Range yake ni 2500km

RIM-161 SM-3Operational range700 km (378 miles) Block IA/B 2,500 km(1,350 miles) Block IIASpeed3 km/s (Mach 10.2) Block IA/B 4.5 km/s (Mach 15.25) Block
hii AEGIS ndio ile system iliyokua blinded kwenye meli ya kivita iliyokua inapita baltic sea
 
Huu uzi japo umeletwa kishabiki zaidi lkn pia umevamiwa na watoto wengi sana wasio na uelewa wa mambo ya mashindano ya utengenezaji wa zana za kivita kati ya Russia na nchi za magharibi na hasa Marekani.

Hakuna silaha iliyowahi kutengenezwa na ikawa 100% effective and efficient au ikadumu muda mrefu ikitamba bila kupatiwa Antidote yake, hakuna.

Hivyo wanaopiga kelele humu wengi ni watoto wadogo under 30 na hawajui kuwa hizo silaha S 300 ni "Sets of Batteries that function togethert in order to achieve a common objective".

Kwa kuwa S300 sio silaha moja kama bunduki ya SMG basi wataalamu wa magharibi watakachofaya ni kutafuta namna ya ku-disable only one component of the assembled batteries and the entire system will automatically malfunction and that will declare "Game Over" and the much fancied S300/S400 would be declared "Obsolete", a development that will send the highly innovative Russians back to the drawing board.

Na, nina uhakika 100% kuwa hili ninalolisema hapa kuna watu tayari siku nyingi waliishajifungia ndani huko US wanalifanyia kazi na not in so distant future, matokeo tutayaona hali ambayo bila shaka itawafanya wengine humu "Waingie Mitini". It's just a matter of time and I am optimistic time will bear me witness.
Sema Russia pia hawajakomea hapo ndio maana wanaunda S500 sasa ambayo itakuwa bora zaidi actual warusi wamewekeza mno kwenye technology ya kujilinda defensively they are way advanced than the West.
 
Sema Russia pia hawajakomea hapo ndio maana wanaunda S500 sasa ambayo itakuwa bora zaidi actual warusi wamewekeza mno kwenye technology ya kujilinda defensively they are way advanced than the West.
Nimependa username yako inaakisi wewe ulikuwa mwinda kadiyediye, kayogwe, kilapi na kijoroo.
 
Marekani since wana base nyingi kwenye region lazima abm zake ziwe na range ndogo,kwa sababu hata Ukraine ni mshirika wa USA lakini Russia wana eneo kubwa kuliko USA so S-400 ni nzuri kwa ku-cover sehemu kubwa ya eneo lao na nchi nyingi ambazo zina washirika wachache katika maeneo kama China lazima waipende s-400.
By the way ni silaha nzuri sana.
 
Urusi iko juu JF tu tena jukwaa la kimataifa. Nje ya hapo nchi ya kawaida tu. We nchi gani ukitaka umwagie sifa lazima utaje siraha za kuua watu!! Vitu vyenyewe kwanza ni story tu za kwenye makaratasi make hata wananchi hatuvitumii, si bora hata hao Japan maVX aka kilimo kwanza, maHONDA tunayatumia na tunakiri ni noma.
Japan baada ya kupigwa na nuclear ndio walipata akili za kulima na kujenga uchumi,subiri na Russia apigwe,sidhani kama itawezekana.
 
Huu uzi japo umeletwa kishabiki zaidi lkn pia umevamiwa na watoto wengi sana wasio na uelewa wa mambo ya mashindano ya utengenezaji wa zana za kivita kati ya Russia na nchi za magharibi na hasa Marekani.

Hakuna silaha iliyowahi kutengenezwa na ikawa 100% effective and efficient au ikadumu muda mrefu ikitamba bila kupatiwa Antidote yake, hakuna.

Hivyo wanaopiga kelele humu wengi ni watoto wadogo under 30 na hawajui kuwa hizo silaha S 300 ni "Sets of Batteries that function togethert in order to achieve a common objective".

Kwa kuwa S300 sio silaha moja kama bunduki ya SMG basi wataalamu wa magharibi watakachofaya ni kutafuta namna ya ku-disable only one component of the assembled batteries and the entire system will automatically malfunction and that will declare "Game Over" and the much fancied S300/S400 would be declared "Obsolete", a development that will send the highly innovative Russians back to the drawing board.

Na, nina uhakika 100% kuwa hili ninalolisema hapa kuna watu tayari siku nyingi waliishajifungia ndani huko US wanalifanyia kazi na not in so distant future, matokeo tutayaona hali ambayo bila shaka itawafanya wengine humu "Waingie Mitini". It's just a matter of time and I am optimistic time will bear me witness.
Mbona wewe mwenyewe umechangia kishabiki?
 
hii AEGIS ndio ile system iliyokua blinded kwenye meli ya kivita iliyokua inapita baltic sea
Wewe jamaa ni mchokozi sana. Ila kwa bwana Ze kikuyo US ni zaidi ya kila kitu, kwa sababu yeye ni mmoja kati ya Wanasayansi wa US atakumwagia data kutoka chimbo la usilolijua..
 
Back
Top Bottom