Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,144
Sipendi kupepesa macho wala kumumunya maneno pale panapotakiwa kupongeza
nimesoma gazeti moja la rwanda habari hii ikanifurahisha kwa kweli sipendi kujua nini kinaendelea bali nichukue fursa hii kumpongeza hon rais kagame na wanyarwanda wote wanaompa sapoti wakati huu akiwa madarakani ....
0ct 18 .2012 kampuni ya ndege ya rwanda inaratajia kuleta ndege zake mbili crj900 brandnew kutoka kiwandani moja itawasili 18oct na nyingine 21 nov ..napenda kuwapongeza wote wanaoshiriki kusapoti nchi hii na bila kusahaau wale watoto watarajiwa
naomba tujifunze na tujiulize hivi hawa ndege zao zote wanaleta kutokakiwandani sie tuna madini tuna makaa ya chuma mawe makaa ya mchanga na mengineyo tunashindwa nini kununua viwandani na kukimbilia kwenye ma used na kuishia kulipa madeni ya miakataba kwa kukodisha ndege mbofu mbofu?/
eeh yesu tusaidie
nimesoma gazeti moja la rwanda habari hii ikanifurahisha kwa kweli sipendi kujua nini kinaendelea bali nichukue fursa hii kumpongeza hon rais kagame na wanyarwanda wote wanaompa sapoti wakati huu akiwa madarakani ....
0ct 18 .2012 kampuni ya ndege ya rwanda inaratajia kuleta ndege zake mbili crj900 brandnew kutoka kiwandani moja itawasili 18oct na nyingine 21 nov ..napenda kuwapongeza wote wanaoshiriki kusapoti nchi hii na bila kusahaau wale watoto watarajiwa
naomba tujifunze na tujiulize hivi hawa ndege zao zote wanaleta kutokakiwandani sie tuna madini tuna makaa ya chuma mawe makaa ya mchanga na mengineyo tunashindwa nini kununua viwandani na kukimbilia kwenye ma used na kuishia kulipa madeni ya miakataba kwa kukodisha ndege mbofu mbofu?/
eeh yesu tusaidie