Rwanda yatuhumiwa 'kupika' takwimu za uchumi kwa manufaa ya kisiasa

ELI-91

JF-Expert Member
Aug 24, 2014
3,583
9,666
Jarida la Financial Times (FT) linaripoti kuwa baada ya uchunguzi wa muda mrefu limegundua kuwa nchi ya Rwanda imekuwa ikichakachua takwimu zake za umasikini nchini humo, ikumbukwe kuwa France24 ilisharipoti mwaka 2015 kuwa serikali ya Kagame inachakachua takwimu zake za uchumi.

Uchakachuaji mkubwa zaidi ulifanyika mwaka 2015 punde kabla ya kura ya maoni iliyomwongezea Kagame (ambaye alishakuwa madarakani kwa miaka 15) muda wa kukaa madarakani kwa miaka mingine karibu ishirini! katika mazingiza hayo Kagame alikataa katakata kukubali takwimu zilizo onesha kuwa umasikini unaongezeka nchini Rwanda.

FT pia lilichapisha kwa mara ya kwanza barua ya ndani ambayo wafanyakazi watano wa benki ya dunia waliwaandikia viongozi wa taasisi hiyo mwaka 2015, katika barua hiyo wafanyakazi hao walilalamikia kile walicho kiita "uchakachuaji wa takwimu na kushindwa kwa Rwanda kutoa data za uhakika kwa uwazi", pia waliendelea kuandika kuwa "kile kilichokua kinaendelea kilikua na hatari ya kuichafua heshima ya benki ya dunia ikiwa nchi ya Rwanda itaendelea na mchezo wake".

DATA.jpg


=====

Tuhuma hizi ziliwahi kuripotiwa na Shirika la Habari la Fance24



My take: naona kila siku mambo yanazidi kujijidhihirisha kuwa ni wapi mheshimiwa wetu anachota 'idea' zake za ajabuajabu na zisizo za kitanzania.
 
Wakati ukikimbilia kuwashwawashwa na mambo ya ndani ya Rwanda tunaomba pia utuhakikishie kama hata nchi yako ya Tanzania nayo haipiki data zake katika mambo yake mbalimbali ya Kimaendeleo. Ukiachia mbali hao Wazungu ambao hawajaanza Chuki zao na Rais Kagame leo ila kwa wenye Akili tunatambua kuwa Rwanda ya sasa chini ya Kagame imepiga hatua nyingi ukilinganisha na ilivyokuwa japo nakiri kuwa bado kuna Changamoto kadhaa za Kidemokrasia na Kisiasa ila Rais Kagame amejitahidi na yapo Maendeleo kadhaa utayakuta nchini Rwanda ambayo ilichafuka Kimapigano ( Mauaji ya Halaiki ) zaidi ya mara mbili katika Historia ambayo huwezi kuyakuta nchini Tanzania ambako wanajinasibu kuwa ni Baba wa Amani Afrika kama siyo duniani. Halafu ni Upumbavu uliopitiliza kila mara Kuhusisha Mapungufu ya Rais JPM Kiuongozi na Kisiasa na Urafiki wake na Rais Paul Kagame wa Rwanda.

Kuna Watu mnajiita Wasomi lakini arguments zenu haziakisi hivyo na si ajabu ndiyo maana hata Elimu ya nchini mwenu ina Changamoto Kubwa kama siyo nyingi.
 
Wakati ukikimbilia kuwashwawashwa na mambo ya ndani ya Rwanda tunaomba pia utuhakikishie kama hata nchi yako ya Tanzania nayo haipiki data zake katika mambo yake mbalimbali ya Kimaendeleo. Ukiachia mbali hao Wazungu ambao hawajaanza Chuki zao na Rais Kagame leo ila kwa wenye Akili tunatambua kuwa Rwanda ya sasa chini ya Kagame imepiga hatua nyingi ukilinganisha na ilivyokuwa japo nakiri kuwa bado kuna Changamoto kadhaa za Kidemokrasia na Kisiasa ila Rais Kagame amejitahidi na yapo Maendeleo kadhaa utayakuta nchini Rwanda ambayo ilichafuka Kimapigano ( Mauaji ya Halaiki ) zaidi ya mara mbili katika Historia ambayo huwezi kuyakuta nchini Tanzania ambako wanajinasibu kuwa ni Baba wa Amani Afrika kama siyo duniani. Halafu ni Upumbavu uliopitiliza kila mara Kuhusisha Mapungufu ya Rais JPM Kiuongozi na Kisiasa na Urafiki wake na Rais Paul Kagame wa Rwanda. Kuna Watu mnajiita Wasomi lakini arguments zenu haziakisi hivyo na si ajabu ndiyo maana hata Elimu ya nchini mwenu ina Changamoto Kubwa kama siyo nyingi.
tuuwie radhi ndugu yetu kutoka Rwanda, huku Tanzania tumeshazoea uhuru wa kutoa maoni na kusema ukweli hata kama utamuumiza kiongozi mkuu, wewe kama mnyarwanda nadhani huwezi kulitambua hilo kwa namna Kagame anavyowajaza propaganda.
Argument kuu hapa ni serikali ya kagame kupika takwimu ili kujinufaisha kisiasa na pia ili kuwapotosha nchi wahisani, kumbuka kuwa Rwanda ni moja ya wapokea misaada wakubwa zaidi barani Africa, kutokea 1994 benki ya dunia pekee imetoa zaidi ya dola bilioni nne kwa Rwanda.
 
Role model wa Ngosha
anaiga vitu vingi sana kutoka kwa huyo jamaa, sijui hata usalama wetu ukoje kwa sababu kipindi cha JK ambapo tulikua tunawabana kiasi lakini bado kuna majasusi wa kinyarwanda walikua wanapenya hadi sehemu nyeti kabisa za nchi tena kwa muda mrefu, sasa hivi leo inawezekana hata hawajifichi wanarandaranda tu kwenye korido za jumba jeupe.
 
tuuwie radhi ndugu yetu kutoka Rwanda, huku Tanzania tumeshazoea uhuru wa kutoa maoni na kusema ukweli hata kama utamuumiza kiongozi mkuu, wewe kama mnyarwanda nadhani huwezi kulitambua hilo kwa namna Kagame anavyowajaza propaganda.
Argument kuu hapa ni serikali ya kagame kupika takwimu ili kujinufaisha kisiasa na pia ili kuwapotosha nchi wahisani, kumbuka kuwa Rwanda ni moja ya wapokea misaada wakubwa zaidi barani Africa, kutokea 1994 benki ya dunia pekee imetoa zaidi ya dola bilioni nne kwa Rwanda.

Bado hujajibu Hoja yangu na huenda haya Majibu yako yanathibitisha kuwa Wewe ni ' Kichwa Maji ' na ndiyo maana umenijibu Kitoto mno. Nakuuliza tena je hayo unayodai kuwa yanafanyika nchini Rwanda hapa Kwenu Tanzania hayafanyiki au hayajazoeleka? Hivi kuna kinachoweza Kufanyika nchini Rwanda halafu kiwe ama hakifanyiki au hakijawahi Kufanyika nchini Tanzania au katika nchi nyinginezo za Afrika? Na ni kwanini Urafiki wa Rais JPM na PK Kwenu nyie ni tatizo? Hata kama mnawasema kutokana na Changamoto zao je unataka kusema hakuna Mambo mengine mazuri na ya Kimaendeleo ambayo Tanzania inaweza Kuiga kutoka Rwanda na Rwanda inaweza Kuiga kutoka Tanzania? Nasubiri Jibu lako ili nizidi Kukudharau.
 
Wakati ukikimbilia kuwashwawashwa na mambo ya ndani ya Rwanda tunaomba pia utuhakikishie kama hata nchi yako ya Tanzania nayo haipiki data zake katika mambo yake mbalimbali ya Kimaendeleo. Ukiachia mbali hao Wazungu ambao hawajaanza Chuki zao na Rais Kagame leo ila kwa wenye Akili tunatambua kuwa Rwanda ya sasa chini ya Kagame imepiga hatua nyingi ukilinganisha na ilivyokuwa japo nakiri kuwa bado kuna Changamoto kadhaa za Kidemokrasia na Kisiasa ila Rais Kagame amejitahidi na yapo Maendeleo kadhaa utayakuta nchini Rwanda ambayo ilichafuka Kimapigano ( Mauaji ya Halaiki ) zaidi ya mara mbili katika Historia ambayo huwezi kuyakuta nchini Tanzania ambako wanajinasibu kuwa ni Baba wa Amani Afrika kama siyo duniani. Halafu ni Upumbavu uliopitiliza kila mara Kuhusisha Mapungufu ya Rais JPM Kiuongozi na Kisiasa na Urafiki wake na Rais Paul Kagame wa Rwanda. Kuna Watu mnajiita Wasomi lakini arguments zenu haziakisi hivyo na si ajabu ndiyo maana hata Elimu ya nchini mwenu ina Changamoto Kubwa kama siyo nyingi.

Watu wanaachaje kumhusisha na Kagame wakati kila anachofanya kinafanana? Kumbuka ziara yake ya kwanza alipoingia madarakani alienda wapi? Watanzania siyo wajinga, hatukuwahi kuwa na mambo ya kishenzi ya kutekana, kuua wapinzani, kunyamazisha vyombo vya habari mpaka alipoingia huyu mhutu.
 
Jarida la Financial Times (FT) linaripoti kuwa baada ya uchunguzi wa muda mrefu limegundua kuwa nchi ya Rwanda imekuwa ikichakachua takwimu zake za umasikini nchini humo, ikumbukwe kuwa France24 ilisharipoti mwaka 2015 kuwa serikali ya Kagame inachakachua takwimu zake za uchumi.

Uchakachuaji mkubwa zaidi ulifanyika mwaka 2015 punde kabla ya kura ya maoni iliyomwongezea Kagame (ambaye alishakuwa madarakani kwa miaka 15) muda wa kukaa madarakani kwa miaka mingine karibu ishirini! katika mazingiza hayo Kagame alikataa katakata kukubali takwimu zilizo onesha kuwa umasikini unaongezeka nchini Rwanda.

FT pia lilichapisha kwa mara ya kwanza barua ya ndani ambayo wafanyakazi watano wa benki ya dunia waliwaandikia viongozi wa taasisi hiyo mwaka 2015, katika barua hiyo wafanyakazi hao walilalamikia kile walicho kiita "uchakachuaji wa takwimu na kushindwa kwa Rwanda kutoa data za uhakika kwa uwazi", pia waliendelea kuandika kuwa "kile kilichokua kinaendelea kilikua na hatari ya kuichafua heshima ya benki ya dunia ikiwa nchi ya Rwanda itaendelea na mchezo wake".

View attachment 1180958

My take: naona kila siku mambo yanazidi kujijidhihirisha kuwa ni wapi mheshimiwa wetu anachota 'idea' zake za ajabuajabu na zisizo za kitanzania.

Slim matakor sana hili linajulikana sana
 
Jarida la Financial Times (FT) linaripoti kuwa baada ya uchunguzi wa muda mrefu limegundua kuwa nchi ya Rwanda imekuwa ikichakachua takwimu zake za umasikini nchini humo, ikumbukwe kuwa France24 ilisharipoti mwaka 2015 kuwa serikali ya Kagame inachakachua takwimu zake za uchumi.

Uchakachuaji mkubwa zaidi ulifanyika mwaka 2015 punde kabla ya kura ya maoni iliyomwongezea Kagame (ambaye alishakuwa madarakani kwa miaka 15) muda wa kukaa madarakani kwa miaka mingine karibu ishirini! katika mazingiza hayo Kagame alikataa katakata kukubali takwimu zilizo onesha kuwa umasikini unaongezeka nchini Rwanda.

FT pia lilichapisha kwa mara ya kwanza barua ya ndani ambayo wafanyakazi watano wa benki ya dunia waliwaandikia viongozi wa taasisi hiyo mwaka 2015, katika barua hiyo wafanyakazi hao walilalamikia kile walicho kiita "uchakachuaji wa takwimu na kushindwa kwa Rwanda kutoa data za uhakika kwa uwazi", pia waliendelea kuandika kuwa "kile kilichokua kinaendelea kilikua na hatari ya kuichafua heshima ya benki ya dunia ikiwa nchi ya Rwanda itaendelea na mchezo wake".

View attachment 1180958

My take: naona kila siku mambo yanazidi kujijidhihirisha kuwa ni wapi mheshimiwa wetu anachota 'idea' zake za ajabuajabu na zisizo za kitanzania.
Wazungu hawezi kusifia hata siku moja. Wazungu na Developing Countries wako kama CCM na CDM. Chochote unafanya lazima watupie jicho.
Walihangaika sana na China lakini China haikuangalia Nyuma na leo ndio namba 2.
Hao wazungu ni wa kuwapuuza ndipo tutasonga la sivyo watatutoa kwenye msitari.

China did, we can too.
 
Bado hujajibu Hoja yangu na huenda haya Majibu yako yanathibitisha kuwa Wewe ni ' Kichwa Maji ' na ndiyo maana umenijibu Kitoto mno. Nakuuliza tena je hayo unayodai kuwa yanafanyika nchini Rwanda hapa Kwenu Tanzania hayafanyiki au hayajazoeleka? Hivi kuna kinachoweza Kufanyika nchini Rwanda halafu kiwe ama hakifanyiki au hakijawahi Kufanyika nchini Tanzania au katika nchi nyinginezo za Afrika? Na ni kwanini Urafiki wa Rais JPM na PK Kwenu nyie ni tatizo? Hata kama mnawasema kutokana na Changamoto zao je unataka kusema hakuna Mambo mengine mazuri na ya Kimaendeleo ambayo Tanzania inaweza Kuiga kutoka Rwanda na Rwanda inaweza Kuiga kutoka Tanzania? Nasubiri Jibu lako ili nizidi Kukudharau.
kwa jinsi unavyotokwa povu inaonesha hata haujaelewa lengo la mimi kuandika huu uzi, na hivyo basi wewe ndiye 'kichwa maji'.
jambo kama hili limetokea hivi karibuni nchini Tanzania kwa takwimu rasmi za NBS kutofautiana pakubwa na zile za IMF na WB, lakini pia kulikua na sheria tata ya takwimu iliyopiga marufuku takwimu zote ambazo hazija thibitishwa na NBS,
na ndio maana ya kile nilichokiandika kwenye 'my take'.
 
Back
Top Bottom