Gamba la Nyoka
JF-Expert Member
- May 1, 2007
- 7,022
- 9,285
VAT haipo kwenye EA Common External Tarriff (CET). CET sana sana ni kodi ya forodha ambayo hutozwa kwa bidhaa zinazoingia kutoka nje ya EAC. Bidhaa hizi hutozwa kodi sawa kwenye nchi zote za EA. Lakini VAT kila nchi mwanachama inaruhusiwa kujiamulia kiwango chake...ndio maana VAT Tanzania ni 18% na Kenya ni 16%Jee makubaliano EACommon Tariff yanasemaje?