Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
John Mirenge, Mkurugenzi wa Shirika la RwandAir amesema Kampuni ya Airbus imekabidhi Rwanda ndege hiyo mjini Toulouse, Ufaransa
Ndege hiyo hadi sasa ndio kubwa zaidi ya Rwanda na ya tatu mpya ambayo imenunuliwa ndani ya miezi mitatu
Ina uwezo wa kubeba abiria 274..