Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,270
Huku tz ikiwa ktk dimbwa la ufisadi wa kutisha mpaka kuua shirika takatifu la ndege, Rwanda sasa wamefanikiwa kushusha ndege mpya kabisa na kuanza harakati za kupanua safari zake mpya za ndege za kimataifa!!